Wanafanya safari zisizo na Tina kwa nchi na wananchi ,mm nilimjua mapema kuwa mama ni limbukeni kama siyo athari chanya za magufuli leo mama angekuwa kesha tembelea nchi za ulaya zaidi ya 12Siyo Samia tu mwenye kupenda kuzunguuka zunguuka nchini na kushinda angani. Kuna misafara ya mawziri, maktibu wakuu, watumishi wengine kutwa kucha wako barabarani Dar-Dodoma, Dodoma-Dar. Yaani imekuwa serikali ya kusafirisafiri tu, Hawatulizani sehemu moja
Tatizo siyo safari yao, tatizo ni kuwa hizi safari ni gharama kwa mlipa kodi!
Zipo kila dalili kuwa hali ya uchumi kwenye utawala huu wa Rais Samia unaenda kuwa fyongo! Hali hii itaenda kuyafanya maisha ya wananchi kuwa magumu sana....
Tumepanga bei hizi zikipanda na sie tunapandisha vitu yunavyouza hela irudi mahali pake...Zipo kila dalili kuwa hali ya uchumi kwenye utawala huu wa Rais Samia unaenda kuwa fyongo! Hali hii itaenda kuyafanya maisha ya wananchi kuwa magumu sana...
Wewe pimbi mbona unatoa siri zetu !![emoji852][emoji852]Tumekubaliana hivyo kwamba kwa sasa hata chanjo ikidhuru watu, alaumiwe magufuli.
Huko kwenye hizo rasilimali ulizozitaja, nako kodi zake hazishikiki, sera hazieleweki, ndiyo maana kila mmoja anakuwa mwoga kwenda kuwekeza mabilioni huko. Kwa hiyo hakuna makusanyo wanayoweza kuyapata huko.Zipo kila dalili kuwa hali ya uchumi kwenye utawala huu wa Rais Samia unaenda kuwa fyongo! Hali hii itaenda kuyafanya maisha ya wananchi kuwa magumu sana....
Kwani yeye ni kipofu kwamba haoni anaalibiwaKuna watu eanamwaribia mama
Tuliwaambia wasifananishe moyo wa magufuli na mambo ya kijinga awakutuelewa, sasa tunawaambia wasubiri miezi 6 ijayo ndiyo watajua hasara ambayo tz tumeipata kwa kutuondoshea kiongozi wetu asiye penda dhurumaWameshandaa beti na chorus...wasikilize tu vizuri utaelewa...
Magu ni shetani aliekufa for a good reason.Tatizo upinzani watz kumejaa utopolo ni kama ccm bila ya magufuli ni utopolo so utopolo + utopolo =?
Mliokuwa mnamponda magu muda utaongea siku si nyingi mtakosa hata pakuweka sura zenu
Jidanganye siku si nyingi utajua aujui ,kile unacho kitazamia kukipata kwa kuondoka magu hutokipata na hali yako ya mwisho itakuwa mbaya kuliko ya mwanzoMagu ni shetani aliekufa for a good reason.
Ila wabunge walitishwa kumbuka kabla ya kupiga kura ya bajeti, ndugai aliwaambia kuwa wasipopitisha raisi ana uwezo wa kuvunja bungeNisisikie mataga wakilalamika mlitaka monoparty bungeni ccm watupu ona sasa
Bunge limejaa kijani tuu halafu chama kimoja halaf wabunge wenyewe walipitishwa kwa dhulma na wengi shule hamna unatarajia nini...
Huu ujinga wenu utaliumiza hili TaifaMagufuli aliifirisi hii Nchi, acha Samia arekebishe uchumi wa Nchi
Wewe hujamuelewa mkorinto, hana maana kama una unavyofikiria wewe,. Una elimu gani?Kumsingizia Magufuli kwenye suala la kupanda miamala ni uwendawazimu
Hii ni kazi ya Samia na wachumi wake ndo wametuleta hapa kwenye mtanzuko huu!
Hakika Sasa nimeamini kumbe Wapinzani Walituchelewesha sana Kukusanya KODI
WATANZANIA hii inayoitwa KODI ya Uzalendo ndile ile KODI YA MAENDELEO nadhani MKAPA ALIIFUTA sasa umerudi Kwa Jina LINGINE Tutarajie KODI ya BAISKELI nayo INAKUJA TANZANIA imepania BARABARA ZA VIJIJINI KUWA ZA LAMI
WAPINZANI WALITUCHELEWESHA SANA.