Issue siyo mother tongue mbona maprofesa wa Kihaya wana lafudhi ya Kihaya but wanapiga ngeli kali tuu?Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
Kwa uzoefu wangu vyuo vingi ulimwenguni vinapima zaidi unyoofu wa lugha ktk uandishi inawezekana mtu kusoma nchi wanayozungumza kiingereza ila akawa anapata shida ktk matamshi. Sioni shida endapo ujumbe unafika ila tu asitumie broken english.Seriously? It is questionable!!
Sioni shida endapo ujumbe unafika ila tu asitumie broken english
Ni ushamba kuwaza Hilo Kwa sababu hata wasomi hii lugha inatusumbua Kwa sababu sio mother tongue ni lugha ambayo wengi wetu tunaikuta secondary.kwa hiyo wengi wetu hatuna background nzuri ya English.kuna watu madocta au maprofesa wazuri Sana ila hawako fluent kwenye hiyo lugha.hiyo lugha haimaanishi wewe ni msomi mzuri au siyo msomi mzuri.kabla ya kuanzia mada mnatakiwa kuwaza Kwa mapana Kwanza.View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Ofcoz Pipo yuz to dai ini ze ini ze ini zerek[emoji23]...
We lost alot of life thus why Bifoo i derivaring my spech we have to show appreciation to our hero...
Yuzidi to dai
Ni Mkali wa English alisoma UK Birmingham University na alisoma nyakati za ukoloni msingi wake. Joyce ni kizazi cha post independenceProf. Mwandosya unamfahamu?Unajua alisomea kitu gani?Ulishawahi kukisikia kiingereza chake akiongea?
Harooo hebu muache plopesa Ndalichako!Hera ya tuisheni ya kiingereza hukumlipia.😝😝😝😝😝😝View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Hivi huwa mnakaa na kutetea ujingaujinga ili iweje?Kuanzia darasa la tatu hadi kuwa profesa ameshindwa kuijua hiyo lugha?Huyo ni mdumavu wa akili.Miaka karibia ishirini hajaielewa lugha? Mbona kitoto cha miaka mitano tu kinafunzwa lugha(yoyote duniani) na kuelewa vizuri?Kutetea upumbavu ni kuwa sehemu ya upumbavu au ya mpumbavu.Kasirika!Akili sio kiingereza cha kuongea kila Mmoja anaudhaifu wake, tafuta paper Zake alizopublish ndio ujue kuandika si kuongea na kuongea si kipimo cha akili
Huyu ni kichwa na mwanasayansi mwanamahesabu Mkali sana.
Tuangalia uthubutu na kujiamini pia tujivunie lugha zetu, upumbavu ni pamoja na kuabudu lugha za kigeni.
Lingual franca ni muhimu lakini si kwa kashfa kama hizi.
Wanyakyusa wana msemo "Imbwa syasekene palukama" niliichota kwako hii .
In any case there shall always be difference/variety/diversify in all aspects of life and so is the creation by purpose.
Tupambanie Bunge letu liwe na sessions za kuongea kwa kiingereza ndio tutaelewa nini maana ya 4 language skills.
I have never had a feeling that am better off than anybody in anything but am certain there those better and better than me.
Ni aibu kumwita Ndalichako ni profesa.View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Huyu ni profesa wa kupewa sio wa kusomeaView attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Sijui Kwanini alienda! Si angetuma mwakilishi? Huku ni kujidhalilisha na ingawa ni mathematician mzuri tu. Kaka yake Laurent Ndalichako alikuwa Dar tech na alikuwa ni columnist wa Sunday News enzi zile za miaka ya mwanzo ya 80. Mama anaibisha sanaView attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
kwa nini unachukua muda wako kuandika ujinga. sometimes kukaa kimya kunaficha upumbavu mkuuKwani kingeleza ndio kipimo cha weledi au taaluma kichwani?
Unaweza ukajua kingeleza kizuri kabisa lakini madini kichwani hamna. Na unaweza usijue hicho kingeleza chenu lakini kichwani madini matupu. Kingeleza ni lugha tu kama kishwahili nk, nk na sio kipimo cha weledi wa mtu.
Issue sio accent. GrammarHuyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
Hata kama kizungu ni lugha tu,lakini hapa bongo,kina uhusaiano mkubwa na uwezo wa mtu kitaaluma,kama ameshindwa kumaster lugha tu,je hayo mengine aliwezaje?View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?