Una wazimu wewe si bureMagufuli aliifirisi hii Nchi, acha Samia arekebishe uchumi wa Nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una wazimu wewe si bureMagufuli aliifirisi hii Nchi, acha Samia arekebishe uchumi wa Nchi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kichaa alipewa lungu, sasa mburula amepewa pangaMagufuli aliifirisi hii Nchi, acha Samia arekebishe uchumi wa Nchi
Nasikia saluni nzuri na wasafisha kucha wazuri wote wapo Dar. Ndio kutwa Madam kufanya hizi shunting za Dodoma-Dar-Dodoma kila kukicha.Nimeona hoja hapo Dar,Dodoma
Dodoma, Dar...
Dar kwake; Dodoma kazini. Anaenda kazini asubuhi na kurudi nyumbani jioni. "Cost consciousness" kwake ni sufuri. Miamala kwenye simu zetu marofa italipa.Nimeona hoja hapo Dar,Dodoma
Dodoma, Dar.....
hv mama hawezi kukaa sehemu moja akapiga kazi zake......
tukumbuke technology inalimit physical movement kwa kiasi kikubwa sana.....
Nimeangalia kwa mfano viwango vipya vya tozo za miamala ya kutuma fedha na kutoa fedha kupitia mitandao ya simu, Gharama zake zimeongezeka sana wakati mwingine kuwa hata mara mbili ya ilivyokuwa hapo awali...
Zipo kila dalili kuwa hali ya uchumi kwenye utawala huu wa Rais Samia unaenda kuwa fyongo! Hali hii itaenda kuyafanya maisha ya wananchi kuwa magumu sana...
Aah wapi keshalewa sifa
Dawa ni katiba mkuu au nasema uongo ndugu zanguZipo kila dalili kuwa hali ya uchumi kwenye utawala huu wa Rais Samia unaenda kuwa fyongo! Hali hii itaenda kuyafanya maisha ya wananchi kuwa magumu sana...
Hoja ni kwamba wanawekeza kina Nani kitu kingine mmeruhusu wageni kumiliki ardhi yenu,,,....msipoangalia myajikuta WATUMWA kwenye ardhi yenu na ya Babu zenu kwa jina la AJIRA.... Babu zenu walijitoa kupigana uhuru wenu Leo hii mko tyr kupoteza mkiwaita wazalendo madikteta...Furaha imerejea mtaani, uwekezaji umeshamiri, Uhuru wa kuongea umerudi...unapigwa mwingi.
Nakufuta legasi...furaha imerudiTunaifungua nchi.
MATAGA na Sukuma Gang watakoma🤣🤣🤣🤣Hoja ni kwamba wanawekeza kina Nani kitu kingine mmeruhusu wageni kumiliki ardhi yenu,,,....msipoangalia myajikuta WATUMWA kwenye ardhi yenu na ya Babu zenu kwa jina la AJIRA.... Babu zenu walijitoa kupigana uhuru wenu Leo hii mko tyr kupoteza mkiwaita wazalendo madikteta...
Si legasi imeshafutwa?Nadhani Siyo uchumi utamwelemea,ulishaanza kumwelemea tayari! Unafikiri Deni la Taifa alilokuta la t.71/- linalipwaje? Bado kukamilisha miradi iliyoendeshwa kwa kukwapua fedha za wafanyabiashara (fedha zetu za ndani)!
Wameshandaa beti na chorus...wasikilize tu vizuri utaelewa...Soon tutataimba wimbo mmoja.
Huu ni ujinga, hakuna anayemharibia yeye kama raisi karidhia yote hayo. Hakuna waziri anayeweza kwenda kinyume na raisiKuna watu eanamwaribia mama