Rais Samia Awaandalia Yanga Hafla ya Kuwapongeza

Yap,mama anajifariji maskin[emoji1787]ni sawa na tajiri anakuwa na toto mbumbumbu darasan,analipa kila kitu Ila daily linakuwa la mwisho,so njia inayobak kujifariji na Hilo, toto zuzu ni kutumia fedha[emoji848][emoji474]
Kolowizards........limepovuka × 2

Wananchiiii.........wanatakata × 2

In Dogo Janja's song chorus [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwani dodoma ikulu haina mahali pa kufanya hiyo tafrija?l?
 
Vipi, Wabunge wa maeneo hayo ni marehemu????
 
Wananchi tunahangaika na ugumu wa maisha, huku wengine wanapongezana Ikulu. Ama kweli hatufanani.
 
Wananchi tunahangaika na ugumu wa maisha, huku wengine wanapongezana Ikulu. Ama kweli hatufanani.
Huo ugumu wa maisha unaletwa na ujinga wako,unataka mama akuletee cash?mnashinda kujiselfie badala ya kufanya kaz halafu mnalalamika
 
Basi misukule ya Mudi Mhindi itanuna kweli na kutukana hovyo! Kisa wivu tu. Maana kila mwaka timu yao inaishia robo fainali. Hata ibebwe vipi, haibebeki.
Hata akitaka kuwapeleka Bungeni, wala sio big deal, kikubwa kombe limebaki uarabuni.
Haya mengine mtajuana utopoloo na mama yenu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yap,mama anajifariji maskin[emoji1787]ni sawa na tajiri anakuwa na toto mbumbumbu darasan,analipa kila kitu Ila daily linakuwa la mwisho,so njia inayobak kujifariji na Hilo, toto zuzu ni kutumia fedha[emoji848][emoji474]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…