Nchi ngum Sana hii,nimejikuta nikicheka kijinga Sana, Sasa SSH ndo anajenga au Serikali ndo inajenga? yeye ni msimamizi katika ngazi ya juu ya serikali KWa niaba ya wenye nchi, Sasa mkisema anajenga hizo pesa anatoa mfukoni mwake?,
Alafu ni serikali ipi ambayo haikujenga shule,hospitali, reli, mabwawa ya umeme, stendi,n.k, nchi haijawahi simama ,vilevile hata yeye akiondoka 2025, serikali ijayo bado itaendelea kujenga tu,
Sasa sijui huwa mnasifia KWa kujua au kutojua ,acheni Mambo haya, kwani serikali yake kurudisha maendeleo KWa wananchi ambao ndo walipa kodi ni hisani au niwajibu ? Kama ndivyo sifa za ajabu za nini, badilikeni