Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta


Naona mama keshaunga mkono juhudi kwa kuachana na kongwa la BARAKOA!! Hongera sana mama, furahia oxygen!!
 
Kuna masuala unatakiwa kujua wakati sahihi wa kushughulika nayo.
Nadhani hivi vikao vilipaswa kufanyika KABLA bei ya mafuta haijapandishwa.
Sasa hivi mnaweza kushusha bei ya mafuta sababu mna mfumo wa kudhibiti bei ya bidhaa hiyo,what about hizi bidhaa nyingine na masoko yake mitaani ambayo wafanyabiashara wamechukulia advantage na kupandisha bei zake,how can you regulate that area?Hivi mama ntilie akishapandisha bei ya ubwabwa wake can you come and tell her to lower the price again?!unaweza kirahisi kumwambia mangi ashushe bei ya mchele wake?
Narudia tena,kuna mambo mnapaswa kujua wakati sahihi (timing) wa kudeal nayo.
 
Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
Najiuliza hapo na usiku wote huo lazima kunna watu walisinzia tu😂😂😂🤣🤣
 
Katika viongozi walifeli kitaifa kuongoza Basi ni Hawa waislàmu ..Yani humo ndio mabalaa yote hutokeaga, maufisadi, maajali, manjanga ..Yani ni shida tupu..Tena huyu mama anaupiga mwingi Ila uislamu wake na ukike wake wahujumu uchumi wanakula naye Shani moja.
 
Hahahah nchi ina raha hii, hivi hapa majuzi ni nani aliamuru kua ile mia iliyotolewa kupunguza ukali wa bei ya mafuta irudishwe hata kama yanapanda. Leo imekuaje tena anastuka anataka solution 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Naona mama keshaunga mkono juhudi kwa kuachana na kongwa la BARAKOA!! Hongera sana mama, furahia oxygen!!

Hewa ya hapo chumbani itakuwa imechukuliwa vipimo vya covid na majibu ya kawa negative. Tanzania tunao uwezo wa kupima mpaka mananasi covid usisahau hilo.
 

Mia iliondolewa bila kufuata utaratibu wa vikao vya usiku nafikiri.
 

Kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji imekuwa ni hadithi za alifulela ulela katika taifa hili. Na ukweli wenyewe inaonesha uwekezaji huu hauna mrejesho wa haraka kama ule wa tehama Tanesco na kufatiwa na msd.
 
Yanaitishana usiku wa manane, halafu yanatoka bila suluhisho! Majitu mengine hayana mishipa ya aibu!
 
Nawaza tu ,

Baraza la mawaziri walipokaa mara ya mwisho wakiongozwa na waziri walikosa muarobaini. Rais, hawezi kutoa tamko? Wafanyabiashara wa mafuta na wahisani si wanafahamika ? Hivi vikao vinavyokosa suluhu vya nini ? Au umuhimu wa wabobezi wa uchumi haliwahudu ilihali tunajenga nyumba moja.
 
sasa icho kikao cha usiku na kila mtu amepigilia Misuti si wangevaa Ma pajama tu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Bata limerudi rasmi. Enzi za awamu ya tano hapo mezani pangekuwa na maji tu kwa kila mtu. Maana yake tuishi kwa kutegemea mishahara yetu.
 
Aaah migodi aliyoirudisha Kikwete iliuzwa na nani na kwa nani? Unaelewa?? Mawaziri waliofungwa wakati wa Kikwete umewasahau, na kwanini? Nikukumbushe? Waziri Mkuu aliyeweka rekodi ya kufukuzwa? Wakati nani akiwa Rais?

Hayo machache yanakutosha kwa yaliyopita, sitaki kwenda mbali zaidi.

Kwa ya juzi tu hapa: Ni nani aliyekopa pesa za kujengea treni ya umeme akaenda kujenga eyapoti kijijini kwao?

Hayo yote yana ushahidi kamili, sasa wewe umeleta porojo zako tu bila chochote chenye mashiko. Ukitaka nikurudishe nyuma zaidi, nipo tayari. Upo hapo ulipo?
 
Aaah migodi aliyoirudisha Kikwete iliuzwa na nani na kwa nani? Unaelewa?? Mawaziri waliofungwa wakati wa Kikwete umewasahau, na kwanini? Nikukumbushe? Waziri Mkuu aliyeweka rekodi ya kufukuzwa? Wakati nani akiwa Rais

Hao waliofungwa wakati wa Kikwete ni kwasababu walimyima mgao katika ufisadi wao ; kuwaonesha yeye ni nani Ndio akawafanyia figisu wakafungwa! Kashfa ya Richmond ile Ilikuwa ni ya Kikwete mwenyewe lakini Lowassa akamsitiri bila kufahamu kuwa mwenzie ni nyoka wa mdimu!!
 
Hakuna kitakachobadilika mpaka Russia na Ukraine waache kupigana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…