Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Huyo ni genius,kasomea Ulaya Masters yake,hataki kuwa mtumwa wa kuongelea puani Kama mzungu.
 
Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
Hapana. Professor sarungi Mother tongue ya kijaluo but he is fluent in Queen's language.
 
Hakuna uhusiano wowote hapo kingereza ni Lugha na PhD ni taaluma, sasa kuto kujua kingereza kuna athiri vip PhD yake? Pamoja na kwamba ni lugha aliyo itumia kusoma hig yo PhD lakini hakuwa anajifunza lugha eleweni hivyo.

unawezaje kuelewa sasa ulichosomea kama Lugha unayitumia kusomea huijui.....level ya Phd na Profesa kuna kuandika majarida na kufanya mihadhara ndio utunukiwe, alitumia lugha gani na alieleweka vipi ilihali Lugha husika hajui, tumeambiwa amesoma Canada..

Tusichanganye ile elimu ya secondary ambayo unakariri unajibu mtihani, unauliza swali unajibu....level ya masters, PhD na Profesa ni level ya uelewa mkubwa hivyo lazima uandike papers na kufanya presentation, sambamba na research mbalimbali...
 
View attachment 2046608

Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Ndalichako kuwa Waziri wa elimu ni DHARAU kubwa kwa Watanzania. Kama wanamtaka wampatie kazi inayoendana na ubingwa wake wa hesabu. AIBU kubwa
 
Ona hapa Hayati Magufuli enzi za uhai wake nae alikua ni miongoni mwa PHd zilizokua mahututi mbele ya english....

Sikiliza utumbo huu:

"We have approximately thirty ferries and the one which is working is more than twenty nine..." hesabu hiyo umeielewa?

Angalia kuanzia dakika 1:20 link

Magufuli ndiyo usimseme kabisa. PhD yake alikopi andiko la mtu mwingine (plagiarism).

Ben Saanane alipohoji akakamatwa na Makonda halafu wakamuua kwa kushirikiana na Magufuli
 
View attachment 2046608

Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?

Wewe labda utakuwa hujui yafuatayo.
1. English like any other language has nothing to do with the intelligence or technical know how.
2. Your exposure: seems you never come across with some of the learned people with blonde hair and blue eyes who have worse command in English than Joyce. The minister have a good communication skills in both languages in such a way any person who knows the languages can easily understand.
 
Hakuna uhusiano wowote hapo kingereza ni Lugha na PhD ni taaluma, sasa kuto kujua kingereza kuna athiri vip PhD yake? Pamoja na kwamba ni lugha aliyo itumia kusoma hig yo PhD lakini hakuwa anajifunza lugha eleweni hivyo.
polokwane unaijuwa PhD wewe? Kwa mtu aliyesoma Primary School yenye English language kama somo la lazima, then O-Level somo la lazima plus language of instructions kwa masomo mengine yote. Halafu A-level, Bachelor, Master's to PhD language of instructions ni hiyo hiyo. Hakuna MSAMAHA wa kutojuwa kuandika na kuongea kiingereza.

Suala ni je Ndalichako alitetea vipi miswaada yake ya Mac na PhD?
 
Kwa kweli mama lugha ya malkia ilimuacha mbali sana. Kwa hali hii ni vema akawa anafanya mahojiano ya kiswahili tu na hata akihojowa na mtu wa nje atafute mkalimani aweze kuelezea hoja zake!
Hayupo peke yake. Na ndo maana tunasisitiza matumizi ya Kiswahili. Lakini kwa kutokujua wang'ang'ania lugha ya malkia wa Uingereza
 
polokwane unaijuwa PhD wewe? Kwa mtu aliyesoma Primary School yenye English language kama somo la lazima, then O-Level somo la lazima plus language of instructions kwa masomo mengine yote. Halafu A-level, Bachelor, Master's to PhD language of instructions ni hiyo hiyo. Hakuna MSAMAHA wa kutojuwa kuandika na kuongea kiingereza.

Suala ni je Ndalichako alitetea vipi miswaada yake ya Mac na PhD?
Watu wa hivyo wanakariri balaa...
Anyway; tunaficha matatizo kwenye mifumo yetu ya elimu alafu technology inatuumbua...
 
kama hao wanaopewa PhD za fojari UDOM, kuna uprofesa na PhD nyingi za bandia chanzo ni hongo, madaraka na rushwa. Mavyuo kama UDOM ni ya kufutwa tuu hayana maana ovyooooo, ptuuuu.
 
Ni kweli lakini anaweza kuboresha grammar yake! Grammar ndiyo tatizo lake kuu sijui Baraza la maprofesa waliwezaje kumuelewa na kuelewa paper zake!

Uandishi na uzungumzaji ni vitu viwili tofauti. Inawezekana ana uandishi mzuri sana. Mtu yeyote akisoma paper zake anazielewa pasipo shaka.
 
Panadol ya nn tena mkuu???
PhD yake na fluency kwenye English havina uhusiano kabisa, huenda ikawa English kwake ilikua option tu kwa ajili ya Masomo

Acheni chuki, tatizo mliaminishwa ukijua kuongea kingereza ndio kuwa smart kichwani

Sema Prof akitoka hapo lazima akameze panadol[emoji1787]
 
Back
Top Bottom