stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Iran nchi ya watu wajinga pia, jamaa hafatilii utabili wa hali ya hewaKuna wapuuzi wanasema eti hakukuwa na hali ya hewa mbaya.
Akati hali ya hewa ya ukungu.
Embu tizameni hii video.
View attachment 2994218
Kama nakuona vile unavoshangiliaUono ni 5m pekee na mvua inanyesha, hivyo huenda zoezi lisifanikiwe
Sawa mke wa Netanyau.
Israel akiwa na ugomvi na Iran sababu Iran anajifanya super power nchi za kiislamu halengi raia wa Iran kivita kwake raia wa kawaida wa Iran ni Low value targets Israel analenga High value targets magenerali wa Iran na viongozi wa Serikali ya Iran. anawaacha wananchi wa kawaida wa Iran wale maisha yao as usualUNACHOKOZA ISRAEL UNATEGEMEA NINI🤣
Yaani Israel washindwe kuzuia mamia ya makombora na drones ndani ya ardhi yao tena baada ya kupewa onyo kwamba watashambuliwa na wakaimarisha ulinzi wa anga nchi tano lakini mzigo ukatua Israel na kupiga target zote halafu eti waweze kufanya assassination ya Rais wa nchi tena Iran?Wataalamu wameshafanya yao, haiwezekani ukaishambulia Israel kukaponyoka.
Na kawaida vyombo vyote vikubwa idara ya usalama wa taifa kurugenzi ya ndani na kurugenzi ya mambo ya nje huwa hawakubali wala kukataa kama wao wanahusika.
Nia ni kuwaweka adui katika sintofahamu kwani vyombo hivyo vya kijasusi vikukubali kuhusika huwa unampa adui wapi wajitafakari hawakuwa makini
Soma hiki kitabu mkuu.Sawa naomba iwe ni kweli Israel kafanya vile ndio utaifahamu Iran
Hutasikia Mossad kitengo cha ujasusi wa nje, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence (MI) au Shin Bet usalama wa ndani wa Israel wakisema lolote lililotojea leo katika msafara wa helicopter 3 zilizokuwa katika msafara wa Rais Raisi wa Iran.Sawa mke wa Netanyau.
Kama chombo kikubwa kwako ni Tv Imaan unatarajia utaona habari kama hiyo?Nimeangali vyombo vikubwa vya habari hii taarifa haipo.
acha wehu huo? markeani akitaka kupigana anaomba mataifa yote yamuungnge mkono, yeye kama yeye moga hatari. mfano vita vya VetnamKama chombo kikubwa kwako ni Tv Imaan unatarajia utaona habari kama hiyo?
Kuvimba kote kwa Iran masaa kibao mpaka sasa wameshindwa kufika ilipoanguka hiyo chopa, sasa hata hao wamejeruhi si lazima wafe kwa kuvuja damu nyingi?
Ndio huwa nashangaa vinchi kama hivi Iran unataka kumvimbia Mmarekani wakati rescue ya Rais wao tu inawashinda.
Hili tukio limewaacha uchi Iran walivyokuwa overrated na wavaa kobanzi.
Mi sina hiyo avatar inawezekana umenichomekea ili unigombanishe na wenzangu.towashi wa kushi wewe ni mkorofi mno aisee.
Hii Avatar yako ina maana gani??
View attachment 2994114
"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki na wasaidizi. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na yeyote miongoni mwenu anayejiunga nao basi yeye ni miongoni mwao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu wenye kudhulumu."Ayatorah arapfuuye yes! Yes!