Rais Samia: Kwa sura nazoziona hapa (CHADEMA) hamna dhamira ya kushika dola 2025, mnajua mama yupo

Rais Samia: Kwa sura nazoziona hapa (CHADEMA) hamna dhamira ya kushika dola 2025, mnajua mama yupo

Hii ni kauli ya kikubwa, Kwa watu wakubwa

Rais kamaanisha watamuunga mkono yeye na sio wao kugombea Kuchukua madaraka
Na tena, alikuwa akiongea kim-zaha mzaha hivi!
Mleta uzi, sina shaka MAKAVU aliyopewa mama, waalaaa hakuwa anayasikia!
 
Ule msemo wa Maendeleo hayana Vyama,Mama Samia ndio anaishi nayo kabisa.
Sasa tulivyo Chadema wanaweza kuja Kwenye mkutano wa CCM na sare zao na wa CCM tunaweza kwenda kwenye mkutano CDM na sare zao,kila Mmoja akamsikiliza mwenzake.Hii amani ni mama Samia ndio kaileta.Kwanini tusijivunie Mama Samia,Rais wa mfano,mama yetu Shupavu kabisa mwenye roho ya kipekee.
#Kazi iendelee
 
Huu ni ukweli unaoumiza 😂, organization ya CDM mpaka ikae sawa sio 2025
 
Ule msemo wa Maendeleo hayana Vyama,Mama Samia ndio anaishi nayo kabisa.
Sasa tulivyo Chadema wanaweza kuja Kwenye mkutano wa CCM na sare zao na wa CCM tunaweza kwenda kwenye mkutano CDM na sare zao,kila Mmoja akamsikiliza mwenzake.Hii amani ni mama Samia ndio kaileta.Kwanini tusijivunie Mama Samia,Rais wa mfano,mama yetu Shupavu kabisa mwenye roho ya kipekee.
#Kazi iendelee
Sura za dola mnazo?
 
tuko pamoja
 

Attachments

  • 6CDC4105-D693-45EE-9509-090B609CBD6F.jpeg
    6CDC4105-D693-45EE-9509-090B609CBD6F.jpeg
    86.5 KB · Views: 2

Rais Samia akiwa katika Maadhimisho amezungumza mambo mbalimbali. Akiwa anajibu hoja ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAWACHA kuhusu nia yao ya kushika dola 2025 Rais Samia amesema:

"Ndugu zangu siasa ni mchezo wa kulumbana kwa hoja Wote tukiwa na lengo la kushika dola kama alivyosema Mwenyekiti wa BAWACHA na Freeman Mbowe. Kwa sura nazoziona hapo hamna nia ya kushika dola 2025 mnajua Mama yupo dhamira hiyo haipo."

"Lakini niseme yes wote tuna lengo hilo lakini tukafanye kistaarabu kama Wanaadamu kama watu. Tuheshimiane, tuheshimike duniani."

Aidha Rais Samia ameongeza;

"Nataka niwaambie kitu kwa kipindi hiki kifupi nchi yetu inaheshimika sana duniani. Kwahiyo tusiirudishe chini, tusiirudishe nyuma. Twendeni na mwendo huu tuweke heshima ya nchi yetu pale inapostahiki.


Tanzania ni taifa kubwa tusilitolee sifa yake."
Mambo yanaend kasi mno leo Mbowe ni kamanda wa kuwaonea wivu machawa wa mama,
 
Leo Mama ameongea ukweli unaouma kwa ndugu zetu CHADEMA, Mama ni mwanasiasa hasa na ameiva, yupo vizuri haswaa BAWACHA/CHADEMA ujumbe umefika kama kisu kimepiga kwenye mfupa.

Mitano tena kwa Mama.
Kama ataanzisha mchakato wa katiba mpya, na tukaipata, hata mimi nitapiga kelele kushawishi huyu Mama aliyefanya jambo kubwa kama hilo apewe miaka mitano aongoze nchi, tena bila bugdha.

Muhimu siyo chama bali ni kumpata mtu anayeweza kuliongoza Taifa vyema.
 
Chadema kama watakuwa wana Akili kesho naomba waanze kurahani na kutoa kauli kali,hivi mama inakuwaje anaalikwa kwenye chama cha wenzake alafu mwishowe anawambiaa CCM hoye.

Aisee hii kauli kwakweli mm imenivurugia sherehe nzima ya leo.

Na chadema walivyo manyumbu Nimesikia wanaitikia Ccm oyeeeee!!!
Kama tunaheshimiana na kuthaminiana, huwezi kudharau chama chpchote cha siasa chenye wanachama mamilioni.

Tunaweza kuichukia CCM, lakini haiondoi ukweli kuwa ni chama chenye wafuasi mamilioni. Ukikipuuza ina maana umewapuuza hao watanzania wote mamilioni.

Ni sawa kwa CHADEMA Ppua, hakuna mwenye akili timamu ataipuuza CHADEMA, kwa sababu ni taasisi inayoungwa mkono na mamilioni ya Watanzania.
 

Rais Samia akiwa katika Maadhimisho amezungumza mambo mbalimbali. Akiwa anajibu hoja ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAWACHA kuhusu nia yao ya kushika dola 2025 Rais Samia amesema:

"Ndugu zangu siasa ni mchezo wa kulumbana kwa hoja Wote tukiwa na lengo la kushika dola kama alivyosema Mwenyekiti wa BAWACHA na Freeman Mbowe. Kwa sura nazoziona hapo hamna nia ya kushika dola 2025 mnajua Mama yupo dhamira hiyo haipo."

"Lakini niseme yes wote tuna lengo hilo lakini tukafanye kistaarabu kama Wanaadamu kama watu. Tuheshimiane, tuheshimike duniani."

Aidha Rais Samia ameongeza;

"Nataka niwaambie kitu kwa kipindi hiki kifupi nchi yetu inaheshimika sana duniani. Kwahiyo tusiirudishe chini, tusiirudishe nyuma. Twendeni na mwendo huu tuweke heshima ya nchi yetu pale inapostahiki.


Tanzania ni taifa kubwa tusilitolee sifa yake."
Ilikuwa lazima aseme vile ili kuwafurahisha walionuna nunu...!
 

Rais Samia akiwa katika Maadhimisho amezungumza mambo mbalimbali. Akiwa anajibu hoja ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAWACHA kuhusu nia yao ya kushika dola 2025 Rais Samia amesema:

"Ndugu zangu siasa ni mchezo wa kulumbana kwa hoja Wote tukiwa na lengo la kushika dola kama alivyosema Mwenyekiti wa BAWACHA na Freeman Mbowe. Kwa sura nazoziona hapo hamna nia ya kushika dola 2025 mnajua Mama yupo dhamira hiyo haipo."

"Lakini niseme yes wote tuna lengo hilo lakini tukafanye kistaarabu kama Wanaadamu kama watu. Tuheshimiane, tuheshimike duniani."

Aidha Rais Samia ameongeza;

"Nataka niwaambie kitu kwa kipindi hiki kifupi nchi yetu inaheshimika sana duniani. Kwahiyo tusiirudishe chini, tusiirudishe nyuma. Twendeni na mwendo huu tuweke heshima ya nchi yetu pale inapostahiki.


Tanzania ni taifa kubwa tusilitolee sifa yake."
Sasa zezeta kama Mdude umkabidhi nchi
 
Back
Top Bottom