Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Mama afanye kazi tunataka kuona watu wakiondoshwa.
 
Mama alisema wale urefu wa kamba zao.
Amesema kuna watu wameongezeka kwa hio kamba zipo pale pale na wanakula vile vile Ila idadi ya mbuzi imezidi, shida ndio hio watu wamekua wengi wengine wapungue msosi hautoshi au haujamuelewa?

Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo
10% mbaya sana aisee,
 
Kateua watu wengi wenye maGodfather, hakuna atayeweza kumgusa.
Na ndiyo tatizo lilipo. Serikalini kwenyewe wamejaaa watu wengi waliopewa nafasi nyeti kwa kujuana/kwa upendeleo! Halafu anategemea kutatokea maajabu!

Watu wataendelea kupiga tu.
 
Tena ktk katk ya mwezi mtukufu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
........kuna kitu tayari mama atakuwa ameanza kukisoma nakukielewa kuhusu watendaji na viongozi wetu, nina imani kuna hatua kali anaweza kuchukua toka sasa, hawezi kukubali kuvunjiwa heshima na imani kwa wananchi........
 
Dola milion 37 mpaka 86, kama ni chozi lazima limwagike
37 hadi 86 wazee wa 10% wamepeana mgao huo haujaelewa bado na idadi ni kubwa ndio maana pesa imepaa kwa hio anasema watupishe maana wapungue idadi ya walaji kwenye hizo kamba ni kubwa wengine wapungue, sasa nani yupo tayari kupungua hakose vibunda ? Na nani alichora mchoro wa hizo 10% ? Swali linarudi kwa mama
 
Haelewi methali za kiswahili.Kula urefu wa kamba yako,maana yake ale kile kilicho halali kwake,kama vile mshara wake.
 
Kuna jirabmni angu Ni mtumish wa serkalini amejenga nyumba kamaliza Yuko kwenye finishing SAS usipme hzo finishing anazo let's Ni ya gharama ya juu Zaid ,Jana kaleta nyasi kutoka Moshi ,Kisha kaja na maarumaru paving za Chini kafikisha na lorry tatu jamaa walishusha vifaha Hadi asubuhi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
........kuna kitu tayari mama atakuwa ameanza kukisoma nakukielewa kuhusu watendaji na viongozi wetu, nina imani kuna hatua kali anaweza kuchukua toka sasa, hawezi kukubali kuvunjiwa heshima na imani kwa wananchi........
10% ndio mwiba usisahau hilo kitu kimepita 100% kimeenda kudondokea 110% haujaelewa bado au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…