Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Nakuelewa sana.

Sasa itakuwa hv:

Tumepigwa kwenye Madini. Hatuna kitu.
Sasa, tunaenda kupigwa kwenye Bahari. Tumepoteza.

Sasa, tusikilizie kwenye ardhi maana ndio pekee iliyobaki. Hii nayo tukipigwa basi ndio mwisho wetu rasmi kama nchi.
Tushapigwa tayari mkuu hapo hakuna chochote kitakacho badilika hapo, Kama madini tulikubali kupewa 3% tu unadhani kwenye Ardhi napo nini kinafata hapo?
 
Swali la.msingi unaamini kabisa China watakubali mkataba ambao Tz watanufaika ikiwa pesa yote wanatoa wao?
Wanaweza wakiamini hamna namna na watafaidika bado. Lakini inahitaji negotiations za kitemi!
 

Mwenyezi Mungu atuhurumie.
Amen
Tushapigwa tayari mkuu hapo hakuna chochote kitakacho badilika hapo, Kama madini tulikubali kupewa 3% tu unadhani kwenye Ardhi napo nini kinafata hapo?
Au labda Mungu katulaani maana mbona mambo yapo hv?
 
Nadhani Tufanye mjadala wa Kitaifa ili kila mwenye mawazo ayalete bahati nzuri maeneo yaliyokuwa contested Rais Magufuli aliyasema Let us Discuss From there
 
Hizi bandari zilizopo haziwezi kuzalisha faida yakujenga Bagamoyo?
Kama hazina faida tuziboreshe ili tupate faida kuliko kuingia mamikataba kila mwaka bila faida.
 
Natamani kukwambia "tuwe na imani" ila roho inasita, historia ya viongozi wa CCM kwenye hii mikataba sina hamu nao, na isije kuwa sisi ndio tunaenda kuwabambeleza wachina warudi kwa kigezo cha kurudisha wawekezaji.
Huo ndio ukweli wao wanajali matumbo yao tu hapo watapiga hela tu kwa vyovyote vile.
Ndo hivo hatuna chakufanya wacha watuuze tu taifa la watu mil 60 tunakosa watu 30 tu makini wakuwapa madarakani wafanye vitu kwa manufaa ya yetu ajabu hii.
 
That's a good Decision.
IRR sio mbaya by 2123.
Tutakuwa miongoni mwa 10 topest kwenye uchumi wa Dunia.
 
Hizi bandari zilizopo haziwezi kuzalisha faida yakujenga Bagamoyo?
Kama hazina faida tuziboreshe ili tupate faida kuliko kuingia mamikataba kila mwaka bila faida.
Zenyewe zinahitaji jeki ya mikopo
 
Swali la.msingi unaamini kabisa China watakubali mkataba ambao Tz watanufaika ikiwa pesa yote wanatoa wao?
Sasa hta tukiambulia trillion 2 kwenye entirety ya mradi kuna hasara gani? Bila huo uwekezaji faida gani tunaipata hapo Bagamoyo kwa sasa??

Maana sio kwamba bandari ya Bagamoyo tumeijenga kma ya Dar kwamba tunaitegemea n.k so we have nothing to lose and so much to gain.
 
Rais kaongelea mazungumzo kuanza upya. Kumbuka kwenye maongezi kuna kukubaliana na kutokubaliana.
 
When the present president was next to the late Magufuli she joined him in snubbing this project but today barely three months after Magufuli's demise she is coming out to loud this project.!

However, down the line, it seems the former president Mr. Jakaya Kikwete is pulling the strings in this Bagamoyo port deal as he hails from the same place.
 
Yaani awamu ya sita inaendelea kunifanya niwe kijana zaidi. Awamu ya 5 ilitaka kunizeesha kabla ya umri wangu.

Mama endelea kuwachanganya huko Lumumba make walijiaminisha kuwa taifa hili ni mali yao pekee.

Sisi wananchi tunataka ardhi, siasa safi na utawala bora. Mengine yaliyobaki kanyaga twende hadi 2030 Mungu akijaalia.
 
Bandari ya Bagamoyo ipo kwenye ilani ya SSH - Aibu!
 
Hizi bandari zilizopo haziwezi kuzalisha faida yakujenga Bagamoyo?
Kama hazina faida tuziboreshe ili tupate faida kuliko kuingia mamikataba kila mwaka bila faida.
Kama tuliweza kwenye mikataba ya madini tutashindwaji kufanya mapitio ya mkataba wa Bagamoyo tuna watu wazoefu kwa sasa rejea Twiga mineral co ltd
 
Haahaa kwani ardhi kukabidhiwa miaka 99 Ni wa China tu? Kama watu walikamatwa hovyohovyo kwa Nini ushangae kuachiwa hovyohovyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…