Rais Samia Awaandalia Yanga Hafla ya Kuwapongeza

Ww ndo fala hujui kuwa Nchi zaidi ya 50 duniani na watu zaidi ya milioni 100 waliokua wanafuatilia ule mpira wameijua Tanzania kupitia Yanga, huna huelewa na Marketing, vyombo vyote vya habari vikubwa wameitaja Yanga chok@@ ww
 
Simba msimu ujao CAF championship pale ikulu ya chamwino dodoma
 
Ofisi ya Rais haina timu..
Waziri mkuu anajulikana ni Simba lakini kafanya uhamasishaji mkubwa Sana ili Yanga ashinde
 
Rais wa nchi yetu anapaswa kuwa "Mwananchi" yaani taasisi nyeti ya urais iongozwe na mkia? Ebu acha masikhara bana, yaani kolo kabisa lipate ridhaa ya kuwa raia namba moja hapa nchini!?
 
waacheni japo wwpate faraja ya ikulu..maana wana maumivu makubwa
 
Alafu juzi nasikia wepokea b2 za msaada eti kinisuru kaya masikini.
 
Siku hizi mashabiki wao wengi wamekuwa kama mashangingi ya mjini. Kila timu inayocheza na Yanga, basi lazima wajipendekeze kwao.

Eti sasa hivi wametoka kwa Waarabu, wamehamia kwa Azam waliotoka kuwafunga na kuwatoa kwenye hatua ya nusu fainali!!
Taratibu Mzee Baba wasije wakakulia njama hawa Makolokolo kwa kipigo hiki kwenye mishono yao [emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Popote anapoweza kupata umaarufu anajipenyeza.
 
Kwani vipi wakati ule wa live event,kila neno kila hatua kila ziara nazo ulishazisahau au wivu kwa mwanchi 🤔.Acha tufurahi bwana😠
 
Wananchi wenyewe tunazo pesa yetu,usitake kutusimanga,tunayo kama 7b,mfukoni hivi sasa,vipi nyie kolo😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…