Acha wapambane wenyewe. Dhambi ya ubaguzi mbaya Sana. Walianza kwa kuibagua CHADEMA, leo wanabaguana wenyewe.Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwa ikulu ya Dodoma,Chamwino,wakumkumbuka ni Mwalimu Nyerere,alichimba mitaro ya kupeleka maji Chamwino,kwa kushika sururu,na kazi nyingine za ujenzi,aliweka kambi si chini ya miezi mitatu,hapo Chamwino.Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mbona kama umepagawa?My weekend itakua brilliant, saafi saaaana leo mmepigwa za chembe
Watu wazuri hawafi alijisemea makamba.Ila wananchi wa kawaida watamtaja tu kwa kila mradi aliouanzishaView attachment 2628647
Unajidanganya.My weekend itakua brilliant, saafi saaaana leo mmepigwa za chembe
Ila msilolijua kifo cha Yule bhana kimeligawa Taifa 3/4 .Hata marehemu naye alikuwa mgumu kutambua michango na juhudi za waliomtangulia!
Haya yote kayataka Magufuli, alipoanza kuwasema Wenzake waliotangulia kuwa hawajafanya kitu. Ngoja naye wamuoneshe utamu.Hata Mrisho Mpoto Mnafiki sana nimemsikiliza kwenye hizo kelele zake anazopigaga Kila mara kawasifia Mwinyi Mkapa Na Kikwete sijui kwakuwa aliwaona wamekaa pale... huku Makufuli..kamsifia kidogo sana wakati jiwe alifanya maamuzi magumu mama kawaumbua Maana kamsifia ....Mrisho Mpoto Acha unafiki [emoji3166]
Kumbe Mkapa naye alikuwepo kwenye uzinduzi! Sijui mzee wa legacy ameshindwa vipi kutokea🤣Hata Mrisho Mpoto Mnafiki sana nimemsikiliza kwenye hizo kelele zake anazopigaga Kila mara kawasifia Mwinyi Mkapa Na Kikwete sijui kwakuwa aliwaona wamekaa pale... huku Makufuli..kamsifia kidogo sana wakati jiwe alifanya maamuzi magumu mama kawaumbua Maana kamsifia ....Mrisho Mpoto Acha unafiki [emoji3166]
Na Mkapa alikuwepo?Hata Mrisho Mpoto Mnafiki sana nimemsikiliza kwenye hizo kelele zake anazopigaga Kila mara kawasifia Mwinyi Mkapa Na Kikwete sijui kwakuwa aliwaona wamekaa pale... huku Makufuli..kamsifia kidogo sana wakati jiwe alifanya maamuzi magumu mama kawaumbua Maana kamsifia ....Mrisho Mpoto Acha unafiki [emoji3166]
Yule mwamba hawaamini kama hayupo duniani,bado wanasuguana na kivuli chake,Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nitajie miradi ya JK unayoifahamu tofauti na kuzurura duniani.Haya yote kayataka Magufuli, alipoanza kuwasema Wenzake waliotangulia kuwa hawajafanya kitu. Ngoja naye wamuoneshe utamu.
Giza halina uwezo kuzima mwanga ila mwanga una uwezo kuondosha giza. Hilo ndio jibu rahisi tu kuelewa nini maana yake.Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Maana yake ni simple tu. Magufuli alikuwa na shari nyingi kuliko heri basi.Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mlisema Magu alipo na nyie mpo. Sasa mbona hamjaenda Chato kuzikwa naye?Yule mwamba hawaamini kama hayupo duniani,bado wanasuguana na kivuli chake,
Mwingine anasema aliwatuma ramani kualar lamper,lakini kaka miaka kumi akisafiri kama Vasco da Gama,na anajiingiza kwenye ushiriki,hakika watu wa pwani ni wanafiki sana
CHADEMA imeingiaje hapa?tukisema chadema ni watovu wa nidhamu mnatuona wabaya