Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Krav Mwaga maviii ??!!
Krav Mwaga ndiyo nini? Naitwa Krav Maga sawa? Sasa kama ID yangu tu Kuiandika vyema utaweza kweli Kushindana na IQ yangu iliyobarikiwa vilivyo kabisa na Mwenyezi Mungu?
 
Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Ndugu jaribu kutambua kuwa Rais amechukua hatua dhidi ya Sabaya kwavile ni mkuu wa Wilaya chini ya utawala wake. Sasa Makonda ni nani kwa sasa hata Rais Samia amchukulie hatua?
 
Ole Sabaya amesimamishwa kazi...hajakamatwa....Sasa huyo Makonda asimamishwe kazi kwa kazi ipi aliyonayo Sasa? Au akamatwe kwa kosa lipi?

Ninachokiona Sasa ni kuwa Baadhi mnadhani nchi Hii imepinduliwa...mnatoa kauli za ajabu ajabu ....Mara Kuna the so called Sukuma gang Mara sijui Nini...
Mmejikita kwenye Sera za visasi...
Lakini watu makini are just watching, at least for the time being...people are just watching....haya tusubiri tuone ...time will tell...
Amteteaye Makonda atakuwa Mwehu.
 
Mzena hospital,wanatibiwa wenyewe na viongozi wa ngazi ya Rais na Makamu wa Rais na Waziri Mkuu tu! Wengine hata uwe na pesa nyingi kiasi gani! Hutibiwi pale! Tambua hilo
Siku hizi Vijana wa Oysterbay Eagle Wing Block ( Makao Makuu ) wanatibiwa sana pale Rabininsia Hospital Tegeta na sijajua ni kwanini na pale Kwao hawapataki hadi kupakimbia. Naendelea Kulichunguza hili Kiundani hasa.
 
Ndugu jaribu kutambua kuwa Rais amechukua hatua dhidi ya Sabaya kwavile ni mkuu wa Wilaya chini ya utawala wake. Sasa Makonda ni nani kwa sasa hata Rais Samia amchukulie hatua?
Hao Watu wanaoshtakiwa sasae huko Ulaya na Marekani kutokana na Makosa yao katika Tawala zao Wao hawakuwa Viongozi?

Kwahiyo baadhi yenu mlivyo Wapuuzi Vichwani mnataka kusema kuwa Dhambi za Makonda kwa Awamu ya Hayati zisiibuliwe leo?

Acha Kunilazimisha nianze Kukudharau.
 
Nasisitiza Rais Samia Suluhu Hassan aamuru upesi sana aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nae akamatwe na achunguzwe kwa Tuhuma zake ambazo ni zaidi ya alizonazo DC Ole Sabaya. Acha Unafiki Hopeless mkubwa Wewe sawa?

Jinai haifi as long as huna kinga yo-yo te makonda AKAMATWEEEEEEEEEEE
 
Hii sijaipata! Labda wanakimbia dunga dunga! Kwamba Marehemu kafa kifo cha ghalfa tu!
Hawajaanza Kupakimbia leo Ndugu bali kwa Uzoefu wangu wa Ufuatiliaji wa Masuala huu ni mwaka wa Nne au wa Tano nimeligundua hili. Sababu nilizozipata naomba nibaki nazo tu Mtimani mwangu na Moyoni pia Kimaadili zaidi.
 
Minal faidhiina, na wewe pia Eid Mubarak.🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hatimaye Maadui sasa tumekuwa Marafiki. Una Akili sana ila kuna mahala huwa unanikera tu kwa Uchangiaji wako wa Kutetea Upuuzi hasa wa Watu ambao Krav Maga nawaona ni Hatari kwa Ustawi na Usalama wa Tanzania na Watanzania.
 
Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Rais akisoma uzi wako atafanya hivyo. Sitoshangaa
 
Nasisitiza Rais Samia Suluhu Hassan aamuru upesi sana aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nae akamatwe na achunguzwe kwa Tuhuma zake ambazo ni zaidi ya alizonazo DC Ole Sabaya. Acha Unafiki Hopeless mkubwa Wewe sawa?
Pamoja na hili la kufoji cheti wakati askofu rashidi anamfahamu Hadi Babu zake huko call me j.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
ila kuna mahala huwa unanikera tu kwa Uchangiaji wako wa Kutetea Upuuzi hasa wa Watu ambao Krav Maga nawaona ni Hatari kwa Ustawi na Usalama wa Tanzania na Watanzania.


Sisi ni marafiki na hilo halina shaka,🤣.

Ila inatakiwa ujifunze jambo moja kwamba; Mtazamo wako juu ya jambo fulani sio lazima uwe ndio mtazamo wangu isitoshe adui yako sio lazima awe adui yangu, juu ya yote tustahimiliane katika maoni na tukubaliane kutokukubaliana bila ugomvi (agree in our disagreement and compromise) hapo ndipo tutajenga taifa.
 
Here we go again-baadhi ya Watanzania katika ubora wao wa wivu na roho ya kutu!!

Kwa nini mko overly obsessed na MAKONDA ambaye ni mtu anaye julikana sana kwa uchapa kazi na ubunifu wake, lengo lenu kuu kama lilivyo siku zote ni kutaka kumwaribia sifa Makonda ili azikwe kisiasa, hasiinuke tena-mmejaa roho za kichawi mwanzo mwisho!!!

Kwa taarifa yenu Madam President ni binadamu mwenye busara na hekima hawezi kuwa swayed na ujinga wenu wa kuzulia watu Mickey Mouse stories zenu - chuki zenu zinawafanya msahau kwamba MAKONDA ndiye alikuwa binadamu wa kwanza Tanzania nzima kupendekeza kwamba mama Samia Suluhu Hassan ndie awe Makamu wa Rais, na kweli!!! Makonda si mtume wala nabii lakini aliweza ku-foretell coming event with dead accuracy - what does that tell YOU? Ni wazi Makonda katika maisha/kazi zake anaongozwa na Mungu wake, roho zenu mbaya notwithstanding - sina shaka sooner or later he will bounce back fighting fit kama kawaida yake kwa ajili ya ustawi mpana wa Taifa letu,our Nation needs true grit type ya Makonda na sio wapiga domo na wapika majungu kama nyinyi.
Huwa napenda kukutana na Fools wa mfano wako hapa ili niweze Kuwapa yale msiyoyajua na pia niziimarishe vyema IQ's zenu ili muweze kuwa Great Thinkers hasa.

Kwa Taarifa yako hakuna Mtumishi wa Serikalini anayeongoza kwa kuwa na dossiers nyingi za Idarani ( TISS ) kama Paul Makonda ila alikuwa akilindwa vilivyo na Babaake wa Ukabila Mwendazake kupitia Yule Mpuuzi mwingine sasa ni Mtawala pale kwa Mkuu wa Mkoa Tabora.

Usinichefue zaidi nikayaanika usiyojua.
 
Hao Watu wanaoshtakiwa sasae huko Ulaya na Marekani kutokana na Makosa yao katika Tawala zao Wao hawakuwa Viongozi?

Kwahiyo baadhi yenu mlivyo Wapuuzi Vichwani mnataka kusema kuwa Dhambi za Makonda kwa Awamu ya Hayati zisiibuliwe leo?

Acha Kunilazimisha nianze Kukudharau.
Kuniita mpuuzi tayari inatosha kuonesha dharau kwangu. Ndugu yangu wapi nimeanadika tuhuma za Makonda zisiibuliwe?

Sasa kama mimi ni mpuuzi hebu nijibu. Je, ulitarajia kwenye Taarifa hii au nyingine toka Ikulu ieleze hatua zilizochukuliwa na Rais dhidi ya Makonda kutokana na tuhuma zake za matumizi mabaya madaraka alipokuwa mkuu wa Mkoa?
 
Back
Top Bottom