Hajakataa kazi yao kikatiba ila ni ukweli Tanganyika law walianza kuonekana kama sehemu ya wanaharakati kujificha sote tunajuwa.Wataalam ndiyo injini ya kuleta maendeleo katika nchi.
Wataalam hawatakiwi kujipendekeza na kuwalamba nyayo wanasiasa.
Mtaalam anapotoa maoni au kukosoa lazima asikilizwe siyo kumchukia au kumuita adui.
Mfumo mbovu uliojengwa na Nyerere bado upo. Lazima lawama zipelekwe kwake.
Usisome, puuzia tu kwani siyo lazima upitie kila uzi.Oya sisi hatutaki hata kusikia huyo maza anasema nini. Usiwe unatupostia utumbo wake
TLS imesingiziwa huu ujumbe uwafikie woote wenye ndoto za Urais 2025 ndani ya ccm na nje ya ccm.Duh...!, kwa kauli kama hizi, kiukweli kabisa kuna vitu, ili twende salama, Mama lazima asaidiwe, kwa kuelimishwa kuwa ushirikishwa sio hisani, sio favor, sio option, sio choice, ushirikishwaji ni haki, duty and responsibility, yaani ni wajibu!, kama ulivyo utii kwa mamlaka!. Unaweza kuchagua marafiki lakini huwezi kuchagua majirani, ukiisha jikuta unaishi na jirani fulani, ni lazima ushirikiane nae ndipo muishi vizuri.
Sasa leo ndio nimeanza kuielewa hii TLS ya Hosea!.
Duh....!.
Haya...
P
KweliMfumo mbovu uliojengwa na Nyerere bado upo. Lazima lawama zipelekwe kwake.
Ni kweli tuzungumzie mgao wa umeme na maji wa sasa, unaotokana na teuzi za kujuana bila ufanisi na kuwajibishana, muda wa Nyerere umeshapita hana anachoweza kubadili sasa ila sisi tuliobaki ndio wajibu wetu hasa hasa Mama samia. Nyerere pamoja na uwezo wa kidikteta aliokuwa nao hakukubali hata kujengewa nyumba ya kisasa kifupi hakuwa fisadi tofauti na sasa.Ndiye aliyejenga mfumo mbovu tulionao. Bila ya mfumo huu tungekuwa mbali sana
Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!
Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu! Sikiliza kwa makini:www.jamiiforums.com
Huwa wanasikiliza nusu nusu na kuanza kupiga kelele mitandaoni.Kasema ukikaa ki uadui..sio kila anaepinga adui...sio kila upinzani ni uadui ....adui ni Yule anaepinga kila kitu...
Njaa itakuuaTaarifa zimfikie Tundu Antipasi Lissu , huyu ndo anajidai anazijua sana Sheria kuwaliko watanzania wote.
Pamoja sana mama Samia
Hakika wewe ndo yule tuliyekuwa tunamsubiri
Samia for 2025
Sina njaa Mimi Mkuu, Niko kwenye payroll kitambo sana Mimi, si kila anayesapoti serikali ana njaa Bali Ni kutaka kuuweka ukweli bayanaNjaa itakuua
Nyerere hayupo zaidi ya miaka ishirini,kwanini mnashindwa kuuvunja mfumo unaoita mbovu ulioasisiwa na Nyerere?Mfumo mbovu uliojengwa na Nyerere bado upo. Lazima lawama zipelekwe kwake.
Mfumo uliojengwa na Nyerere unawanufaisha vigogo. Hauvunjiki.Nyerere hayupo zaidi ya miaka ishirini,kwanini mnashindwa kuuvunja mfumo unaoita mbovu ulioasisiwa na Nyerere?
Mnashindwa hata kujenga matundu ya choo..mkiulizwa oh shida Nyerere..nonsense!
Safi Sana Ni kuwachana live hivi hivi ili kila mtu afanye kile alichochagua.Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake
Kwa mfano Tanzania, miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo frankly speaking ilikuwa siyo chama cha Wanasheria, kilikuwa chama cha Wanaharakati na mapambano yao yalikuwa ni dhidi ya Serikali.
Sasa mimi nikijua wewe ni dhidi yangu nitakushirikishaje? Siwezi kukushirikisha, si ndiyo! Mpaka unioneshe kwamba am here to support you, I'm here to serve a country, I'm here kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu.
Nikikuona una sura hiyo nitakushirikisha, nikikuona una sura ya uadui nami sitaweza kukushirikisha. Utatumia Sheria zote za Kimataifa, zoooote na mimi nitatumia zangu za ndani ya nchi kuku-bar usishiriki kwangu.
Dunia kote hiyo ndo standard procedure, hata biden, hawezi kumshirikisha Trump,, fact of life...
Nenda tandika uliza unyama waliofanyiwa so called panya road, kwenu mpaka waue public figure ndio mshtuke, tukiuwa wachumia tumbo ni sawa. Huo ni unafiki..Kiranga
She is still far better than Magufuli..
At least utamtukana utaenda kulala bila wasiwasi....
Hakuna Ben Saanane kupotea
Wala Roma kutekwa wala Maxence Melo kushinda mahakamani...
Wewe ndiye umedandia uzi bila kusoma kwa makini. Wapi nimemsema rais kwenye bandiko hili. Niliandika kujibu alichoandika mdau johnthebaptistWapi Raisi kaongelea vyama vya upinzani? anaongelea vyama visivyokuwa vya kisiasa kutumika kisiasa muwe mnasikiliza basi sio kudandia uzi tu.
Swala la kutokuvunjika kwa mfumo sio kweli, kama ulitengenezwa na watu hao hao watu wanaweza kuuvunja(labda uniambie hawajaamua), endapo wenye dhamana wakiaamua. Hivyo sioni sababu ya kumlaumu Nyerere kwa jambo ambalo liko ndani ya uwezo wetu, sasa kwa kuanzia inabidi kupata katiba mpya. Itakayo mpunguzia madaraka rais na kumuwajibisha tofauti na ilivyo sasa.Mfumo uliojengwa na Nyerere unawanufaisha vigogo. Hauvunjiki.
Ameongea fact,, tatizo wengi hawapendi kusikia ukweli mchungu,, huezi kushirikiana na mtu anaekuhujumu, neverHoja ilikuwa nini mpaka kusema hayo!?
Halafu kazi mojawapo ya rais ni kuleta utengamano katika nchi hata kama unapata upinzani kiasi gani kauli za utata kama hizi angeshauriwa aziepuke maana hizo ndiyo zilizomfanya mwendazake kuchukiwa