Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

Acheni upotoshaji ni ziara yenye tija na manufaa kwa nchi yetu mwacheni mama apige kazi
Punguani wengine, Sasa hapo anapiga kazi gani mtu kutwa kucha kuzurula kwenye nchi za watu wakati huku kaacha changamoto kibao. Kiongozi dhaifu, taifa halijawahi kuona. Nonsense.
 
Hii fimbo ya baba wa taifa iko wapi kwani???
 
Hawa Oman ni ndugu zetu kabisa!!. Zanzibar Woye!! Ngoja tuone!!!
 
Mulamula kabahatika kuwemo kwenye ziara hii, au bado yupo Siberia?
 
Pamoja na kujawa na mambo yako ya hovyo, ila kama tunaanza kukuelewa kwa hili la sasa.
 
You never know, inawezekana na zile hasira za kumchamba mpaka kukodisha vikundi vya wale "wacheza ngoma" toka mikoani zilisababishwa na hii mipango ovu iliyokuwa jikoni, alionekana anataka kuharibu dili.
 
Ngorongoro sijui ni loliondo wale watu wahame.

wao hawatakuwa watu wa kwanza kuamishwa kwa maslahi ya taifa. na uzuri wameshatengewa seem mpya ya kuishi.

nchi kubwa sana hawawezi kukosa seemu nyengine yakuishi.
 
Sasa inakuwaje faida? Hujawahi kusikia mpaka sasa kwenye kulipa ndo kwanza tunalipa riba, hata mikopo wenyewe hatujaugusa.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hadi leo hii hujui faida ya Kukopa? Kwamba wewe hujawahi Kukopa yaani..Utaishia kuwa fukara.

Ulidanganywa na nani? Serikali inatumia Til.10 kila mwaka kulipa madeni..

Utakopa afu kusiwe na riba? Huo utakuwa msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…