n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Punguani wengine, Sasa hapo anapiga kazi gani mtu kutwa kucha kuzurula kwenye nchi za watu wakati huku kaacha changamoto kibao. Kiongozi dhaifu, taifa halijawahi kuona. Nonsense.Acheni upotoshaji ni ziara yenye tija na manufaa kwa nchi yetu mwacheni mama apige kazi
Wherever. Kwanini asiwauzie waarabu pale makunduchi, mwakakogwa.Kelele zinapigwa kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
1985 Nyerere akiwa na Marehemu Sultan Qaboos.Wherever. Kwanini asiwauzie waarabu pale makunduchi, mwakakogwa.
ziara yenye tija inahusu nini?Acheni upotoshaji ni ziara yenye tija na manufaa kwa nchi yetu mwacheni mama apige kazi
MnadaπππTushapigwa, magufuli tutakukumbuka daima , mungu akupumzishe daima uliko.
Hii fimbo ya baba wa taifa iko wapi kwani???1985 Nyerere akiwa na Marehemu Sultan Qaboos.
Wakati mwingine ni aibu kwa mama mwenye watoto wakubwa ambaye unakaribia kupata ujuu kuja hapa kueneza chuki za kijinga, mumeo anawezaje kuishi na wewe hivi mpaka ukamzalizia watoto wa3???View attachment 2258922
Kwa sababu ni rahisi kuvuna, kawaruhusu wale urefu wa kamba kwanini wasimpendeKwa nini tunaongozwa na huyu lady?
Magu hakufaa kabisa. Bora tuuzwe tu. Hamna namna tenaNgojeni muuzwe wote si mlisema Magu hafai kwa kuwa aliwatimua mabeberu? Msilalamike, mpongezeni mama πππ
#Chawa_wa_mama
Kwa hiyo hadi leo hii hujui faida ya Kukopa? Kwamba wewe hujawahi Kukopa yaani..Utaishia kuwa fukara.Sasa inakuwaje faida? Hujawahi kusikia mpaka sasa kwenye kulipa ndo kwanza tunalipa riba, hata mikopo wenyewe hatujaugusa.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Anaenda kuchukua chake kwa waarabu baada kuwauzia ardhi ya wamasaiVideo ya Mapokezi ya Rais . Samia huko Oman . Itakuwa ni ziara ya siku tatu
View attachment 2258451View attachment 2258452
Usitukumbushe ya magu ,bora tu watuuzeNgojeni muuzwe wote si mlisema Magu hafai kwa kuwa aliwatimua mabeberu? Msilalamike, mpongezeni mama πππ
#Chawa_wa_mama
Kwani kazi ya nalozi ni ipi mkuu!!Acheni upotoshaji ni ziara yenye tija na manufaa kwa nchi yetu mwacheni mama apige kazi
Hiyo ndiyo maana halisi ya kuupiga mwingiYanatokea matatizo badala ya kukatisha ziara ndio kwanza anakwenda kuonana na wanaotuhumiwa.
Kweli tumepata Rais.