Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Bunge lipi? Hili lililogeuka kama idara ya kumwagilia maua ikulu?Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.
Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.
Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Arsenal washapigwa red huko!Bunge lipi? Hili lililogeuka kama idara ya kumwagilia maua ikulu?
Msemo kuwa mbizi hula kulingana na urefu wa kamba yake una maana ukoshafumgwa kamba hutaweza kula ambacho kamba haikufikishi bali utazunguka palepale.Tuhamasishe wananchi wawakatae hata kabla ya uchaguzi?
Tuandamane?
Tugome na kufanya migomo ya nguvu?
" kila waziri anatakiwa ale kulingana na urefu wa kamba yake" Anonymous.
Yaani anajua tunapigwa na wasaidizi wake halafu anaishia kulalamika tu.Urefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....
Tuache upotoshaji koko.....
#Siempre JMT🙏
Mwenyekiti amewaongelea sana....mtaacha lini ndugu zetu ninyi?!!??Haya yanatoka wapi? Habari ya JPM inahusika vipi?
KAULI ILIYOTOLEWA LEO HAIFAI KUTOLEWA NA KIONGOZ WA NGAZ YOYOTE. NI AIBU KUBWA SANA KUHALARISHA UPIGAJI. NIMESITUKA MNO ZAIDI YA SANA. MAMBO GANI HAYA JAMANI. Labda ndo siri za nchi watu wanaahidi kutunzNi kauli za kijanga sana na sijawahi kufikiri upumbafu kama huu??? Kwa hiyo amehararisha watu wapige wanavyotaka? Bogus kabisa
Wacha waibeMkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.
Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.
Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Watu bado wapo kwenye denial ni muhimu tukamuheshimu MamaUpotoshaji KAZI KWELIKWELI......
Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....
Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......
Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......
#Siempre JMT[emoji120]
Amesema mchukieni ila muipende nchi yenu......Huyu ni miongoni mwa marais wa hovyo hovyo kabisa DUNIANI. HOVYO KABISA
😍Watu bado wapo kwenye denial ni muhimu tukamuheshimu Mama
Utaupasua moyo wako bure.....KAULI ILIYOTOLEWA LEO HAIFAI KUTOLEWA NA KIONGOZ WA NGAZ YOYOTE. NI AIBU KUBWA SANA KUHALARISHA UPIGAJI. NIMESITUKA MNO ZAIDI YA SANA. MAMBO GANI HAYA JAMANI. Labda ndo siri za nchi watu wanaahidi kutunz
Ndugu yangu. Hii ni nchi "primitive" ya Tanzania. Hii kauli hata kukemewa tu, hakuna wa kuikemea. Usishangae kesho ukawasikia zombies wa UVCCM wakimpongeza kwa kukemea rushwa na ufisadi.Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.
Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.
Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
wapo !Hakuna aliyewahi tumbuliwa eti Kisa kala,kama unayo tuwekee hapa.
Amegoma kuchukua fomu. Kawaachia akina Chenge wajiundie mitandao ya kuiba na kutorosha fedha nchini.Tumpe Gwajiboy uspika!
Bunge ni watu wakijua ukweli wanabadilikaBunge lipi? Hili lililogeuka kama idara ya kumwagilia maua ikulu?
Wapotoshaji kazini.....Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.
Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.
Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Yaani Arsenal na Man Utd hovyo sana msimu huuArsenal washapigwa red huko!
Mbona lugha aliyotumiia ipo wazi?Wapotoshaji kazini.....
Mh.SSH ameongelea kuhusu kutoingiliana katika utendaji kazi wa MAWAZIRI na MANAIBU WAO....
Tatizo labda kiswahili cha pwani hakieleweki vyema......🤣🤣
Ameongelea kuhusu MUHALI....
#Mchukieni Ila Ndio Rais
#Mchukieni Ila Muipende Nchi Yenu
#Mchukieni Ila Yeye Yupo Sana aaamin🙏