Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Ufisadi umehalalishwa
True. Yaani hapa Maza kahalalisja ulaji tena mchana kweupe. This is not right na inabidi tjipigie kelele.

No wonder Watoto wao wanarudishwa kwa kasi ili waje wale kutokana na urefu wa kwamba zao.

Issue hapa, ni akina nani wenye kwamba ndefu....!!
 
Huyu siyo wa kumwendea kwa staha na upole. Huyu ni kuruka nae mpera mpera. Tusipofanya hivyo nchi itapigwa mnada mchana kweupe
Hapana kiumri huyu ni Mzazi kama walivyo wazazi wetu nyumbani, ni kweli masuala ya Nchi ni mapana sana yanahitaji uimara katika kuongoza.

Ndio maana ya kushiriki kwa pamoja kumsaidia ama kwa ushauri au vyovyote vile ili Taasisi ya Urais ipate kutekeleza majukumu yake.

Na huu ndio uwe/ utakuwa mchango mkubwa wa mitandao ya kijamii.

Ni vizuri kutofautiana mitizamo, lakini dhumuni kuu liwe ni "Tanzania Kwanza"
 
Acha uchawa wako , hiyo clip iko very clear hiyo tafsisri yako ni ya kichachawa! Samia anawaambia waende kula lakini wasivimbiwe , sasa huko sio kuhalalisha upigaji?
Hawa watu wake nao wanafuata nyendo za yeye mama, anapowateua wakina RIDHWANI kutokana na ukaribu wake na baba yake na kuwaacha wenye uwezo kuliko yeye anadhani hao mawaziri nao hawawezi kufanya hivyo yeye anavyofanya? Kiongozi anatakiwa aoneshe mfano.

Magufuli alipiga marufuku watendaji kufanya safari za nje kiholela na yeye akaonesha Mfano wa kutokuwa mzururaji!! Kikwete alikuwa mtu wa kwenda kubembea na watendaji wake nao wakawa wanapishana Airport nao wakifuata nyayo zake!!! Utakalofanya wewe Samia ndio wafuasi Wako watafanya pia!! Badala ya kupiga mayowe unatakiwa uongoze kwa kuonesha Mfano. Unatakiwa uwe RAIS wa vitendo na Maneno machache! " UKUBWA WA PUA SIO WINGI WA MAKAMASI."
Huyu ni miongoni mwa marais wa hovyo hovyo kabisa DUNIANI. HOVYO KABISA
 
Tuache kuwapa wazee madaraka kwa miaka ambayo wamekaa madarakan tumeona walivyotupiga wakiwa madarakani wanafanya Apo Ni sehm ya kula pension na sio manufaa ya wananchi vijana ndo tunajua hustle zilivyo uku kitaa
 
JK ndiye aliyekuwa mbabaishaji wa kutupwa. Kwa vile hakukemea watu, labda ndiyo maana wanamkumbuka hasa wale waliokuwa na vyeti feki, na wale waliokuwa wamajiri watumishi hewa..
Hakuna ambaye alikuwa na cheti feki ilikuwa mbinu ya jpm kupunguza wafanyakazi tu
 
Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.

Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.

Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
 
Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.

Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.

Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Ndo ukwwli Wacha tule tu
 
  • Thanks
Reactions: CK
We utakua shabiki wa utopolo! Hutaki hata kutupa nafasi ya kusherekea ubingwa wetu!
 
Akili yako fupisana, unashindwa hatakujiuliza kwamba kwa kiasi kikubwa cha pesa kama hiyo unadhani uchunguzi ungesubiri mbaka leo wakati muhusika amesha kufa?.

Wajomba zako mafisadi wangesha anika kilakitu mapema asubuhi.

Natayari tungesha jua cheni ya wote walio chota hizopesa.
1.5 Trillion sio pesa ya kipumbavu, najua unafahamu wingi wa pesa kama hiyo na isingepotea kijinga jinga sema unajifanya mwendawazimu tu.
Unapoteza muda kujibu nyumbu kama huyo. Ni bora ungelala, dude linalofikiri 1.5 tilioni za kitanzania ni kama elfu 50 rahisi kuiba na kuficha basi lazima niwe na mashaka na akili yake.
 
Mkuu wa nchi anatamka bila hata kusita na kumug'unya maneno kuwa kila waziri au kiongozi awe anakula kadli ya urefu wa kamba yake. Bila aibu anasisitiza kuwa wasiibe au kula rushwa kama walio kula mchongo na rushwa ya ujenzi wa meli na kula rushwa ya dola mil kila meli.

Huku ni kukiuka katiba ya JMT ambayo inataka viongozi wawe waadilifu na wasikiuke sheria ya maadili ya viongozi wa umma ambayo inataka kiongozi asichukue rushwa au kuhimiza kuchhukua rushwa.

Ibara ya 46A ya katiba ya JMT ipo wazi na rais Samia aondoshwe madarakani na bunge la JMT.
Labda kama job asingekimbia u subwofer
 
Back
Top Bottom