Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Acha upumbavu wa kidini, hauna faida yoyote kwa taifa lisilo na dini. Kila kitu uislam uislam, huna mengine ya kuandika? Nyie ndio mkipewa nafasi ya kuongoza mtaleta upumbavu nchini.

Hoja ni mafuta, serikali ifanye nini kupunguza bei ya mafuta na kushusha inflation tunayoiona, ambayo inaathiri uchumi wa raia mmoja mmoja.. haya mambo yako ya mwinyi, kikwete na samia nakuachia wewe uliye mpumbavu wa kufikiri.

Hata hivyo, kuwa kwangu kijana(kama unavyodhani) hakuna mahusiano yoyote na uwezo wangu wa kuchanganua hoja.
Mtoa hoja alimaanisha madrasa. Hakutaka kukuambia ukweli
 
Riziwani kikwete ni mmliki mkubwa wa shell za kuuzia mafuta hapo nchini. Na baadhibya shell zake zimekodishwa na Kampuni ya Puma. Mnatarajia mafuta yashuke bei?

Embu zitaje [emoji28][emoji38][emoji16] watanzania bwana
 
Kwa hiyo kutoa Kodi kwa hiari kuna husikaje na kutoza Kodi za dhuluma?

Utii wa sheria bila shuruti ni muhimu ila usipotii unashurutishwa ndicho nasema mimi,kwamba TRA wameshindwa kukusanya Kodi stahiki inavyotakikana kwa vyanzo hivi hivi vilivyopo achilia mbali vyanzo vipya..

Mwisho TRA kwa sasa wamekuwa wakivuka malengo licha kuzembea ila isingekuwa pressure hii ya bei ya mafuta wangeacha Bussiness as usual ila kwa sasa lazima wabadilike kulingana na prevailing situations kusudi wasiathiri utekelezaji wa bajeti ya serikali Kwa uzembe Kisa kisingizio cha kuondolewa au kupunguza kwa Kodi kwenye mafuta.[emoji116]

View attachment 2217619

View attachment 2217620

View attachment 2217621

View attachment 2217622
Kama wanavuka lengo kwanini wanazidi kuongeza matozo kwenye bidhaa?

Ona matozo ya kwenye simu,!.. Ona ya kwenye mafuta!

Makamba akaja na ngonjera eti tumefuta sh 100 ya tozo kwenye mafuta, mamako akapiga kelele hoo hiyo tulishaipangia bajeti, kwanini hiyo inayovuka lengo hapo TRA isifidie?

Hamna rais hapo.
 
Acha upumbavu wa kidini, hauna faida yoyote kwa taifa lisilo na dini. Kila kitu uislam uislam, huna mengine ya kuandika? Nyie ndio mkipewa nafasi ya kuongoza mtaleta upumbavu nchini.

Hoja ni mafuta, serikali ifanye nini kupunguza bei ya mafuta na kushusha inflation tunayoiona, ambayo inaathiri uchumi wa raia mmoja mmoja.. haya mambo yako ya mwinyi, kikwete na samia nakuachia wewe uliye mpumbavu wa kufikiri.

Hata hivyo, kuwa kwangu kijana(kama unavyodhani) hakuna mahusiano yoyote na uwezo wangu wa kuchanganua hoja.
Ikiwa kwa neno "udini" una maanisha Uislam huo sitauacha.

Tuongelee facts, mimi nimekupa facts za Mwinyi na Kikwete umerukia udini, una akili sawa sawa wewe? Au unajidai tu wehu lakini yamekuingia.
 
Embu zitaje [emoji28][emoji38][emoji16] watanzania bwana
Kuna shell iliyoleta ugomvi kati yake na aliyekuwa DC mmoja mwanamke ambaye alikuwa amezaa na JK kuhusu upatikanaji wa hati yae eneo hilo .
Imejengwa pembeni mwa bara bara ya junction uwanja wa ndege wa Kilimanjaro airport.
sasa imekodishwa na Puma tena kwa hasara kwani haina wateja ila kwa sasabu ya baba yake puma hawana namna .
 
Huu mkutano alioitisha usiku kutafuta suluhisho la bei ya mafuta ni public relations stunt kwani hauelekei kama utatoa suluhisho la tatizo !
Samia anatakiwa kuwa na jopo la wachumi Ikulu ( council of economic advisors ) ambao watamshauri hatua za kuwaelekeza wizara hatua mbali mbali za kuchukua matatizo ya uchumi yanapojitokeza! Hawa wa wizarani wanategemea muongozo toka Ikulu na Ikulu huwezi kupata ufumbuzi kutegemea ushauri wa mtu mmoja!
Samia anakosa input hiyo otherwise alikuwa hana sababu ya Kuwaita, jopo lake la wachumi lingeritoa muongozo. Bila utaratibu huo mama atateseka sana kwani huko mbele matatizo ya kiuchumi yatakuwa makubwa.
Wachumi wa kumshauri rais wapo mkuu...labda kuna mambo hayako sawa.
 
Kama wanavuka lengo kwanini wanazidi kuongeza matozo kwenye bidhaa?

Ona matozo ya kwenye simu,!.. Ona ya kwenye mafuta!

Makamba akaja na ngonjera eti tumefuta sh 100 ya tozo kwenye mafuta, mamako akapiga kelele hoo hiyo tulishaipangia bajeti, kwanini hiyo inayovuka lengo hapo TRA isifidie?

Hamna rais hapo.
Kwani mapato ya TRA tuu ndio yanahudumia Nchi?

Mahitaji ya Nchi yanapungua? Tanzania imeshatosheka mahitaji ya pesa hadi uulize kwa nini tozo zinawekwa? Wewe unaishi Ulaya kwamba kijijini kwenu mambo yako poa?
 
Baada ya kikao Cha Jana Cha SSH, Tutegemee Ongezeko la Mafuta

Hakuna sehemu Mwigulu kawahi kukaa akaja na solution yenye auheni, Tutegemee MAFUTA kupanda nahisi pia atakuja na zile Kauli zakez tuhamie burundi.
Hakuna sehemu Mwigulu kawahi kukaa akaja na solution yenye auheni[emoji24][emoji24]
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468
SULUHISHO ni kuondoa KODI zisizo na ULAZIMA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Watatukoma 2025, si wanatuona wajinga Elfu kumi unapata 3.15 lita tutaonana wabaya ooohhh
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468

Nikimkumbuka Rais Samia ninamuwaza Joyce Banda wa Malawi.​

 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468

19132BBE-DF30-4982-A11B-E28F0A8063BE.jpeg
 
Back
Top Bottom