Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Sawa, bei ya mafuta inaweza kushuka ( kama wataweza) Je, watashusha na bei za bidhaa mbali mbali ambazo zimeshapanda hadi wakati huu?

Pili, hao walioitwa kujadili tatizo ndio wanaojibu sisi hatuchimbi mafuta, mfumuko wa bei au mafuta kupanda ni duniani kote, mbaya zaidi mmoja akasema mafuta kwetu bei ni nafuu kuliko USA. Hapo kweli kuna mjadala wenye tija au tutegemee tozo jipya?
 
Bado uwezo wa watu wetu kiutendaji ni mdogo sana na hili sio hao waliopo madarakani tu bali hata wengi wetu huku uraiani..

Chanzo cha udumavu kwenye ubongo ni lishe duni kwenye ukuaji + malezi yasiyozingatia uelekeo wa dunia..
 
Rais Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo Mei 8, 2022 Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati ,January Makamba, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.


Mwananchi
Hawana solution hao mtasikia blabla tupu. Labda wangoje majibu clubhouse na Maiaspaces kule Twitter!
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468
Waliopandisha bei wanaenda kuipunguza🤣
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468
Nonsense
 
Hii siyo vizuri kwa afya ya mkuu wa nchi.


Mheshimiwa angewapa dondoo wasaidizi wake ambao ni mawaziri wenye dhamana wampatie taarifa na mapendekezo yao ifikapo kesho asubuhi juu ya kupata jibu la kutatua kadhia hii.


Kazi ingekuwa mawaziri husika pamoja makatibu wakuu kujikusanya usiku huu pamoja na makamishina, wakurugenzi na wataalamu kutafuta jibu muafaka.
Huenda wameshafanya hivyo. Amewaita wakafanya conclusion
 
Bado uwezo wa watu wetu kiutendaji ni mdogo sana na hili sio hao waliopo madarakani tu bali hata wengi wetu huku uraiani..

Chanzo cha udumavu kwenye ubongo ni lishe duni kwenye ukuaji + malezi yasiyozingatia uelekeo wa dunia..
Na kuzaa watoto wengi bila uwezo wa kuwalisha. Chanzo kula mihogo na maharage kila siku
 
Angalau hili la upeo mdogo kwa akili zetu ndogo tunaweza kuling'amua, ni vyema tukawekeza kwenye utatuzi wake, NAZUNGUMZIA LISHE...

Ni wakati muafaka wa kupiga marufuku matumizi holela ya UGALI na WALI. na baadala yake watu wajikite kula SEA FOOD na SAMAKI WALIOTAPAKAA KILA KONA...tunaweza kupiga marufuku usafirishaji nje wa SAMAKI ili waliwe kwa wingi..

Root cause ya matatizo mengi ya watanzania matumizi mabaya ya akili kuliko tunavyodhani na shida hii chanzo chake ni LISHE duni..
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468


Wapo Mess hapo, mbona naona chupa za chai na vitafunwa!!😨
 
Hivi makamu yuko wapi mbona anakosa kwenye vikao muhimu Kama hichi..?
Isitoshe alishawahi kuwa waziri wa fedha,hivyo anaufahamu mzuri sana juu ya uchumi Sasa anakosaje kwenye swala Kama hili!
Yupo yupo tu. Wasomi wengi huwa wanasoma kwa maslahi yao binafsi ndio maana utalamu wao haureflect faida kwa umma.
 
Mzee wangu wa UBWABWA, tulimuona mhuni kwenye issue ya ubwabwa lakini alishofikiria na kuona umuhimu wake kama mgombea bora kabisa wa muda wote kwenye kiti cha Urais ni LISHE...
 
Rais Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo Mei 8, 2022 Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati ,January Makamba, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.


Mwananchi
Nonsense, kwake yeye movie ni kipaumbele kuliko hali na maisha ya watu.
 
Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.


"Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kanba yake"
 
Mwigulu nchemba na Jr wahuni tu ndio maana mwenda zake hakutaka waona kwenye baraza la mawaziri wanamuhujumu mama kimya kimya mama toa hao vijana ni janga

Ukitaka amini mama hii wiki itaisha hawaji na suruhisho lolote lile na wakija na suruhisho lazima lije na maumivu na kuzua kelele mitaani kuonyesha tu mama kiti hukiwezi

Uliwamini watakusaidia tatizo Wana tamaa na kiti chako watoe hao vijana mama waondoe Wana kuharibia Jr ni Smart kichwani anajua suruhisho ila anataka kuharibia ili jamii iamini mama kiti hukiwezi toa hao vijana mama ondoa haraka sana mwigulu nchemba na makamba waondoe wanajua wanachofanya usicheke nao
 
Hivi makamu yuko wapi mbona anakosa kwenye vikao muhimu Kama hichi..?
Isitoshe alishawahi kuwa waziri wa fedha,hivyo anaufahamu mzuri sana juu ya uchumi Sasa anakosaje kwenye swala Kama hili!
Kile cheo sijui ni cha kupigia picha, kila kitu utaona ni rais na waziri mkuu ndio wanafanya.
 
Rais Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo Mei 8, 2022 Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati ,January Makamba, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.


Mwananchi
Sasa kila siku wanaitana na wanaagizana harafu hawaji na majibu..

Yaani kila mtu anaogopa lawama..

Mimi nawapa ufumbuzi,punguza Kodi na tozo kwa sh 400 harafu gap la kufidia mapato,TRA iendeshwe oparesheni ya kuhakikisha kila muuzaji anatoa risiti na kila mnunuzi anachukua risiti..

Wasiofanya hivyo ni faini na kupiga mnada bidhaa zao, mapato yako mengi Sana kwenye Bar,Migahawa,Guest House,madukani nk..mfano kuna mauziano ya mali yanafanyika daily ila hakuna anaelipa Kodi .

Kuendelea kuchekea watu wasiowajibika ila waanadai haki itawatokea puani.
 
Back
Top Bottom