Na Hii ya kula mpaka kuvimbiwa ilimaanisha nini ? Embu tusaidie tafsiriUrefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....
Tuache upotoshaji koko.....
#Siempre JMT🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Hii ya kula mpaka kuvimbiwa ilimaanisha nini ? Embu tusaidie tafsiriUrefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....
Tuache upotoshaji koko.....
#Siempre JMT🙏
Tuna rais weak mno haijapata kutokea.Alafu anataka kugombea uraisi Tena 2025, huku ana halalisha ufisadi serikalini,
Huyu bb Tozo [emoji848]
Unaona ni sahihi kusema hayo?Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......
Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....
Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......
Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......
#Siempre JMT[emoji120]
Kamle kichwa mama yako fala wewe, unamtisha nani kenge mkubwa wewe.Eeeh!jiangalie kijana tutakukula kichwa
Jumbe Brown mwenye funguo ya kufuli la samia wateeee hawajaelewa ila ww tu ndio umeelewa asanteUpotoshaji KAZI KWELIKWELI......
Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....
Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......
Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......
#Siempre JMT[emoji120]
Magufuli hakusema watu wale kwa Kamba yao lakini bado tuliona Mawaziri wake wakila hadi wakavimbiwa na yeye mwenyewe kaindoka na Tsh 1.5 Trillion. Msijifanye hamjui kwamba Magufuli alikuwa mwizi
Alienyoroshwa ni wewe mtetezi wa Samia pamoja na Samia mwenyewe ambae amehamasisha ufisadi katika serikali yake huku akifikiri kuwa hayupo live kumbe yupo live TBC Taifa🤡🤡🤡Ww unyoroshwe vizuri kabisa
Lawama zotee ccmHuyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Ww umesahau tumenyukana sana enzi za magu....Alienyoroshwa ni wewe mtetezi wa Samia pamoja na Samia mwenyewe ambae amehamasisha ufisadi katika serikali yake huku akifikiri kuwa hayupo live kumbe yupo live TBC Taifa🤡🤡🤡
Pumbavu mkubwa wewe Liwagu unaniita Mimi mropokaji?? Kwani hukusoma ripoti ya CAG Prof Assad ya 2016/17? Ni lini tulipewa jibu juu ya hoja ya ukaguzi hiyo?Aisee ivi unaijua 1.5 trillion???
Hiyo pesa mtuanaweza kuiiba pekeake alafu isijulikane ilipo, aliiweka kwenye account gani ama ipo kwenye mabegi nyimbani kwake?.
Angeiba hiyopesa kwajinsi mafisadi wanavyo mchukia saizi kila ushahidi ungewekwa wazi dunia nzima ione.
Acheni kulopoka lopoka.
Unapowaasa mawaziri kuwa wajipimie ni umekataza ufisadi au umeruhusu ufisadi?Nimesikia vizuri tuu,shida iko wapi hasa? Rais si anawaasa mawaziri Kuhusu wizi au?
Hadsome Boy CBE unajitahidi sanaUpotoshaji KAZI KWELIKWELI......
Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....
Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......
Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......
#Siempre JMT[emoji120]
UmekatazaUnapowaasa mawaziri kuwa wajipimie ni umekataza ufisadi au umeruhusu ufisadi?
Waibe mpaka tuone kinyaaWaasibe sana... Wangate na kupuliza...
Kujipimia ni nini?Umekataza
Worst statement ever. Hata kama ana good intentions, naona kajivuruga mwenyewe.Kwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya Taifa!😁😁😁
Anawaambia wajipimie😁😁😁
View attachment 2079774
Ni kupiga kadiri nafasi unayotumikia inavyokuruhusu. Fanya ufisadi kwa kujipimia bila kumfikia mwenzako.Kujipimia ni nini?
Unaelewa maana ya ufisadi? Nani kakwambia kuwa ufisadi ni kuiba?Aisee ivi unaijua 1.5 trillion???
Hiyo pesa mtuanaweza kuiiba pekeake alafu isijulikane ilipo, aliiweka kwenye account gani ama ipo kwenye mabegi nyimbani kwake?.
Angeiba hiyopesa kwajinsi mafisadi wanavyo mchukia saizi kila ushahidi ungewekwa wazi dunia nzima ione.
Acheni kulopoka lopoka.