Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.

Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.

Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Bunge lipi? Hili lililogeuka kama idara ya kumwagilia maua ikulu?
 
Tuhamasishe wananchi wawakatae hata kabla ya uchaguzi?

Tuandamane?

Tugome na kufanya migomo ya nguvu?

" kila waziri anatakiwa ale kulingana na urefu wa kamba yake" Anonymous.
Msemo kuwa mbizi hula kulingana na urefu wa kamba yake una maana ukoshafumgwa kamba hutaweza kula ambacho kamba haikufikishi bali utazunguka palepale.

Usemi huu hauwezi kuhamishwa kwa mawaziri la utaleta tafsiri tofaiti lakini mbona kasema kuna kuzidisha, ina maana mbuzi anakosa akila majani yote ndani ya kamba.

Tungeacha tu yafsiri kwani msemo haukulenga sehemu sahihi
 
Wakivimbiwa wajitahidi wapate vidonge vya magnesium ili wapunguze Ile hewa tumboni.
 
Urefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....

Tuache upotoshaji koko.....

#Siempre JMT🙏
Yaani anajua tunapigwa na wasaidizi wake halafu anaishia kulalamika tu.
 
Ni kauli za kijanga sana na sijawahi kufikiri upumbafu kama huu??? Kwa hiyo amehararisha watu wapige wanavyotaka? Bogus kabisa
KAULI ILIYOTOLEWA LEO HAIFAI KUTOLEWA NA KIONGOZ WA NGAZ YOYOTE. NI AIBU KUBWA SANA KUHALARISHA UPIGAJI. NIMESITUKA MNO ZAIDI YA SANA. MAMBO GANI HAYA JAMANI. Labda ndo siri za nchi watu wanaahidi kutunz
 
Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.

Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.

Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Wacha waibe
 
Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......

Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....

Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......

Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......

#Siempre JMT[emoji120]
Watu bado wapo kwenye denial ni muhimu tukamuheshimu Mama
 
KAULI ILIYOTOLEWA LEO HAIFAI KUTOLEWA NA KIONGOZ WA NGAZ YOYOTE. NI AIBU KUBWA SANA KUHALARISHA UPIGAJI. NIMESITUKA MNO ZAIDI YA SANA. MAMBO GANI HAYA JAMANI. Labda ndo siri za nchi watu wanaahidi kutunz
Utaupasua moyo wako bure.....

Nchi haijaanza awamu ya 5.....

#Siempre JMT🙏
 
Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.

Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.

Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Ndugu yangu. Hii ni nchi "primitive" ya Tanzania. Hii kauli hata kukemewa tu, hakuna wa kuikemea. Usishangae kesho ukawasikia zombies wa UVCCM wakimpongeza kwa kukemea rushwa na ufisadi.

Mwenyewe kasema kama humpendi ukatafute nchi yako ukaishi.
 
Hakuna aliyewahi tumbuliwa eti Kisa kala,kama unayo tuwekee hapa.
wapo !

mimi kuna ndugu yangu mmoja alitumia cheti changu cha form 4 kupatia ajira wakati mimi nina digrii na wala sikihitaji tena. Akafumuliwa kuwa kuwa kama alipata division 1 form 4 kwa point 4 ni kwa nini hakwenda form 5, akawa hana jibu.

 
Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.

Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.

Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Wapotoshaji kazini.....

Mh.SSH ameongelea kuhusu kutoingiliana katika utendaji kazi wa MAWAZIRI na MANAIBU WAO....

Tatizo labda kiswahili cha pwani hakieleweki vyema......🤣🤣

Ameongelea kuhusu MUHALI....

#Mchukieni Ila Ndio Rais
#Mchukieni Ila Muipende Nchi Yenu
#Mchukieni Ila Yeye Yupo Sana aaamin🙏
 
Wapotoshaji kazini.....

Mh.SSH ameongelea kuhusu kutoingiliana katika utendaji kazi wa MAWAZIRI na MANAIBU WAO....

Tatizo labda kiswahili cha pwani hakieleweki vyema......🤣🤣

Ameongelea kuhusu MUHALI....

#Mchukieni Ila Ndio Rais
#Mchukieni Ila Muipende Nchi Yenu
#Mchukieni Ila Yeye Yupo Sana aaamin🙏
Mbona lugha aliyotumiia ipo wazi?
 
Tumpe Gwajima au Dr Msukuma uspika, hao ndo wanafanana na yule msukuma aliyepigwa na Mungu, hapo ndo roho yako itasuuzika
 
Back
Top Bottom