Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Hakuna unafki, yeye Kama raisi alipaswa kukemea hiyo hali na kuchukua hatua.
Nchi zote tunazoona zimeendelea ni sababu ya kupinga na kuzuia rushwa au ufisadi serikalini.
Mfano. Watu wanakula rushwa Ila si unaona kila Mara takukuru wanakumbusha kuaa kutoa na kupokea rushwa ni kosa lla jinai.
Kwa uelewa wangu mimi, mwenye mali akikwambia najua unaniibia ila usiniibie sana sidhani hata kama utapata tena huo ujasiri wa kuiba.. kila ukitaka kuiba utakuwa unawaza kuonekena hata ukipata huo ujasiri bado shida itakuja, hiyo hiyo kidogo ni ipi
 
U-Kikwete na masafari yamerudi in full effect.

Pombe Magufuli is rolling in his grave.

Samia Suluhu is laughing at the headstone.
Ha ha ha ha ha ha nimecheka sana jiwe akiamka leo ataua mtu
 
Hakuna unafki, yeye Kama raisi alipaswa kukemea hiyo hali na kuchukua hatua.
Nchi zote tunazoona zimeendelea ni sababu ya kupinga na kuzuia rushwa au ufisadi serikalini.
Mfano. Watu wanakula rushwa Ila si unaona kila Mara takukuru wanakumbusha kuaa kutoa na kupokea rushwa ni kosa lla jinai.
Na kama angekuwa na huo uthibitisho wa huo wizi, sidhani kama angeongea hivyo.. kwani we mgeni na wabongo?! Au ndo tumezoea kutishwa kwa nguvu?! Sometimes huitaji kutumia nguvu nyingi kudeal na baadhi ya vitu
 
Naililia Mama Africa

Afrika ya nani?? Nenda kule South Afrika ukakatwe korodani, munaionea Zanzibar tu na uvamizi wenu kwa sababu ni ndogo na kuna hawa vitimba kwiri vya CCM akina Shein na huyu mliyemleta kutoka Mkuranga, mnavitumia kama vibaraka vyenu
 
Tatizo wabongo tumezoea unafki, mama kaongea kitu cha kweli, nani asiyekula katika nafasi aliyopo? Mtanzania yeyote hata kwa kazi ya ulinzi kuna namna ananufaika kwa nafasi ile tatizo mama kawakumbusha usije kunjinufaisha/ kunufaika kwa nafasi hiyo hadi unacompromise majukumu yako.
What a coincidence yule aliye kaburini aliwaambia matrafic wachukue fedha za kubrush viatu! Huyu kha msizidishe na kuvimbiwa lakini! Rushwa ipo na ni halali!! JPM and SSH
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Huna adabu wewe, hao kina Museven wanafanya nini kwenye nchi zao zaidi ya dhulma na mabavu
 
What a coincidence yule aliye kaburini aliwaambia matrafic wachukue fedha za kubrush viatu! Huyu kha msizidishe na kuvimbiwa lakini! Rushwa ipo na ni halali!! JPM and SSH

You are sick in your head…

Unalinganisha tip unazonegotiate barabarani na traffic vs matrillioni ya pesa za walipa kodi…
 
You are sick in your head…

Unalinganisha tip unazonegotiate barabarani na traffic vs matrillioni ya pesa za walipa kodi…
Wewe pumbavu chatu alianza kwa kuwa nyoka mdogo! Hakuna rushwa ndogo! Hivi huyu unayemwambia asivimbiwwe unalinganisha ni nini! na yule mduanzi alikuwa na maana ya kubrush viatu tu! Think and use what is in what you call skull otherwise it is just shit!!!
 
Tumuombe Mungu tusirudi kule tulikotoka, nampigia Simu mkuu ataamuru niachiwe. Nakwenda kwa Baba atakupatia ajira au connection, cement ya kujengea daraja MFUKO mmoja laki mbili, watoto wa wakuu kutibiwa na kusoma nje ya nchi wanapata Elimu kwa kizungu na kuwafanya wafikirie mambo kwa kizungu.

Upendeleo, ubaguzi, ufisadi na udhalimu vishindwe kwa uwezo wa Mungu.
 
Watanzania bhana!Waache wakati wamehamasishwa na Rais kuwa wajipimie?View attachment 2080155Ingekuwa ni Taifa lingine hadi muda huu huyu Rais asingekuwa madarakani lakini kwa jinsi ulivyojibu hapo juu kuna uwezekano hadi wananchi wakaliwa na bado Rais akaendelea kudunda.

Few days ago spika wa bunge kajiuzulu kwa kutetea nchi kuingia kwenye madeni ambapo tusipokuwa waangalifu tutapigwa mnada.. Akapigwa vita walijitokeza makada mbali mbali wa CCM wakimshinikiza jamaa ajiuzulu

Rais kawaambia viongozi wale pesa za walipa kodi kwa urefu wa kamba zao…na hatuna la kumfanya… tunaumia ndani kwa ndani…

Kilichobaki ni kumlilia muumba wa mbingu na nchi atufanyie wepesi…
 
Wewe pumbavu chatu alianza kwa kuwa nyoka mdogo! Hakuna rushwa ndogo! Hivi huyu unayemwambia asivimbiwwe unalinganisha ni nini! na yule mduanzi alikuwa na maana ya kubrush viatu tu! Think and use what is in what you call skull otherwise it is just shit!!!

Non sense
 
Back
Top Bottom