Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Yule anatoka muhimili mwingine....
bara bara anayoweza kuipata kumuwajibisha ni kupitia chama maana yy ni mwenyekiti wake
 
Yule anatoka muhimili mwingine....
bara bara anayoweza kuipata kumuwajibisha ni kupitia chama maana yy ni mwenyekiti wake
Mkuu ras jeff kapita Rais ana madaraka makubwa sana .. anaweza kuwatumia wazee ndani ya chama kumshinikiza kutumia busara kujiuzulu ili kumraisishia kazi Rais.. pia Taasisi ya Urais inaweza kutumia 'misuli' yake kumshinikiza ajiluzulu .. hivyo kwa vyovyote inawezekana..
Hakuna kitu kinaitwa mhimili mwingine au kujitegemea mhimili.. Rais ni sehemu ya Bunge kikatiba ijapokuwa si mbunge lakini ndiyo anayeendesha mambo..
 
Babu kwa nguvu na aliyonayo Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hii hata uchakalike vipi atakubonda tu labda Mungu mwenyewe aingilie kati.
 
Wewe utaweza ukiona mtumishi wako anakuletea dharau
Angedili naye kidiplomasia.. Yaani unapokea msamaha huku ukiandaa mipango ya kumshughulikia. Hivo ndo angepaswa ku react kwanza
 
Hicho kitu hakiwezekani kabisa.. Rais ndiyo Mwenyekiti wa Chama na ndiye anayeongoza Kamati Kuu hivyo hapo hana lake..
Sio rahisi hivo mkuu... Hiyo move inawezekana ki maandishi ila utekelezaji wake sio rahisi.

Kwa mfano katiba inasema at least 2/3 ya wabunge wakubaliane, what if isipopatikana? What next? Maana yake Ndugai atabaki spika, then what?

Yaani mwisho wa siku huu mziki ni mzito
 
Ndugai hawezi jiuzulu aisee.. Take it from me. Yaani uwarahisishie kazi?
 
uko sawa but kila mtu ana mbinu zake kwe kudeal na mamb km haya
Anyway, ila kumbuka tu huwa kuna General na Specific rules.. Mara nyingi ili huwe kwenye safe side, tumia General rules ambayo viongozi wengi huwa wanatumia..
 
Nakubaliana na wewe mkuu
 
aanzishe chama CCM igawanyike, ila sidhani kama atapata wafuasi....sema Ndugai hakujenga marafiki, alijenga ubabe kumuegemea Magufuli
Jamaa ana ubabe, hata hapa sidhani kama atakubali kushindwa kirahisi.. muda utaongea
 
Nakubali haujui hasa ukubwa wake. Wako wakijani wengi tu mchana ni kondoo usiku ni koboko.
Mama awe mwangalifu na asiogope kufanya lililo la haki.
Ni kweli wapinzani somehow ni positive kwa Samia ilhali kuna kijani wengi wako negative kwake.
Tatizo la mama alikuwa anajua threats ni Mbowe na Chadema. Ametumia nguvu nyingi sana ku deal na Mbowe akasahau mtumbwi wake umatoboka matundu
 
Mkuu hii point ya kimkakati wa ki'c.i.a.....[emoji16][emoji16]
Hahahahahaa.. strategy za ku deal na maadui unaokula nao..

Ndo mana unaambiwa, muogope sana mtu anayekuchekea. Wengine huwa ni chambo cha kukufanyia ubaya wa kutisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…