Rais Samia: Haiwezekani jeshi lifanye mauaji na lijichunguze lenyewe

Kwa hili naunga mkono hoja 100%
 
Kabisa, kazi ya usalama wa Taifa ni nini?
 
N muda rafiki wa IPG kustaafu kwa amani
 
Amechemka. raia hawezi kuchumguza polisi Ila polisi anaweza kumchunguza raia. Hata ukitumia vyombo vingine vya ulinzi watacompromise tu report kutokana na mutual respect and relationship waliyonayo.
 
Kweli mambo yanakwenda kasi sana na kamanda Ziro bado yupo tu madarakani, tutaona mengi sana mwaka huu, ila hawa watu si marafiki jamani hata kule kuiba naniliu zile za kwenye masanduku baadfa ya miaka mitano wanashirikianaga?
 
Kwani polisi wanaripoti kwa waziri mkuu,? Mh. Rais Ana nia nzuri lakini kakosea njia sahihi ya kushughulikia hili suala.

Asante Mh. Rais kwa maamuzi hayo, japo unamtupia waziri mkuu kazi zisizomhusu.
Tuanzie hapa kazi za Waziri Mkuu ni zipi?Na kazi zipi haruhusiwi kufanya katika mgawanyo wa kazi zake?
 
Panapofuka moshi ndipo panapowaka moto...wenye mashaka na uzalendo wa Madame President wajipange Upya kumchafua
Sometimes, "zilongwa mbali, zitendwa mbali". Hivyo si kila asemacho mtu ndicho atendacho, tusubiri tuone. Isiwe yale ya Aquilina Aquilini.
 
Yulee alianzia juu kwenda chini,
Mama ameanzia chini anawafuata huko huko juu, hongera sana mama asiyekukubali mchawi,
 
Reactions: Tui
Kuunda Kamati hizo ambazo hazitaleta matokeo pale ambapo wananchi wamesahau hakusaidii! Jeshi la Polisi lifumuliwe na kuundwa upya kama baadhi ya wadau walivyokwishapendekeza muda mrefu.
 
Panapofuka moshi ndipo panapowaka moto...wenye mashaka na uzalendo wa Madame President wajipange Upya kumchafua
Siku hizi urais imekuwa kazi rahisi sana. Yani kwa sasa kazi ya Rais ni kuteuwa,kutengua,kutoa salamu za rambirambi kama kuna msiba na kuwatesa wapinzani. Mambo ya mfumuko wa bei,sijui mbolea, ajira,watu kuuwawa na kupotea hiyo kamwambie Bibi ako wala si kazi ya Rais tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye Amemsikiliza mtumishi wa Mungu Askofu Bagonza maana aliyazungumza haya jwenye Big ajenda ya Nyanda... Kudos SSH na Kudos Askofu... sasa ni wakati muafaka ianzishwe independent poice complaint commission ya kudumu itayohungunza vitendo vyote vya kutojali haki za binadamu wanavyo lalamikiwa polisi... SSH tengeneza legacy sasa---kazi na iendelee
 
Amechemka. raia hawezi kuchumguza polisi Ila polisi anaweza kumchunguza raia. Hata ukitumia vyombo vingine vya ulinzi watacompromise tu report kutokana na mutual respect and relationship waliyonayo.
Hakuna kitu kama hicho subiri tukimaliza.
 
Aliposema "Msinichukulie kwa jinsia yangu" kina ndugai walicheka na kugomba meza

Sasa tunamtaka IGP, watamuelewa tu mama yetu a.k.a biushungi ama bibi tozo kutoka kule visiwa vyenye marashi ya karafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…