Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Daaah....Kila Nchi ya Africa Ina msafara wa Rais wa hivyo hivyo na wengine ni zaidi so hakuna Cha ajabu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah....Kila Nchi ya Africa Ina msafara wa Rais wa hivyo hivyo na wengine ni zaidi so hakuna Cha ajabu hapo
kama nakuona vile ulivyochoka kwa majibu rejareja!Daaah....
Mpaka interest ya kuendelea kusoma uzi ilinitokakama nakuona vile ulivyochoka kwa majibu rejareja!
[emoji7]Harafu usixho elewa ww magari yanakuwa mengi sababu ya wenyeji wake hapo Kuna wakuu wa Wilaya,polisi,usalama,viongozi wa dini,mashirika,majeshi sema vijana wengi mnakulupuka sana
Naunga mkono hoja Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Uzuri ni kwamba tutakuwa wote hapa hapa ni swala la muda tu.Harafu usixho elewa ww magari yanakuwa mengi sababu ya wenyeji wake hapo Kuna wakuu wa Wilaya,polisi,usalama,viongozi wa dini,mashirika,majeshi sema vijana wengi mnakulupuka sana
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa FaizaFoxyRais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.