Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

"Waandalieni chai na sharubati. Msisahau vitafunwa" Bajeti ikapigwa. Vyakula vikaandaliwa.
Ila kwa hapo sioni mlaji. So, naamini vilibaki na pengine kumwaga.
Bora hata ningekuwa mimi, ningetake away.
Duh, nchi hii! Yaani kwenye kikao nyeti, meza imejaa vyupa, glass na sahani. Si wangeweka jug moja la juisi na sahani moja ya karanga! Khaaa!

 
Alivyosema vitu lazma vitapanda ulielewa Nini?
 
Hatimaye majibu ya kikao yapatikana 👇





 
Kwi kwi kwi kwi teh teh teh, ingekuwa kashfa mahakama zingeamua walipwe? tena za Kimataifa na za Tanzania.

Thubutu, eti amsitiri. Ile namba kubwa. Kikwete ni Rais pekee duniani kwa diplomasia yake aliyewahi kuwakutanisha Marais wote wastaafu waliohai na Rais aliye madarakani, nje ya USA kwa wakati mmoja.

Utamuweza wapi yule mtu wewe? Hakuna Rais toka Tanzania ianzishwe na mpaka miaka 100 ijayo atakaeifikia "calibre" na haiba ya Kikwete.
 
Rais wetu aliwaondoa wao wamewarusdisha
 
Thubutu, eti amsitiri. Ile namba kubwa. Kikwete ni Rais pekee duniani kwa diplomasia yake aliyewahi kuwakutanisha Marais wote wastaafu waliohai na Rais aliye madarakani, nje ya USA kwa wakati mmoja

Ni kweli uchawa wake kwa Marekani ndio uliwafanya MARAIS wengine wa kiafrica wasimuamini na kumfikiria kuwa he was a MOLE mpaka siku moja marehemu MUGABE akamtolea uvivu na kumsuta hadharani!!

Ni kweli sidhani nchi hii itakuja ongozwa na Rais FISADI kama Vasco Dagama; kawauzia WACHINA gas na waarabu kawauzia wanyama pori wetu mpaka wameanzisha parks zao hivyo kutokuwa na haja ya kuja kwenye mbuga zetu tena; hawatakuwa na haja ya kuja huku kama ROYAL TOUR inavyotegemea kwani watakwenda UARABUNI na kuona hao wanyama kwenye mazingira natural waliyotengenezewa!!! Kweli Vasco Dagama ufisadi wake hakuna mfano na hatosheki na mpaka hivi sasa mkewe ambae alimuombea awe mbunge anadai serikali imlipe kwa kuwa Mke wa Rais!!!!
 
Wivu tu unakusumbua,mbona vitu vya kawaida tu hata huku mitaani migahawani vipo....acha woivu.
 
Hayo madini yenu ya wazungu na waarabu mnayoyatetea ni ya kitapeli tu ..... yamejaa chuki tu na upumbavu.... ndio maana mimi nimeamua kua Atheist....Sio Muislam wala sio Mkristo.... ila naamani Mungu yupo na hana dini...
 
Hayo madini yenu ya wazungu na waarabu mnayoyatetea ni ya kitapeli tu ..... yamejaa chuki tu na upumbavu.... ndio maana mimi nimeamua kua Atheist....Sio Muislam wala sio Mkristo.... ila naamani Mungu yupo na hana dini...
Wewe mambo ya dini nimeyaandika wapi?
 
Wivu tu unakusumbua,mbona vitu vya kawaida tu hata huku mitaani migahawani vipo....acha woivu.
Kumbuka hapo ni ofisini, sio nyumbani/ dining hall.
So, ilitakiwa mandhari iendane na agenda. Tafuta picha za vikao nyeti vya nchi tunaojilinganisha nao kiuchumi, uone kama kuna huo uchafuzi wa kwenye discussion table! Then urudi na majibu sahihi kama ni wivu au la
 
Wangeweka angalau maji tu kuonyesha kuwa wako serious.sasa unajadili kitu muhimu huku unakulakula.
Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
 
Vipi Dodoma hakukaliki? Ndugai alihoji akaonekana mchochezi gharama hizi zisizo na sababu zinatuumiza wananchi
 
Ila President anajitahidi sana huko Sri Lanka wanaomba bridging loan maana watu wanajipanga foleni na mabobo ya maji kusubiri mafuta ni wana hali mbaya kweli kweli.
 
Hayo madini yenu ya wazungu na waarabu mnayoyatetea ni ya kitapeli tu ..... yamejaa chuki tu na upumbavu.... ndio maana mimi nimeamua kua Atheist....Sio Muislam wala sio Mkristo.... ila naamani Mungu yupo na hana dini...
Upo huru. Hakuna wakukuzuwia, na sisi tutuwe na "madini" yetu, yanakuwashia nini?
 
Makaku wa rais hana nafasi hapo au ni picha tu kuwa yupo upande wa pili?
 
Hizo ni porojo, Mugame kaishia wapi, kafanywa nini na wananchi wake kwa ufisadi wake? Unaleta story za mtu bogus kama yule?

Kwa ya Kikwete utabaki porojo tu, huna hata kimoja cha maanacha kumshutumu. Ndio kwanza anadunda na anaheshimika dunia nzima. Tartiib, kama sio yeye.
 

Wacha bwana!

Km dunia nzima inamkubali atusaidie kuongea na Putin atulize mashambulizi…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…