Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Kwangu Mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya na Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Utoaje AMRI ya Kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuogopa au ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Usimpangie
 
Kwangu Mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya na Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Utoaje AMRI ya Kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuogopa au ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Makonda hayuko serikalini kwa sasa,hivi mpaka Mama aseme?vyombo vyetu vya dola ndo tuvilaumu,vinayo nafasi ya kuchunguza MTU kama makonda nakumfikisha mahakamani..au wanaharaki wafungue kesi mahakamani kuomba uchunguzi kuhusu huyo makonda,alishapigwa marufuku hata kukanyaga USA..tunalala sana kama kila maamuzi yatoke kwa raisi haitofautiani na issue ya juzi eti msongamano wa malori bandarani mpaka PM aende kusolve!sidhani kama tuna viongozi wengi walio sensible..upuuzi sana
 
Nimejikuta nacheka tu, mshusha thread mwandiko wako, jazba na kurudia rudia kutaja jina lako vinashabihia na IDs nyingine mbili tatu hivi.

Umechangamsha genge somehow, hayo ya Bashite tuwe na subra muda utatupa majibu kwani yanayoendelea behind the curtain kwa tulio nje ya system hatuyafahamu.
Nadhani SASHA anakwenda sawia, one step at time huku akizingatia taratibu za kisheria si kama phase ya mwendazake ya kidnappings, detentions na eliminations.
Na Mimi baada ya kukutana na post chache tu nikagundua hilo.
 
Kwangu Mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya na Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Utoaje AMRI ya Kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuogopa au ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Ole Sabaya amesimamishwa kazi...hajakamatwa....Sasa huyo Makonda asimamishwe kazi kwa kazi ipi aliyonayo Sasa? Au akamatwe kwa kosa lipi?

Ninachokiona Sasa ni kuwa Baadhi mnadhani nchi Hii imepinduliwa...mnatoa kauli za ajabu ajabu ....Mara Kuna the so called Sukuma gang Mara sijui Nini...
Mmejikita kwenye Sera za visasi...
Lakini watu makini are just watching, at least for the time being...people are just watching....haya tusubiri tuone ...time will tell...
 
Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Here we go again-baadhi ya Watanzania katika ubora wao wa wivu na roho ya kutu!!

Kwa nini mko overly obsessed na MAKONDA ambaye ni mtu anaye julikana sana kwa uchapa kazi na ubunifu wake, lengo lenu kuu kama lilivyo siku zote ni kutaka kumwaribia sifa Makonda ili azikwe kisiasa, hasiinuke tena-mmejaa roho za kichawi mwanzo mwisho!!!

Kwa taarifa yenu Madam President ni binadamu mwenye busara na hekima hawezi kuwa swayed na ujinga wenu wa kuzulia watu Mickey Mouse stories zenu - chuki zenu zinawafanya msahau kwamba MAKONDA ndiye alikuwa binadamu wa kwanza Tanzania nzima kupendekeza kwamba mama Samia Suluhu Hassan ndie awe Makamu wa Rais, na kweli!!! Makonda si mtume wala nabii lakini aliweza ku-foretell coming event with dead accuracy - what does that tell YOU? Ni wazi Makonda katika maisha/kazi zake anaongozwa na Mungu wake, roho zenu mbaya notwithstanding - sina shaka sooner or later he will bounce back fighting fit kama kawaida yake kwa ajili ya ustawi mpana wa Taifa letu,our Nation needs true grit type ya Makonda na sio wapiga domo na wapika majungu kama nyinyi.
 
Tena huyu ndo balaa

ASANTE MUNGU KWAAJILI YA TAREHE 17.

NAMPENDA SAMIA MIE JAMAANI.
 
Back
Top Bottom