abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Tuhamasishe wananchi wawakatae hata kabla ya uchaguzi?
Tuandamane?
Tugome na kufanya migomo ya nguvu?
" kila waziri anatakiwa ale kulingana na urefu wa kamba yake" Anonymous.
Tuhamasishe wananchi wawakatae hata kabla ya uchaguzi?
Tuandamane?
Tugome na kufanya migomo ya nguvu?
" kila waziri anatakiwa ale kulingana na urefu wa kamba yake" Anonymous.
🤗🤡😳Af mnasema humu kuna raisi kweli😅
Hahahahahah kuna mbuzi wamefungwa kwenye majaruba ya mpunga, matembele na maharagwe wakati wengine wamefungwa kwenye mbudu😅Mbuzi wengine wamefungwa kwenye malisho matamu
Hebu tueleze kamaanisha nn?Acha kupotosha mkuu,mama hakumaanisha hivyo,pole Sana
Nauza hizo kofia,njoo nikuuzie umuunge mkono mamaView attachment 2079534
Maanake wao waendelee kula vinonoNimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?
Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya
View attachment 2079590
Natanguliza shukurani
Mtanzania Alibaba Sana Sana🤸 ,sisawa, siisawa🏃.Samia anaongea uhalisia,sisi Watanzania bila kuiba tunaugua Malaria.
Nchi yetu Tunaipenda sana Tena sana lakin Hili genge la wahun ni la kukataliwa kabisa.Amesema mchukieni ila muipende nchi yenu......
#Kazi Inaendelea
Anamshukuru MUNGU anavyokula vinonoU-Kikwete na masafari yamerudi in full effect.
Pombe Magufuli is rolling in his grave.
Samia Suluhu is laughing at the headstone.
Ya kutalii duniani kupata frequent flier miles.Yupi alikuwa na vission. Labda jk!!!
Na watu wanapiga kweli kweliRais akiwahutubia Mwaziri na makatibu wakuu,, amasema anajua kila mtu anakula na atakula kwa urefu wa kamba yake lakini kwa sasa waanzidi hadi awanagombana. Je, hii si ndiyo maana ya Rais kuruhusu upigaji ila uwe wa kiistarabu?
Hapa tumeliwa kwa kweliSiyo kwa viongozi tuu, Mtu yeyote yule anayeongea kabla ya kupanga nini cha kusema, wapi pa kusemea, na namna ya kusema ni mtu mropokaji. Bahati mbaya kwa Tanzania ni kwamba hao ndio viongozi.
Na pia sio lazima Rais aandikiwe nini cha kuongea, hapana! Muhimu ni yeye mwenyewe kujiandalia nini cha kuzungumza. Vladmir Putin anajiandikia hotuba zake yeye mwenyewe, na hajawahi kutoa boko.
Lipo sawa kabisa,huo mfano ni mtizamo wako.We unaona lipo sawa hilo? Ni sawa na mzazi kusema vuteni bangi na unga ila msilanduke😅
Acha kujifanya kuwa hamnazo.Wewe ulikuwa unafikiri kuwa ufisadi ni kuiba peke yake na ndiyo maana ukawa unadai kuwa mtu alieiba fedha nyingi kiasi hicho amezificha wapi?Kumbe ufisadi siyo lazima mtu aibe.
Unachopaswa kufanya ni kunishukuru kwa kuwa nimekupa elimu ya ufisadi.Ulikuwa hujui maana ya ufisadi.
Ulichoandika kimeandikwa wala huwezi tena kubadilisha maana yake.Onyesha sehemu niliyo sema nafikiri ufisafi nikuiba pekeake.
Otherwise unalopoka tu kama mlevi.
Ikiwa unawaza kama kunamtu humu kwenye hili jukwaa hajui maana ya ufisadi basi wewe ni mtu wa kupuuzwa.
Wewe ndiyo mpumbavu popoma. Pokea orodha hiiWewe mpumbavu tutajie hata watu watano waliouawa na Magufuli? Hivi unaunga mkono huu ujinga anaousema huyu bibi yako? You are very stupid!
Ulichoandika kimeandikwa wala huwezi tena kubadilisha maana yake.
Kitendo chako cha kudai kuwa "Hiyo pesa mtu anaweza kuiiba pekeake alafu isijulikane ilipo, aliiweka kwenye account gani ama ipo kwenye mabegi nyumbani kwake?" kinathibitisha bila kutia shaka kuwa ulikuwa unaamini kuwa ufisadi ni wizi peke yake, wakati 1.5 trilioni inaweza kupotea kupitia rushwa,kununua wapinzani,matumizi nje ya budget na kadhalika.
Wenye akili zetu tunajua kusoma na kuelewa vizuri.
View attachment 2080194