Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

 
Raisi wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Raisi anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa ba matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafar mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Africa na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Magari 150 kila gari wastani watu 6 bado mabasi yanayo somba wana ccm jumla ni zaidi ya watu elfu 3000 wana pelekwa kwenye mikutano ya ccm ..sababu ya kufanya hivi ni kwamba huyo haramia SA100 hakubaliki hata na asilimia 10% ya watanzania
 
Magari 150 kila gari wastani watu 6 bado mabasi yanayo somba wana ccm jumla ni zaidi ya watu elfu 3000 wana pelekwa kwenye mikutano ya ccm
Watu wana madeal yao tu, wanatumia msafara wa raisi kukutana na ma godfather wao, we fikiria ccm wakati wenzako wanapiga ma dili.
 
Harafu usixho elewa ww magari yanakuwa mengi sababu ya wenyeji wake hapo Kuna wakuu wa Wilaya,polisi,usalama,viongozi wa dini,mashirika,majeshi sema vijana wengi mnakulupuka sana
Pale unapodhani ni mjuvi.....

Kuna waungwana humu wameona misafara ya tangu enzi za Julius, kisha wameona misafara ya nchi tofauti; wengine wameshiriki kwenye kupanga misafara hiyo na wengine ni sehemu ya misafara hiyo.

Ukiwa unatoa maoni yako, usijifungie, waza kwanza!
 
Raisi wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Raisi anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa ba matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafar mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Africa na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Duh! Kama sijakosea gari zipo 146
 
Back
Top Bottom