Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Binafsi nashangaa ni kwanini hadi leo hii Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan hajaamuru huyu Moron, Crook and Hellacious Paul Christian Makonda hajakamatwa na kuanza Kuchunguzwa na Dhambi nyingi, kubwa na mbaya alizozifanya ( hasa alipokuwa Dar RC )

Hukumu pekee inayomfaa huyu ( Paul Christian Makonda ) ambayo GENTAMYCINE nataka Kuisikia ikimpata tu ni ama afungwe Maisha Jela au ahukumiwe Kunyongwa.

Sabaya ni Papa Makonda ni Nyangumi.
 
Mbona mnawaza saana huyu mtu anaitwa makonda?

Alishawalaza vichocholoni kisha akaondoka bika kuwalipa pesa?

Na kama mnampenda kwa sasa sio maana ana mke wake tayari.

Makonda kakaa kimya nyie kika siku makonda, subilini akiwa ameongea kitu ndo mmshambulie.

Kama kakaa kimya na nyie kaeni kimya.
 
Keagan Paul una tuhuma nyingi sana mdogo wangu.

Kwanza umeghushi vyeti, jina lako ni Daud Albert Bashite, ulifeli, ulipata zero ukanunua jina mtu. Pale Muccobs napo tunajua ulivyosoma kiuongo uongo, unatuhumiwa kukwepa kodi na makontena yako, unatuhumiwa kufanya ujambazi studio za habari na kwenye biashara za watu, unatuhumiwa kudhalilisha watu, kuteka na jinai nyingine nyingi kibao.

Hebu jieleze una sababu gani za msingi ujitetee kwanini tusikuchukulie hatua baada ya ile ng'ombe iliyokuwa inakulinda kufa kwa covid?
Ulidhani dikteta uchwala ataishi milele?
 
Binafsi nashangaa ni kwanini hadi leo hii Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan hajaamuru huyu Moron, Crook and Hellacious Paul Christian Makonda hajakamatwa na kuanza Kuchunguzwa na Dhambi nyingi, kubwa na mbaya alizozifanya ( hasa alipokuwa Dar RC )

Hukumu pekee inayomfaa huyu ( Paul Christian Makonda ) ambayo GENTAMYCINE nataka Kuisikia ikimpata tu ni ama afungwe Maisha Jela au ahukumiwe Kunyongwa.

Sabaya ni Papa Makonda ni Nyangumi.
Faili lake linatembea mkuu.
 
Binafsi nashangaa ni kwanini hadi leo hii Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan hajaamuru huyu Moron, Crook and Hellacious Paul Christian Makonda hajakamatwa na kuanza Kuchunguzwa na Dhambi nyingi, kubwa na mbaya alizozifanya ( hasa alipokuwa Dar RC )...
Labda Mzee aliacha wosia kijana alindwe
 
Mbona mnawaza saana huyu mtu anaitwa makonda?
Alishawalaza vichocholoni kisha akaondoka bika kuwalipa pesa?
Na kama mnampenda kwa sasa sio maana ana mke wake tayari.

Makonda kakaa kimya nyie kika siku makonda, subilini akiwa ameongea kitu ndo mmshambulie.
Kama kakaa kimya na nyie kaeni kimya.
umetoa wapi mamlaka ya kumpangia mtu cha kuzungumza? Kama hautaki kuskia masuala ya makonda basi usiyafuatilie fanya yako waache wanaomuandama wamuandame mpaka watakapoona panafaa
 
Back
Top Bottom