Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Cha msingi mmeshanipa bandari zangu na tumekubaliana mimi ntawapa tende.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavuCha msingi mmeshanipa bandari zangu na tumekubaliana mimi ntawapa tende.
Kwa CCM matusi ni kama:
1. Kudai katiba mpya
2. Kukataa ardhi yetu kuporwa
3. Kukataa kubambikiwa kesi
4. Kukataa kutekwa
5. Kukataa kikokotoo
6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi
7. Kukataa kuporwa berue de change
9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm
10. Kutaka huduma nzuri za kijamii
11. Kukataa kuporwa uchaguzi
Endelea
Kwa mtazamo wako tulitakiwa tuendelee kutawaliwa na mzungu ili tusije kosa adabu kabisa!Mwafrika ni lazima awe controlled , ukimpa uhuru ulipoilitilza wanakuw ahawana adabu kabisa. Mfano halisi ni MZEE Odinga almnusuru aingize KENYA kwenye machafuko kisa ni uhuru.
Ama kweli chichiem majanga🤸🤸🤸Kwa CCM matusi ni kama:
1. Kudai katiba mpya
2. Kukataa ardhi yetu kuporwa
3. Kukataa kubambikiwa kesi
4. Kukataa kutekwa
5. Kukataa kikokotoo
6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi
7. Kukataa kuporwa berue de change
9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm
10. Kutaka huduma nzuri za kijamii
11. Kukataa kuporwa uchaguzi
Endelea
Puuzi weweCha msingi mmeshanipa bandari zangu na tumekubaliana mimi ntawapa tende.
Mimi au nyie mliyo sign mkataba.Pumbavu
hivi wewe una akili jamshid na saudia wanahusiana vipi[emoji116]View attachment 2746153
Bureau de Change...Kwa CCM matusi ni kama:
1. Kudai katiba mpya
2. Kukataa ardhi yetu kuporwa
3. Kukataa kubambikiwa kesi
4. Kukataa kutekwa
5. Kukataa kikokotoo
6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi
7. Kukataa kuporwa berue de change
9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm
10. Kutaka huduma nzuri za kijamii
11. Kukataa kuporwa uchaguzi
Endelea
Akupe weweIvi Huyu Mama si aachie tu Nchi kwani shida ni nini
Tusi la rejarejaAmechamba kama vyote
Inashangaza sanaKusema haki na ukweli ni matusi kwa watawala
Wewe uliyesaini mkataba mbovuMimi au nyie mliyo sign mkataba.
Hizo hadaa za Samia ndizo alizotaka kumuuzia Mbowe. Al manusra; ilibaki kidogo sana Mbowe atekwe kabla ya kurudi kwenye chama na kurudiwa naakili timamu iliyokwishamruka.Kwa CCM matusi ni kama:
1. Kudai katiba mpya
2. Kukataa ardhi yetu kuporwa
3. Kukataa kubambikiwa kesi
4. Kukataa kutekwa
5. Kukataa kikokotoo
6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi
7. Kukataa kuporwa berue de change
9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm
10. Kutaka huduma nzuri za kijamii
11. Kukataa kuporwa uchaguzi
Endelea
Huyu ndiye alimuahidi Kamara Harris kuwa ni lazima atupatie katiba hata kama itamgharimu kisiasa.Huwezi kuamini kwamba huyu ndiye aliyoongoza Bunge la Katiba la upatikanaji wa katiba mpya akiwa na hayati Samuel Sitta. Pia huwezi kuamini kwamba huyu ndiye aliahidi mapema Januari mwaka huu kwamba ataunda kamati ya kupata katiba mpya...