Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hivi kwa mfano Samia na Majaliwa wanna moral authority kuwanyooshea vidole wakurugenzi wa Halmashauli wanaoiba pesa wakati waliwatumia kwenye wizi wa kura 2020?Matokeo ya "hili nalo mkalitizame"
Na ukiona madudu yanawekwa hazarani na watu wanasemwa vibaya jua kuna boya mmoja kanyimwa mgao kaamua kuchomeshaHizo ishu ni za mipango ya wao wenyewe.
Dah hii hatari SANARais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.
“Kuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefu”
“Kuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?
Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemea”
WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?
Mtaje bawan kwani nanini anajua jina lakoWe kufadhili wapi pesa zinasombwa ulaya watu wana invest kwenye ma bonds, real estate, bitcoin na asset zingine kipindi cha Kikwete kuna waziri siwezi mtaja alisepa na 66B ana 5 star hotel 3 nchini Canada hivi vitu mkuuu havinaga muongozo asee
Watu wanajali vizazi vyao tu hapa
Sasa wanaolalamika na wewe ni wale wale tu kama kumtaja tu HUWEZI.We kufadhili wapi pesa zinasombwa ulaya watu wana invest kwenye ma bonds, real estate, bitcoin na asset zingine kipindi cha Kikwete kuna waziri siwezi mtaja alisepa na 66B ana 5 star hotel 3 nchini Canada hivi vitu mkuuu havinaga muongozo asee
Watu wanajali vizazi vyao tu hapa
Awamu Ya Muhari HiiMatokeo ya "hili nalo mkalitizame"
😂😂😂🤣🤣😂😂🤣"Niliye simama hapa ni rais jamuhuri ya muungano wa Tanzania"
Hawa Wanatia Kinyaa Sana Yote Yanafanyika Wapo KimyaWakimpesha mtu 5m walikua wanachukua nyumba na kupiga mnada harafu BOT ipo inaona transaction karibu Bank tano wao kazi yao nini na hao TRA mtandao wa huo wizi ni mkubwa sana...
Kama Wakili wa shetani ameweza kuona hapa kuna uovu basi Tanzania tupo kwenye kipindi kibaya sana.Sasa kama rais naye anaishia kunung'unika inakuwaje?
Ukiweka vijisent vyako utasikia subiri taarifa ya TRA kwanza watu wanahamisha hela nyingi bila taasisi zetu kujua inaumiza sana mimi huwa sielewi BOT wanafanya nini au hawana sheria inayoweza kuwapa hayo madaraka zipo Nchi huwezi kuwekewa kiasi kikubwa kwenye akaunti yako harafu zisionekane zimefanya nini lazima utaitwa ukatoe maelekezo hata kama ulitoa bidhaa nje utaonyesha makaratasi sio Tanzania wageni wanapeta mno kuliko wenyeji...Hawa Wanatia Kinyaa Sana Yote Yanafanyika Wapo Kimya
Upuuzi Mwingi Sana SanaUkiweka vijisent vyako utasikia subiri taarifa ya TRA kwanza watu wanahamisha hela nyingi bila taasisi zetu kujua inaumiza sana mimi huwa sielewi BOT wanafanya nini au hawana sheria inayoweza kuwapa hayo madaraka zipo Nchi huwezi kuwekewa kiasi kikubwa kwenye akaunti yako harafu zisionekane zimefanya nini lazima utaitwa ukatoe maelekezo hata kama ulitoa bidhaa nje utaonyesha makaratasi sio Tanzania wageni wanapeta mno kuliko wenyeji...
Alikuwa anachukua hatuaMzee baba mwenyewe ripoti kama hizi aliziogopa sana tu rejea kutenguliwa kwa prof Assad, watanzania tunatabia za kinafiki sana si ajap kuona tunamtukuza rais kuliko taifa lenyewe. Rais sio Mungu wala Malaika Kuna muda na wakati anaitaji msaada kisayansi, kimedani na ujuzi kuweza kukabiliana na uvujaji wa mapato ya nchi.
Umejua leo damu yangu?Nilichokuja kugundua
Tanzania inahitaji mtu mtukutu kutuongoza km mzee baba asee
Katika wizara na taasisi za serikali kuna watumishi waadilifu kibao wenye utumishi wa muda mrefu elimu nzuri uzoefu na uadilifu ila zinapotokea nafasi za uongozi kuanzia za chini kabisa hadi za juu huwa hawafikiriwi kabisa kupewa nafasi hizo. Sababu wanaogopwa kwa misimamo yao ya kupinga wizi na ubadhirifu ndani ya taasisi wanazofanyia kazi hivyo hawapendekezwi. Serikali ianzishe kanzidata ya watumishi waaminiffu na wanaoonyesha uzalendo tangu wakiwa maafisa wa kawaida na itumie kanzidata hiyo kujaza nafasi mbalimbali za uteuzi pindi inapotokea ziko wazi. Kuwajua watumishi hao ni rahisi sana, serikali itumie upelelezi wa chinichini kuwabaini bila wao wenyewa kujua kwani mifumo rasmi sehemu zao za kazi huwa haiwataki rasmi.Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.
“Kuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefu”
“Kuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?
Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemea”
WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?