Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Ushindi kwa gharama za kuua au?

Angemuua Baba au Mama yako ili CCM ishinde ungepata akili

Kuna watu wapumbavu sana Yeye yakimkuta ndio anakuja hapa JF kuomba msaada oooh NSSF hawatoi pesa mara Mahakama inaonea

Muda huu umeshiba makande na Tumbaku Unaanza kuropoka ropoka hapa kama Panya aliyebanwa na Paka

Ushindi wa CCM unahusiana vipi na kupora watu pesa

Huko Songea na Tanga si CCM inashinda kila siku tangu uhuru

Mbona hatukusikia kawawa ameteka watu au Nchimbi anatumia silaha kupora Mali

Yeye kilichomtuma kupora Mali na kutembea na mabunduki ni CCM?

Acha kuchafua chama wewe, CCM imejengwa kwa miaka mingi
Siyo Songea tu na Tanga, hata Simiyu, Dodoma na Morogoro.

Everyday is Saturday................................😎
 
Tatizo wengi humu tunasikia kuwa alifanya hivi ila kudhibitisha NI shida na humu wapo waliotoa hukumu tayari Kama vile mwamba tuache mahakama ihukumu kwa haki sio mitandao ya kijamii
 
Watanzania tumefikia hatua mbaya sana. Kuishi maisha ya kufuata mkumbo na kuchafuana bila sababu

Kama Diamond au mtu yoyote alishiriki jinai ambayo ilisababisha watu kupigwa, kuteswa au kushambuliwa kwa risasi basi afunguliwe mashitaka kuliko kuleta majungu ya kumwagia vitumbua mchanga.

Sheria inayozuia jinai nchini kifungu cha 22(1) (c) ipo wazi kabisa kushiriki kufanya jinai ni kosa na mtu unashitakiwa kama yule aliyetenda kosa.

Hivyo kama kuna mtu alishiriki bora wanahakati mkamshitaki kuliko kuleta majungu yasiyo na tija yoyote.
Screenshot_20210607-003950.png
 
Watanzania tumefikia hatua mbaya sana. Kuishi maisha ya kufuata mkumbo na kuchafuana bila sababu

Kama Diamond au mtu yoyote alishiriki jinai ambayo ilisababisha watu kupigwa, kuteswa au kushambuliwa kwa risasi basi afunguliwe mashitaka kuliko kuleta majungu ya kumwagia vitumbua mchanga.

Sheria inayozuia jinai nchini kifungu cha 22(1) (c) ipo wazi kabisa kushiriki kufanya jinai ni kosa na mtu unashitakiwa kama yule aliyetenda kosa.

Hivyo kama kuna mtu alishiriki bora wanahakati mkamshitaki kuliko kuleta majungu yasiyo na tija yoyote.View attachment 1810886
Ndiyo wamekutuma uje kuwaletea mitandaoni? Kama utetezi wenyewe ndiyo huo bora ukae kimya kwani badala ya kuwatetea unazidi kuwadhalilisha zaidi
 
Watanzania tumefikia hatua mbaya sana. Kuishi maisha ya kufuata mkumbo na kuchafuana bila sababu

Kama Diamond au mtu yoyote alishiriki jinai ambayo ilisababisha watu kupigwa, kuteswa au kushambuliwa kwa risasi basi afunguliwe mashitaka kuliko kuleta majungu ya kumwagia vitumbua mchanga.

Sheria inayozuia jinai nchini kifungu cha 22(1) (c) ipo wazi kabisa kushiriki kufanya jinai ni kosa na mtu unashitakiwa kama yule aliyetenda kosa.

Hivyo kama kuna mtu alishiriki bora wanahakati mkamshitaki kuliko kuleta majungu yasiyo na tija yoyote.View attachment 1810886
Tulieni tuli , tulionya mapema kwamba Shetani hajawahi kumshinda Mungu mkabisha .
 
Ndiyo wamekutuma uje kuwaletea mitandaoni? Kama utetezi wenyewe ndiyo huo bora ukae kimya kwani badala ya kuwatetea unazidi kuwadhalilisha zaidi
Tokea lini ulishakua na akili timamu?
 
Kuweka rekodi sawa, Makonda kama ilivyo kwa Sabaya, hana kitu chochote kile cha kujibu kwa yoyote yule hapa Tanzania na duniani.
Swali: Kama ni kweli kwanini basi Ole Sabaya anashikiliwa na polisi?

Jibu: Ni utaratibu tu wa kawaida kwa mtuhumiwa yoyote yule kushikiliwa mahabusu, na suala la muda tu kijana huyu mashtaka yote dhidi yake yatadondoshwa na atarudi kwenye maisha yake ya ufugaji kwenye moja ya vijiji vya kimasai.

Kiufupi hamna kijana yoyote yule kiongozi ambaye aliyefanya kazi nzuri ya uhakika ya maendeleo hapa nchini kupelekea CCM kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa 2020 ikatokea akapendwa na Chadema. Kwenye mkondo huu wapo vijana kama PolePole, Chalamila, Sabaya, Makonda, Gambo nk.

Chadema punguzeni chuki, ikulu huwa watu hawaendi kizembe kiasi hicho.
Chadema wanaingiaje sasa hapa? Ndio waliomkamata? Chadema ndio PCCB? Ndio waendesha mashtaka? Wana gereza? Acheni upuuzi, mkavamie watu huko then msingizie Chadema?
 
Kuweka rekodi sawa, Makonda kama ilivyo kwa Sabaya, hana kitu chochote kile cha kujibu kwa yoyote yule hapa Tanzania na duniani.
Swali: Kama ni kweli kwanini basi Ole Sabaya anashikiliwa na polisi?

Jibu: Ni utaratibu tu wa kawaida kwa mtuhumiwa yoyote yule kushikiliwa mahabusu, na suala la muda tu kijana huyu mashtaka yote dhidi yake yatadondoshwa na atarudi kwenye maisha yake ya ufugaji kwenye moja ya vijiji vya kimasai.

Kiufupi hamna kijana yoyote yule kiongozi ambaye aliyefanya kazi nzuri ya uhakika ya maendeleo hapa nchini kupelekea CCM kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa 2020 ikatokea akapendwa na Chadema. Kwenye mkondo huu wapo vijana kama PolePole, Chalamila, Sabaya, Makonda, Gambo nk.

Chadema punguzeni chuki, ikulu huwa watu hawaendi kizembe kiasi hicho.
Kama chama changu ' Shabikia ' kina Mwanachama wa ' hovyo hovyo ' kama Wewe ( na yawezekana mkawa mpo wengi tu ) nadhani sasa ni wakati ' Muafaka ' kwa Mimi GENTAMYCINE kwenda Butiama ' Uzanakini ' katika Kaburi la Babu Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere nikamuambie naachana rasmi ' Kukishabikia ' chama chake cha CCM na nabaki tu kuwa Mtanzania Huru ( Neutral ) hasa Kiitikadi ya Siasa.

CCM ya Nyerere niliyoijua vyema na iliyonilea pia haikuwahi kuwa na ' Intarahamwe ' kama akina Sabaya, Makonda, Mnyeti bila kumsahau hata na Magufuli Mwenyewe.

Ukiona Mtanzania yoyote ( na hasa akiwa ni mwana CCM ) anamtetea Sabaya na Makonda jua Kichwani mwake kumejaa sana Maji Machafu ya Chooni yenye ' Mseto ' wa Kinyesi cha Uharo na Funza wengi sana.

Kuna Mambo huwa yananikera mno tu.
 
Sasa hivi mnavyoitaja chadema kwenye sakata lq Sabaya hamuoni kinyaa? Chadema imehusikaje hapa au mna maana mama Samia ni chadema?
MIKAKATI yote ya mashahidi wa UONGO imefanyika kwa nguvu na uratibu wa CHADEMA.
Tunajua Cuthbert Swai ametumia nguvu kubwa.

Mwingine tayari kaandika uzi humu akitubu ukweli wa sakata la Sabaya kutumika kisiasa.

Kama CHADEMA mnadiriki kuratibu ujinga ili tu mumkomowe Diamond Platinums kwenye Tuzo za muziki.kisa aliisapoti CCM!

Mnashindwaje kula njama ili kumkomoa aliemuondoa ubunge mwenyekiti makengeza?
 
Kama chama changu ' Shabikia ' kina Mwanachama wa ' hovyo hovyo ' kama Wewe ( na yawezekana mkawa mpo wengi tu ) nadhani sasa ni wakati ' Muafaka ' kwa Mimi GENTAMYCINE kwenda Butiama ' Uzanakini ' katika Kaburi la Babu Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere nikamuambie naachana rasmi ' Kukishabikia ' chama chake cha CCM na nabaki tu kuwa Mtanzania Huru ( Neutral ) hasa Kiitikadi ya Siasa.

CCM ya Nyerere niliyoijua vyema na iliyonilea pia haikuwahi kuwa na ' Intarahamwe ' kama akina Sabaya, Makonda, Mnyeti bila kumsahau hata na Magufuli Mwenyewe.

Ukiona Mtanzania yoyote ( na hasa akiwa ni mwana CCM ) anamtetea Sabaya na Makonda jua Kichwani mwake kumejaa sana Maji Machafu ya Chooni yenye ' Mseto ' wa Kinyesi cha Uharo na Funza wengi mno.

Kuna Mambo huwa yananikasirisha sana.
Hizo jazba zako pia ni UHARO!
Tuiache mahakama ifanye kazi yake.
Tunajua mmejaa sumu kila mnapomuona mwenyekiti akizurula huku bunge likiendelea!
 
Hizo jazba zako pia ni UHARO!
Tuiache mahakama ifanye kazi yake.
Tunajua mmejaa sumu kila mnapomuona mwenyekiti akizurula huku bunge likiendelea!
Mkuu kaa mbali nami usije iacha Dunia.
 
Back
Top Bottom