Kwa maelezo haya na I'd yako si ajabu ukawa unaona Magufuli alikuwa rais bora.Sijawahi kuamini hata chembe kama SSH ni Rais Bora. Kwanza IQ ndogo na hawezi kusimamia serikali. Kinachomsaidia ni aina ya nchi na watu anaowaongoza tu.
Hahitaji kura ya mtu hata moja kuwa rais, anaweza kuamua ni kura kiasi gani anataka atangazwe nazo. Kwa sasa kura sio njia ya kupata viongozi, bali hilo zoezi lipo kukamilisha utaratibu tu .Bandari imemmaliza Mama kabisa! Watakaompa kura akigombea Urais ni mazuzu ! HATOSHI!
Eti Wameshindwa kumshauri Rais...!?Majaliwa na Tulia kosa lao nini? Kwaninni wao walioenda Dubai kilaghaiwa kwenye maonyesho??
Wacha kutusemea jisemee wewe mwenyewe tuHaihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.
Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!
ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
"I got up not well for 2days" unamweleza hivyo wakiri anayeijua kazi yake vizuri🤣🙌Kuna wengine maprofesa wanatolewa kamasi huko mahakamani hadi mmoja anasema hakusoma documents alikua anaumwa hahahahhaha wale ndio wanyongwe kabisa
Hiyo Joy ndio umuweke pembeni kabisa, sio kwa kingereza like hata form four saint kayumba anamshinda alafu ni Prof ptuh😩Wa kutoswa kama kuna mtu wa kutoswa, ni yeye mwenyewe Mama Samia.
Hili dili kwa habari zinazotufikia ,limetengenezwa ndani ya familia yake.
Mwalimu alisema, Ikulu si mahali pa kufanya biashara, na ndugu walielewe hilo.
Spika na Majaliwa hawajiamini, wanajua nguvu ya Rais na lililompata Ndugai.
Mama akiwa fair, abebe mzigo wake.
Mimi vile vile nilikuwa namkubali sana mama Samia,lakini katika hili la Bandari, NO!
Tumesema sana humu kwa hoja zilizo nyooka wametupuuza, Rais ni taasisiHakuna yeyote aliyemwaribia kajiharibia yeye mwenyewe.Mbn wakati wa Magu hii mikataba ilitupiliwa mbali iweje yeye aikubali?Na alishaambiwa kabla kuhusu hii mikataba ya hovyo
Hao wote unawaonea hilo jambo ni la Samia na Kaka yake Mbarawa na timu ya Johari.AG,PM na Speaker hao wamekuja kupewa maelekezo baada ya dili kuvuja Ili kuokoa Ufalme usifitinike.Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.
Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!
ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Kwa noni awatose wakati hawa ndo majembe ya taifa na mkataba wa DP WORLD wanaufafanua vizurrri kabisa? Hawatoki.Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.
Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!
ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Nasi awatoe kafara hao ili kutuliza upepo kwanza...Hao siyo wenye nchi mwenye nchi yupo unajuaje km aliwatuma kuongea uongo
Kaziba masikio huyo. Angekuwa anatusikiliza. Mwingulu, Nape na Makamba wasingekuwa ofisini Hadi Dakika Hii.Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.
Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!
ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Boss ni JK hawa wengine ni kivuli tuRais Samia hajavuliwa nguo ila kajivua mwenyewe. Yeye ndo Engineer wa yote hayo bila yeye hakuna mikataba. Saini yake lazima ziwepo.hao wametumwa tu na bosi wao.
Majaliwa unamuone tu, yeye si Mkuu wa Mhimili. Hangaikeni na Wakuu wa mihimili hasa yule ASIYE-TULIAIfahamike pasi na shaka, Uwaziri mkuu au Uspika hauna hati miliki. Moja kwa moja kwenye hoja.
Waziri mkuu, Kassim Majaliwa, bila aibu na bila kupepesa macho, ametoa kauli za uongo na zenye kulenga kuchangamya wananchi juu ya mkataba wa uendelezaji bandari, hali kadhalika hili kimefanywa na Spika wa Bunge, Tulia Ackson.
Ni aibu hata kuweka clip zao kwa sasa, maana wamejidhalilisha na wako UCHI!
Namna pekee ya kumrudishia nguo Rais wetu Samiah Suluhu Hassan ni kuwafyeka shingo hawa waongo wawili, aibu gani hii?!!!
Hawawezi kuondolewa kwa maoni ya kishabiki ya JF, haipo serikali inayofanya kazi kwa kusikiliza umbea wa mitandaoni.(Mbarawa, Feleshi) , hawa wanaondoka, tumeshafahamishwa, huu mwezi haupiti.
Mimi naongelea hivyo visiki viwili, PM na Spika, nao waunganishwe tu!
Wewe si ndiye ulinipotezea muda kubishana na wewe siku nzima kuhusu kwamba ni mkataba au makubaliano? Aisee.., siwezi tena kupoteza muda na chawa wa namna hii.., ninachokueleza kuhusu hao wawili kuondoka nakifahamu kwa undani kuliko unavyojua.Hawawezi kuondolewa kwa maoni ya kishabiki ya JF, haipo serikali inayofanya kazi kwa kusikiliza umbea wa mitandaoni.
Angeshaondoka Mwigulu Nchemba siku nyingi zilizopita, Angeshaondoka January Makamba miezi mingi iliyopita.