Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Mama kakunjua kwasababu anajua kila kitu, hakuna kitu wakinandugai wanafanya mama asipate information. HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUPAMBANA NA M/KITI WAKE WA CHAMA NA RAIS WA NCHI NA AKASHINDA
 
Weee acha kumdanganya ndugai huwezi kupambana na taasis ya urais ukabaki salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipotoshe, alichosema wale waliokuwa na uwezo mdogo wataungiwa kwa 27K ila wanajiweza watawekewa kwa bei halisia.
Sasa tanesco watakuwa wanatumia kigezo gani kujua huyu ana uwezo huyu hana?
 
Umewaza vzr bro,lkn ushauri wako ni moja kat ya option nying alizokuwa nazo mama. Ndiyo maana unaeza kuona yeye katumia njia yake aliyoitumia.

Niliwah kusema wakt ule Ndungai ameongea na media,kuwa alijichanganya sana,kudhan angeweza kumghilibu aliyemkwaza amsamehe kwa namna ile alivyoongea ktk kuomba msamaha. Na hata ungekuwa ni ww umeombwa msamaha kwa style ile huenda ungeona km hakuna maana ya mtu kuombana msamaha ila ghiliba tu. Mzee alitamka yy mwenyewe,but anataka mama aamini km watu waliitengeneza clip na kumlisha maneno. Binafs nadhan ile alivyoongea na wanyusi alikosea,lkn ALIKOSEA ZAIDI pale alipoongea kuomba msamaha.
Ni dhahiri alizidi kuzichaji hasira za mama! Rejelea kumsikiliza na ucheck hata ile body language yk then uamue km alimaanisha kuomba msamaha or not!
 
Nadhani mama anajua mipango yao yote,
Ndio maana kamtaja mpaka Kassim, anajua nini kinaendelea na vinara ni akina nani
 
Swadakta mama yuko sahihi, hawezi kuomba msamaha kwa kosa analokana, hata nikiwa mimi siwezi kubali,
Maana yake hana kosa ila ameonewa,
Na je msamaha anaomba wa Nini?
 
hapo kwa meko umemikumbusha jambo. ile siku nilipomuona tu kasimama kwa ukaribu na rostam aziz, nikajua meko kaisha.
 
Rais amefanya sawa kabisa. Walimdharau kwa namna wanavyomuona, sasa kawaonyesha yeye ni nani!

Ukicheka na nyani utavua mabua.
Piga za uso hao Sukuma Gang ambao bado loyalty yao iko kwa marehemu, tuko na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…