Kwa kumtambua na kumpa zawad pia inatoshaWangemuwezesha kwenye hiyo fani yake ya uvuvi iyoizoea.
Wangempa boti nzuri ya uvuvi na fedha kiasi.
Huko wanakwenda kumpoteza tu.
Safi sana tunapaswa kuishi kwa ajili ya wengine aisee
Sifa pekee haziweki ugali mezani.Kwa kumtambua na kumpa zawad pia inatosha
Maana tushazoea kuona wale wanaofanya mambo ya kibwegbweg na wanakuwa maarufu hadi wanapelekwa bungeni kama wagen
Sasa kwa huyu dogo ni hatua na sifa kubwa sana kwake
Ova
Yote hayo yanaweza kufanyikaSifa pekee haziweki ugali mezani.
Hayo maisha ya mshahara hajayazoea.
Keshazoea kujikimu kwa kufanya uvuvi.
Wangemboreshea hali waliyomkuta nayo.
Huko wanakompeleka anakwenda kuanza moja.
Vijana hao ni adimu kuwapata.Ni agizo kutoka kwa Rais Samia
Amiri Jeshi Mkuu ameagiza Waziri wa mambo ya Ndani mh Masauni kuanza mchakato wa ajirar ya huyo kijana mara moja
Kijana huyu ndio alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa
Source TBC
======
Waziri mkuu akiwa kwenye shughuli ya kuaga miili ya kuaga marehemu waliopata ajali kwenye ndege ya precision amesema Rais Samia ametoa agizo kijana aliyewanusuru watu waliokwama kwenye ndege hiyo atafutiwe nafasi kwenye Jeshi la uokozi.
Pia Serikali kugharamia mazishi ya wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
Na ukitaka kuthibitisha million moja siyo pesa wewe waulize tu makarani wa sensa.Haya ndo mambo ya maana sasa, kwani Ushujaa wake ni kielelezo cha kupata ajira.
Unampaje 1ml akishaanza kuzitumia tu dakika chache zimeishia ilhali amejitoa nafsi yake kuokoa watu ambayo walikuwa wakiangamia.
Rais amefanya jambo sahihi sanaNi agizo kutoka kwa Rais Samia
Amiri Jeshi Mkuu ameagiza Waziri wa mambo ya Ndani mh Masauni kuanza mchakato wa ajirar ya huyo kijana mara moja
Kijana huyu ndio alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa
Source TBC
======
Waziri mkuu akiwa kwenye shughuli ya kuaga miili ya kuaga marehemu waliopata ajali kwenye ndege ya precision amesema Rais Samia ametoa agizo kijana aliyewanusuru watu waliokwama kwenye ndege hiyo atafutiwe nafasi kwenye Jeshi la uokozi.
Pia Serikali kugharamia mazishi ya wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
Yaani rubani wa ndege anaongea na traffic controller muda wote halafu ndege ianguke serikali wawe hawana habari na wapi imepoteza mawasiliano?Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidia
Watoto wa marehemu mna wivu sana, ajira ya serikali ina security nyingi kuliko huo uvuvi wa kuchumia tumbo.Sifa pekee haziweki ugali mezani.
Hayo maisha ya mshahara hajayazoea.
Keshazoea kujikimu kwa kufanya uvuvi.
Wangemboreshea hali waliyomkuta nayo.
Huko wanakompeleka anakwenda kuanza moja.
Hivi wewe uliwahi kumiliki akili lini?Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidia
Motisha nzuri na inaongeza hamasa ya kuwajibika kwenye majanga mbalimbaliNi agizo kutoka kwa Rais Samia
Amiri Jeshi Mkuu ameagiza Waziri wa mambo ya Ndani mh Masauni kuanza mchakato wa ajirar ya huyo kijana mara moja
Kijana huyu ndio alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa
Source TBC
======
Waziri mkuu akiwa kwenye shughuli ya kuaga miili ya kuaga marehemu waliopata ajali kwenye ndege ya precision amesema Rais Samia ametoa agizo kijana aliyewanusuru watu waliokwama kwenye ndege hiyo atafutiwe nafasi kwenye Jeshi la uokozi.
Pia Serikali kugharamia mazishi ya wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
Huenda alikua anaficha madhambi yake mkuu.Mimi naomba yule aliemkataza huyo kijana asivunje kioo atajwe. Tumpe pongezi kwa kuua marubani
Ushindi kivipi? Kulikuwa na mashindano?Yule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.
Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.
Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali
Huna jema khee!? Maneno haya ayaseme kijana mwenyewe aliyepewa fursa na Amiri Jeshi Mkuu. Kwa sasa story ni kupongeza uamuzi wa CIC na uhodari wa kijana Mtanzania.πππSifa pekee haziweki ugali mezani.
Hayo maisha ya mshahara hajayazoea.
Keshazoea kujikimu kwa kufanya uvuvi.
Wangemboreshea hali waliyomkuta nayo.
Huko wanakompeleka anakwenda kuanza moja.