Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Samia atatengeneza maana no way out utasimamia rasilimali za Nchi kutokea Magogoni.Akubali sasa kutengeneza mifumo imara ya kuwabana watu wa aina hiyo. Kinyume na hapo, kila kiongozi atakayekuja, ataishia tu kupiga kelele na kutukana; halafu upigaji utaendelea kuwepo nchini kama kawaida.
Hivi wakati jeshi la mtu mmoja akiona vitu kama hivi kuna wakati alikuwa anafurusha watu kwa uzembe, vipi ile haikuwa sawa ili Bimkubwa naye achukue hatua kama zile?.Akubali sasa kutengeneza mifumo imara ya kuwabana watu wa aina hiyo. Kinyume na hapo, kila kiongozi atakayekuja, ataishia tu kupiga kelele na kutukana; halafu upigaji utaendelea kuwepo nchini kama kawaida.
Na Lema ni juzi tu alitoa siri, kua ilibidi CDM na CCM waungane kumtoa Magufuli ili walambe Asali bila bughuzaa!!Acha watu wanunue mabasi na wajenge mavituo ya mafuta wewe acheni wivu
Hamna cha intelligence wala nini, intelejinsia ilikiwa kwa kidhibiti wanasiasa wa upinzani tu, sio usalama wala uchumi! Vunja hii kitu!Naomba kuuliza hivi TAKUKURU na watu wa intelligence hawawezi zuia haya mambo Hadi waache wizi umefanyika?
Sukuma ndani hao kuwafukuza tu haitoshi cio hao tu ripoti ya CAG inaonyesha jinsi gan kodi zetu na tozo zetu zinavyotafunwa bila huruma ushahidi wa CAG unatosha kuwafikisha lupango wahusika lkn suruhisho ya hayo yote ni katiba mpya tu ccm janga la kitaifaKuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo.
Nadhani Sasa mh.Rais ameanza kuwafahamu Watanzania.
Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome..
Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta..
Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.
----
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.
Alisema hatatukana, kalamu itaongea. Imekuaje?NImependa hapo Kwa stupid na pumbavu,mama ameanza kukunjua makucha
Kwenye SGR na kwenye bwawa rufiji pesa imeongezwa pia Ila huko wapo kimyaMimi nadhani raisi Samia yawezekana kabisa ana nia njema ya kuwa raisi wa Tanzania.
Hili suala la kuongezwa fedha za malipo kutoka 37 kwenda 86 ni wizi.
Mheshimiwa raisi angewatoa mfano wale wote walohusika na hiyo invoice na wamalizane hukohuko.
Hii haihusu kisasi, wala roho mbaya wala ukatili bali ni aina ya maisha ambayo baadhi ya wasaidizi wake na watendaji wakata wawe wanaishi hivyo ni lazima raisi Samia aache kucheka na nyani.
Raisi Samia ana ufahamu mkubwa wa matatizo ya nchi hii ambayo yote yalielezwa kwa kina na mtangulizi wake hayati JPM.
Asicheke kabisa na wezi na wabadhilifu wa mali ya umma.
Tanzania inahitaji mfumo imara katika sekta zake zote. Na siyo mtawala mkali na mwenye mihemko kama alivyokuwa Magufuli. Mfumo imara katika nchi, ni rahisi kudhibiti upigaji kama huu.Hivi wakati jeshi la mtu mmoja akiona vitu kama hivi kuna wakati alikuwa anafurusha watu kwa uzembe, vipi ile haikuwa sawa ili Bimkubwa naye achukue hatua kama zile?.
Report iliyopita hatua gani zimechukuliwa?Nategemea hatua zaidi kuchukukiwa pia Bunge nalo lije na maazimio ya kuwashukisha adabu wahusika.
Watapisha tu wenyewe pasipo kuwajibishwa? Tuna Rais wa ajabu kabisa kuwahi kutokeaKuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.
Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.
==============
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.
Maneno na hasira za uongo. Hakuna kitu wanafanywaHi nchi sio ya kukaa. Watu wana iba Ila hawachukuliwi hatua, imebaki maneno.
Hilo ni agizo wakubwa watapishaWatapisha tu wenyewe pasipo kuwajibishwa? Tuna Rais wa ajabu kabisa kuwahi kutokea,
Kateua watu wengi wenye maGodfather, hakuna atayeweza kumgusa.Akubali sasa kutengeneza mifumo imara ya kudhibiti na kuwabana watu wa aina hiyo. Kinyume na hapo, kila kiongozi atakayekuja, ataishia tu kupiga kelele na kutukana; halafu upigaji utaendelea kuwepo nchini kama kawaida.