Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

Namuonea huruma mno huyu MTT wa kajala Paula pale WCB wananyonya nyota za wanawake kujishinenisha ,kukiki...ukimaliza unatemwa kama big G...Paula aangalie mwisho asije akawa kama Wema sepetu....empty fame m Naametajirisha wengine
 
Unazungumzia muuza sura na gari za watu wakati davido kalinunua ilo dubwana.........mimi na wewe nani ana chuki hapa
Et Davido kanunua na Rayvanny kapigia picha magar ya watu , hvi nyie wakulima wa mihogo mna taabu gani lakni
 
Mimi mwenyewe nataka nianze kuimba Bongo fleva sasa hivi. Hii sio haki kabisa . Naona tunaonewa tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu jux wala hana maajabu yeyote, na asidhan atamtisha vee, huhuhuh anajidanganya tyuuh. Ajifariji hivyo hivyo.
Mkuu umejuaje kama hakuna kitu?
 
Kwahyo kajala pamoja na kujiliza liza kaamua kumpeleka tu mwanae wahuni wampelekee moto?
Mwanafunzi kashamaliza shule hata mwezi haujapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…