StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Kama ndivyo huo mtego yeye hakuunusa?.Usichokijua ni kwamba aliwekwa hapo makusud ili aharibu na kwel yametimia.. hyo wizara kama si mwamba inakua mzigo.. ni ngum hyo wizara na ina posho sana na rushwa hyo wizara ila lazima uchafuke.. so bwa mdogo aliwekwa hapo makusud aharib ili asiwe kizingit kwenye mbio na medan za urais nchini.. wamemuweza kwelkwel
Yaani unashangaa kawakosea miniSukuma gang unateseka bure!
Zama zenu zilishapita bwashee.
Kumchukia waziri hsiwasaidii chochote hao wazazi wako walioshindwa kukupa elimu.
Hawezi kujaribu kukaa milele kwa sababu eti Watanzania hawawezi kumfanya loloteHata Samia akitaka kukaa madarakani mpaka kifo Hakuna mtanzania ataandamana. Jua Hilo.
Kafanya kosa ganiHuyo makamba hafai kuwa hata kiongozi wa mtaa.
Nchi hii shida kweli
Toa ushahidiSamahani huyu msambaa ni mbabaifu na msanii
Mtoto mpendwa amekanyaga sahani yenye msosi.January anamchafua sana Rais
Hivi alisharudisha zile Bilioni 1.2 Za NSSF kupitia Bumbuli saccos??Samahani huyu msambaa ni mbabaifu na msanii
Rwanda ulimpeleka weye.?Umesharudi toka Rwanda?
Yaani Samia amfute Uwaziri January kwa sababu ya nyie wapuuzi wachache gang ya Waburundi na Wanyarwanda?
Kuna shida kubwa sana ya uzalendo hapa nchini....hata mimi napaswa kubadilika.Umesharudi toka Rwanda?
Yaani Samia amfute Uwaziri January kwa sababu ya nyie wapuuzi wachache gang ya Waburundi na Wanyarwanda?
Kwani waliopindua Marais karibu 7 wa Uganda huku Obotte akipinduliwa Mara mbili wameshindwa Nini kumpindua Museven kwa miaka zaidi ya 27 sasa?Hawezi kujaribu kukaa milele kwa sababu eti Watanzania hawawezi kumfanya lolote
Waliojaribu kumpoteza Nyerere mara tatu, 1964, 1968, na 1982, walikuwa Wa Kongomeni ?
Tena war president, ana vikosi vya ukombozi nusu ya Afrika, chama kimoja, fikra za kudumishwa ni za mtu mmoja tu, na watu bado hawakukubali.
Haya!
Endelea kusubiri dodo chini ya muarobaini!
January is there to stay!
ccm wamegeuza hii nchi ni ya kifalme kurisishana madaraka babu mpaka mjukuu. inasemekana watanzania wengi ni km mazombe hawaelewi nn bora kwao na nn njema.January nahisi nyota yake ina giza sana!
Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!
Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.
Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.
Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.
Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.
Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.
Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Kwenye ubunge?January nahisi nyota yake ina giza sana!
Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!
Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.
Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.
Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.
Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.
Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.
Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Atamhamisha wizara tu, kila rais Huwa na wazir wake mpendwa. Umesahau kipndi Cha J.k. tulikiwa na wazir ambaye watu walikuwa hawamwelewi Shukuru kawambwa Huyu nadhan alikuwa na udugu na J.K alibebwa Miaka yote kumiJanuary nahisi nyota yake ina giza sana!
Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!
Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.
Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.
Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.
Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.
Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.
Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
makamba anafanya kwa niaba au kwa maelekezo sema ana kiranja utopolo ndiomana hamuelewi, Makamba hajifanyii endeleeni kuumia tatizo ni Bibi MtozoJanuary nahisi nyota yake ina giza sana!
Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!
Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.
Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.
Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.
Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.
Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.
Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Ww ndo unafaa mkuu. HOGERAMakamba hafai hata kuwa Mtendaji wa Kata, hana aggresiveness ya Kiuongozi wala Kiutawala. Labda akawe Mwenyekiti wa Wavuta Shisha
Makamba abwage manyanga kwa sababu gani?Kila kitu chawezekana chini ya jua bwashee
Km Lowassa alimwaga manyanga chini February ni nani
January anabebwa na mafisadi + udiniJanuary nahisi nyota yake ina giza sana!
Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!
Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.
Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.
Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.
Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.
Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.
Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.