Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Mnyeti a.k.a Muasisi wa kununua madiwani msimsahau tafadhali
 
Sabaya aingia kingi…..ahahahaaaaa!!!
 
Hata MUSIBA nae Inabidi Anyoshe Maelezo
 
Bora alijiengua mapema , itakuwa malaika walimshukia ndotoni
 
Nikikumbuka yulemfanya biashara wa Hai alipomnukuu sabaya kwamba "hii unaweza kuiita makonda style"
Najiuliza inamaana mstaafu wa Dar ndio muanzilishi wa uvamizi kwa matajiri au?
 
andiko zuri kabisa. Kesho ni wabunge wanaopitisha sheria kandamizi, zitawakumba na wao
 

USA walishamaliza kuhusu makonda hadi kesi nyingine za kudhulumu haki ya watu kuishi maana yake kufanya mauaji.
 
8. Kuvamia kwa Yusuf Mehboob Manji Sea View jirani na Nyumba ya Ridhiwani Kikwete na Nyumba ya Hayati Rais Mstaafu Mkapa na Kukwapua Pesa Tsh Bilioni 3 na kumpora Gari yake ya Kifahari Range na Kumtisha kuwa akiinua Mdomo atamtaja katika List yake ya Drug Barons ( Wauza Dawa za Kulevya ) wakubwa nchini Tanzania.
 
Ukimsamehe Makonda hata Shetani ayakushangaa. Misamaha inayoongelewa kwenye vitabu vitakatifu siyo kwa matendo haya ya Makonda na Sabaya
 
Kabisa mambo aliyofanya sabaya ni machache sana ukilinganisha na Makonda,yaani hadi USA wametoa ripoti na kumyima kuingia US sio masihara!! Makonda ana issue nyingi sana sema nyingine zina mkono wa "SIRIKALI" iliyopita.
Ushahidi wa Makonda uko mpaka ICC The Hague. Kama Serikali ya Tanzania itamkingia kifua basi kuna kifungu kina ruhusu kufungua mashtaka ICC,

Makonda labda afe mapema Ila akiwa hai lazima tu deal naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…