Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kolowizards........limepovuka × 2Yap,mama anajifariji maskin[emoji1787]ni sawa na tajiri anakuwa na toto mbumbumbu darasan,analipa kila kitu Ila daily linakuwa la mwisho,so njia inayobak kujifariji na Hilo, toto zuzu ni kutumia fedha[emoji848][emoji474]
Moderators tafadhali msituangushe, haiwezekani Rais wetu Mtukufu wa nchi adhalilishwe namna hii.Rais kilaza huwa na hulka ya kudandia mambo kutaka cheap political mileage.
Kama huyo kolo si mwananchi naaukane uraia wake hapa tumwone,ili kumrejesha Burundi🏃🏃Kiasili kila mtu nchi ni Yanga, hata wewe kolo pia umetokea ubavuni mwa Yanga.
Kwani dodoma ikulu haina mahali pa kufanya hiyo tafrija?l?RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
@SuluhuSamia
ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo klabu hiyo ilifika fainali na kufanikiwa kutunukiwa medali kama mshindi wa pili.
Hafla hiyo ya kuipongeza klabu ya Yanga itafanyika Juni 5, 2023 Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2645787
Sawaaa. Pia asisahau kuwaambia wahakikishe hawaifungi timu ya Serikali ili ibaki ligi kuu.Timu kubwa hii,
Hayo mambo yatasimama kwanza mpaka jambo la Yanga liishe
Vipi, Wabunge wa maeneo hayo ni marehemu????HUYU mama mbona kama amepotea njia.
HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .
Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.
Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.
ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.
Hahahaha, leo wanahoji tafrija? DahWakati timu yako inashinda mechi zake na kupewa pesa za mama mbona haukuhoji
Umejilaza kibarazan alipoolewa dada yako unatype upuuzi,dada yako akisafiri ujue ni zamu yako kutafunwRais kilaza huwa na hulka ya kudandia mambo kutaka cheap political mileage.
Wajinga Ndiyo Waliwao, Wanacheza Na Pesa Za Watanzaniakazi kweli kweli
pesa za wajinga hizo siyo mbaya
Huo ugumu wa maisha unaletwa na ujinga wako,unataka mama akuletee cash?mnashinda kujiselfie badala ya kufanya kaz halafu mnalalamikaWananchi tunahangaika na ugumu wa maisha, huku wengine wanapongezana Ikulu. Ama kweli hatufanani.
Kwani hao watakaoenda ikulu ni watu wa malawi?Wajinga Ndiyo Waliwao, Wanacheza Na Pesa Za Watanzania
Nasma mpaka nikupige mti ndio uniheshimuUmejilaza kibarazan alipoolewa dada yako unatype upuuzi,dada yako akisafiri ujue ni zamu yako kutafunw
Siye tunawapa pole tu kwa masaibu yaliyowakuta.Wananchi wenyewe tunazo pesa yetu,usitake kutusimanga,tunayo kama 7b,mfukoni hivi sasa,vipi nyie kolo😂
Tunangoja Hasara Toka Kwa CAGKwani hao watakaoenda ikulu ni watu wa malawi?
Hata akitaka kuwapeleka Bungeni, wala sio big deal, kikubwa kombe limebaki uarabuni.Basi misukule ya Mudi Mhindi itanuna kweli na kutukana hovyo! Kisa wivu tu. Maana kila mwaka timu yao inaishia robo fainali. Hata ibebwe vipi, haibebeki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yap,mama anajifariji maskin[emoji1787]ni sawa na tajiri anakuwa na toto mbumbumbu darasan,analipa kila kitu Ila daily linakuwa la mwisho,so njia inayobak kujifariji na Hilo, toto zuzu ni kutumia fedha[emoji848][emoji474]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waacheni japo wwpate faraja ya ikulu..maana wana maumivu makubwa
Acha wivuHUYU mama mbona kama amepotea njia.
HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .
Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.
Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.
ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.