[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aya Sasa simnasema Mnafata sheria Mara mna utaratibu haya Sasa tuone. Mkikataa maombi ya Rais walahi nyie ni mbinguni moja Kwa moja manina. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijipendekeza na kuingia kwenye korido za wanasiasa lazima yatakugharimu tuu. Tuone Sasa kama hamtafa matakwa ya huyu mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], shida mnakuwa machawa mpaka mnakera na bado [emoji38][emoji38]View attachment 2647232
FIFA amna anaowasikiliza sasa ivi toka waipige ban Russia wameshapoteza ushawishi duniani..Sio suala la kufurahia, fifa walipopiga marufuku serikali kuingilia soka walikua kutakua na mambo kama haya ya leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaaa!!!!Ndiyo shida ya kupokea vya watu mara kanunua goli mara katoa ndege hatimae anaanza kuwaambia nini cha kufanya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]This case is closed! Boma Ye! Boma Liwanza.
Alipe tu hizo 112m aende zake kwa MAKOLO.
Shida ipo hapo kwenye rais kasema[emoji17]!ii nchi hiiRais kashasema kwahiyo kaa kwa kutulia, chukueni hiyo 112M mpite kushoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenzako wanasema siasa na michezo ni kitu chausahihi[emoji23][emoji23][emoji23]. Hawajui kwanini FIFA walipiga marufuku hivi vitu, ngoja tufunzwe na ulimwengu kwanza[emoji23][emoji23]
Kama Yanga walikuwa hawataki Wanasiasa wajihusishe na maamuzi yao basi na wao haikuwa na haja kuomba Rais apatie Ardhi kwa ajili ya kujenga uwanja....Sio suala la kufurahia, fifa walipopiga marufuku serikali kuingilia soka walikua kutakua na mambo kama haya ya leo
Unatafuta basja?Poleeeeeee umenyweaaaaaa dadekiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pyeeeee pyeeee pyeeee fyuuuuuuuh
Sasa mlienda ikulu kufanyaa nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au pale ni TFF makao makuu??Ah hamna kumuachia bure labda wampe nafasi ya mwisho ya kuvunja mkataba kwa kufata taratibu .
Serikali haihusiki na hili swala pia lazima sheria ziheshimiwe.
Ila kwenda ikulu na kupewa ndegee buree ya serikali sheria za FIFA zinataka hivyooo??Rais hana ubavu wa kuingilia sheria za mpira,ndio maana kwenye nchi nyingine serikali ikiingilia maswala ya mpira huwaga inapigwa bani na FIFA. Labda Yanga waamue kutosimama na sheria za FIFA, FIFA ni domain nyingine ambayo rais wa nchi hana nayo sauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alikuaaa ana wachoraaa tyuuh, kuwaitaa ikuluu makusudi awapige kwenyee mshonooo.Walikuwa wanafikiri ndege wanapewa bure bure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Malipo ni kumuachia feitoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila vyake mama mnapendaaa??Mama atuachie Mpira wetu ,anataka tufungiwe na FIFA , Aache Mpira ujiongoze atatuponza.
WamelowaaaaaaaaHahaha kwa nchi zetu hatujafika huko, washauri yanga "wadinde" kama wanauthubutu. Sasa hivi huko walipo wenyewe tu wamelowa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magazeti ya kesho: SAKATA LA FEI TOTO LAMALIZWA KWA UBWABWA WA IKULU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ubwabwa umetuponza[emoji134]
[emoji23][emoji23]Samia leo amejua kutufuraisha sana. Yani walikuwa wanafakamia pilau awakujua mama kawaandalia nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kauli ya Rais ni kauli ya serikali yani apo tayari kesi imeshamalizwa tuone yule atakaepingana na Rais apo yanga kama Engineer ersi ajarudishwa kwao Somalia na yule bosi wenu wa pale salamander ajapelekwa kwao YEMEN
Kwani kwenye mpira duniani Yanga ndio timu ya kwanza kualikwa Ikulu au nitajie timu iliyo alikwa ikulu na ikaigwa ban na FIFA.Ila kwenda ikulu na kupewa ndegee buree ya serikali sheria za FIFA zinataka hivyooo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitakaa kula, sharti uliwee.