Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Unadhani Samia ni Mwendazake kwamba anatafuta cheap popularity na sifa za kijinga plus kulazimisha kupendwa?

Hana huo ujinga na utoto kwa hiyo atakuwepo hapo hadi Rais atakavyoamua vinginevyo..

Chadomo walipiga kelele wewe kwa Mwigulu.lakini Rais akawapuuza.

Sasa wako kwa Makamba,Siku tuu Rais atatoka hadharani na kuwazima kama alivyofanyaga Mwendazake kwa Makonda akiwa RC .
 
Kikubwa wananchi tuelekezwe hilo SOKO LA DUNIA lilipo tukaemee wenyewe bidhaa maana yawezekana serikali haiwezi kubargain.

Makamba ni baadhi ya matokeo mabaya ya wasomi vijana tulionao anayeamini ni smart kichwani kumbe hana jipya.
Wewe mwenye jipya weka majawabu sio kuropoka tuu.
 
Watanzania kuzungumzia Ni kitu cha kawaida. Tumeumbwa hivyo.

Leo nilipita mitaani huku Rombo, imagine nimekutana na Kijiwe Cha wazee wanaongea kwamba Prof Mkenda alimwambia Rais Samia kuea yeye msimamo wake kuhusu kuagiza sukari uko pale pale, kama ni uwaziri amfute ili akafanye shughuli zake.

In short, wabongo wengi wanapenda kupiga domo siku ipite. Nothing special and serious.

Ni watu ambao hawajui kipi Ni sahihi na kipi Ni propaganda.
 
Makamba hafai hata kuwa Mtendaji wa Kata, hana aggresiveness ya Kiuongozi wala Kiutawala. Labda akawe Mwenyekiti wa Wavuta Shisha
 
Hayo ni mawazo ya watawala kuwa watanzania wapo hivyo siku zote nothing special and serious.

This will cost them some days to come.
 
MAGUFULI hakuwa Mpumbavu kumpa Makamba Uwaziri wa Mazingira na kisha KUMNG'OA na kumdukua alimjua kuwa HAFAI
 
Huyo hatoki kwenye baraza sanasana atambadilisha wizara
 
Awamu ya Tano na SITA Hakuna Waziri hata mmoja mwenye sifa ya kuitwa Askari wa Mwavuli.

Kidogo Nape Nnauye japo Ukada umemzidi . Lakini ni Kiongozi msafi asiye na madoa. Nape ajiandae TU kama atajipambanua kupigania katiba mpya. Anafaa kuwa Kiongozi wa juu katika Taifa hili ila aachane na mahaba na Chama Kwa kuiba kura.
 
Hayo ni mawazo ya watawala kuwa watanzania wapo hivyo siku zote nothing special and serious.

This will cost them some days to come.
Mimi siyo MTAWALA na Wala siko kwenye cycle ya kisiasa.

Ninachozungumza ndivyo kilivyo. In short wabongo Ni watu wenye uwezo wa kukipambania wenyewe.

Hata siku moja usifikiri Mbongo Mbongo ataandamana kwasababu ya mwanasiasa fulani.

Hata Samia akitaka kukaa madarakani mpaka kifo Hakuna mtanzania ataandamana. Jua Hilo.

Kitu pekee ambacho kinaweza kuleta maanadamano Ni kutolipa mishahara, kuwapora wafabiashara masoko yao, kuingilia Mambo ya imani za watu na mengine Kama hayo.

Kuhusu siasa wabongo Ni mabingwa sana wa USHABIKI lakini usitegemee Kama wanachukua Ni kitu serious sana.
 
Dah . sorry mkuu ila una IQ ndogo sana boss.

Boost your IQ.
 
Watawala hawana budi kujua kuwa wapo kwa ajili ya wananchi. Hao ndo waajiri .from day one walisema no kwa uteuzi wake.
 
Hawa ni kuwaangalia na kuwaambia heee ba ngosha vipi? Ujue pale Tanesco na Sgr ni miradi ya upigaji ya sukuma gang kwa hiyo January kakata ulaji kwenye Bwawa ndio maana unaona kelele..

Pili bado Kwa Kadogosa,kuwadi wa Yapi Merkez
Januari kakata mirija au kakata umeme kwa mkandarasi wa jnhpp na kusababisha deni la billion 18? Hilo deni atalilipa yeye na maharage wake? Huko ni kumhujumu rais SSH wazi wazi. Hivi nyie watu akili mmeziwekeza kwa nani?
 
Nilikua sahihi kabisa.

Yaani IQ ndogo ukijumlisha na bangi basi matokeo yake ndio kama haya.

Huwezi ukawa na akili timamu ukasupport majizi. Haiwezekani.
Huna akili. Narudia tena Magufuli alishakufa

 
Makamba hatoshei kuwa waziri wa nishati, na wala hatoshei kuwa waziri wa wizara yoyote. Makamba ni jamaa fulani hivi mwenye swaga za kisaniii, udalali na utapeli.
Nafasi pekee ambayo makamba labda angeweza kuimudu fresh ni kuwa msemaji wa wasanii, BASATA wamuondoe Steve Nyerere ili apewe hiyo nafasi Makamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…