Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Nawe uandishi huu vipi!???

1639828673244.png
 
View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?

Bonus 🤣🤣

Duu kwa hiyo umeamua kumchongea kwa Mh. Rais?
Si yalikuwa majadiliano yetu tu sisi wanaJF..au?
 
Ofcoz Pipo yuz to dai ini ze ini ze ini zerek😂...

We lost alot of life thus why Bifoo i derivaring my spech we have to show appreciation to our hero...
Huyu mama angekutanishwa na Magufuli pamoja na Msukuma kwenye mdahalo alafu lugha ni kingeli,Lazima wangezalisha lugha mpya ya kiyunani 🤣 🤣 🤣
 
Hawa ndio wanadhalilisha mtu Kuwa na Ph.D; kwasababu hawaendani na heshima ya kisomo cha kiwango hicho!!! Hii ndio hasara ya kusoma degree ya kwanza mpaka kutunukiwa Ph.D Chuo kimoja[ UDSM}!!!! Wengi wa namna hii wanapata taabu sana kwa kukosa exposure!!!
Huyo mama PhD na MSc kasomea Canada kaisomea Alberta canada. Acha kudaharau watu
 
Hahaaaa nmemmiss kwel jiwe,alikuwa anajitutumua kwer lkn wp
Huyu mama angekutanishwa na Magufuli pamoja na Msukuma kwenye mdahalo alafu lugha ni kingeli,Lazima wangezalisha lugha mpya ya kiyunani [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Kuna Nchi. So mi nazungumzia nchi au Nazungumzia Tanzani? Mkuu vipi?

Mi naongelea mazingira yetu apa Tanzania. Thesis sinilazima adefend infront of panelists?
Unayemzungumzia hakupatia Ph.D yake Tanzania. Ameipatia Chuo Kikuu cha Alberta, Canada. Kabla ya hapo alikuwa anafundisha UDSM.
Hapana, kwa wenzetu doctoral thesis huwa haitetewi mbele ya panel bali inatetewa mbele ya mtaalam wa fani husika anayeitwa external examiner. Kabla ya mwanafunzi kuruhusiwa kuitetea, external examiner anakuwa ameishaipitia kujiridhisha kuwa imefikia kiwango kinachotakiwa.
External examiner haangalii fluency katika matumizi ya lugha bali contents za thesis iliyombele yake na uthibitisho kuwa anayeitetea kweli ameiandika. Uthibitisho huu unatokana na anavyojibu maswali na uelewa wake wa kilichoandikwa. Lahfudh haihusikani katika hilo.

Amandla...
 
Unayemzungumzia hakupatia Ph.D yake Tanzania. Ameipatia Chuo Kikuu cha Alberta, Canada. Kabla ya hapo alikuwa anafundisha UDSM.
Hapana, kwa wenzetu doctoral thesis huwa haitetewi mbele ya panel bali inatetewa mbele ya mtaalam wa fani husika anayeitwa opponent. Kabla ya mwanafunzi kuruhusiwa kuitetea, opponent anakuwa ameishaipitia kujiridhisha kuwa imefikia kiwango kinachotakiwa.
Opponent haangalii fluency katika matumizi ya lugha bali contents za thesis iliyombele yake na uthibitisho kuwa anayeitetea kweli ameiandika. Uthibitisho huu unatokana na anavyojibu maswali na uelewa wake wa kilichoandikwa. Lahfudh haihusikani katika hilo.

Amandla...
sawa kapatia nje , kwani Canada alikuwa anawasiliana kwa ishara mpaka awe na English mbovu hivo anashindwa hata na mtoto wa English medium
 
Hahahaaha nilitaka nikupe dongo ila nimecheka Sana kwa sauti
Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
Ah
 
sawa kapatia nje , kwani Canada alikuwa anawasiliana kwa ishara mpaka awe na English mbovu hivo anashindwa hata na mtoto wa English medium
Ni sisi ndio tuna hang up kuhusu lahfudh katika uzungumzaji wa kiingereza. Wenzetu wanakuwa na wanafunzi kutoka nchi nyingi ambao uwezo wao wa kuiongea sio mkubwa. Wao wanaangalia madini yaliyomo kwenye thesis, sio mtu kazungumza kwa lahfudh ipi au broken kiasi gani.
Sisi ndio tunamuabudu mtu kwa namna anavyoongea kiingereza tunasahau kuwa watu walioanza kuitumia mapema wako fluent zaidi. Prince Charles anakiongea vizuri sana lakini haina maana kuwa ni intellectual.

Amandla...
 
Wakati nasoma kuna watu walikuwa wanashinda ku cram dictionary ili waweze kutumia maneno magumu. Na mpaka sasa hivi wengi tunawasifia wale wanaoutumia maneno ambayo hatuyaelewi. Tunasahau kuwa ubora wa matumizi ya lugha ni watu unaoongea nao wanavyokuelewa.

Mkosoeni kwa matendo yake, kutoweza kwake kujenga hoja n.k. lakini sio ufanisi wake katika kuongea lugha ya kiingereza.

Amandla...
 
Duu kwa hiyo umeamua kumchongea kwa Mh. Rais?
Si yalikuwa majadiliano yetu tu sisi wanaJF..au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimecheka mbavu sina, afu huyo dada pembeni anabetua mdomo kumkebehi waziri uwiiiiih.
 
Wizara ya Elimu ni kati ya Wizara muhimu sana katika nchi kuhakikisha viongozi wa wizara ni wasomi walioelimika. Kwenye hili hakuna siasa wala uchama. Hili ndilo tatizo kubwa linalochelewesha maendeleo ya Taifa.
 
View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?

Bonus [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiinglishi.
 
Hawa ndio wanadhalilisha mtu Kuwa na Ph.D; kwasababu hawaendani na heshima ya kisomo cha kiwango hicho!!! Hii ndio hasara ya kusoma degree ya kwanza mpaka kutunukiwa Ph.D Chuo kimoja[ UDSM}!!!! Wengi wa namna hii wanapata taabu sana kwa kukosa exposure!!!
Painful fact.
 
Acheni hizo ninyi wabongo.

Kwani mtu akiwa na PhD mnataka awe na maajabu gani?
Mtu yoyote mwenye uwezo wa kukumbuka vitu kwa haraka anaweza kupata hiyo PhD.

Tofautisha kati ya elimu na akili.
Mara mia Dr Msukuma kuliko huyu PhD yake ni ukakasi alipataje, ana pure broken English
 
India wanasifika kuhodhi one of the best professionalism duniani, especially kwenye medical field. But Inglishi yao sasa. Wabongo ila, ama wamebwia gongo huko Gongo-la-Mboto au nadhani wangali na matongotongo ubongoni hadi mgongoni.
Wahindi wako vizuri sana. Wao ni accent tu. Ni sawa umkute Mzimbabwe na accent yake ya kishona, Mnigeria au Msouth.... Lakini msuyai wanavunja. Huyu Mama lugha ni tatizo.... Na kwa level yake ya education ni aibu kwa nchi na education system yetu ukichukulia kwamba yeye ndiye Waziri wa elimu na ni Professor.
 
Back
Top Bottom