msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Nilisikia mama yake alizikataa pesa za ushetani akasema bora aendelee kuuza mboga za majani kuliko kupokea pesa zinazotokana na kazi ya mwanaeHuyo mpaka leo mama ake anauza mboga za mafungu sokoni.
Mtoto lainiiiiiiiii mama maeeeeeeeee,kweli fedha RahaView attachment 1792741
[emoji23][emoji23]
Unazungumzia muuza sura na gari za watu wakati davido kalinunua ilo dubwana.........mimi na wewe nani ana chuki hapaHvo vitu vannyboy kavfanya Sana chief , watanzania tupunguzie chuki
View attachment 1792900
View attachment 1792901View attachment 1792903
bby shida nini haizeeki ichoo wala hakiishii kipo vilevilee bby ,so mwache mwana apewe vitu vitamuuMasikini Fahyma 😢
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu jux wala hana maajabu yeyote, na asidhan atamtisha vee, huhuhuh anajidanganya tyuuh. Ajifariji hivyo hivyo.View attachment 1792741
[emoji23][emoji23]
Yaan Davido anatusua tyuuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mtu sio mzima wallah, khaaaahHvo vitu vannyboy kavfanya Sana chief , watanzania tupunguzie chuki
View attachment 1792900
View attachment 1792901View attachment 1792903
Kamesha vunja ungo, m'washo lazma ukunwe.Wakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost mpenzi wake huyo wakila bata maeneo ya watu wazito ....
View attachment 1792448
View attachment 1792236
View attachment 1792240
Umejuaje Mshana Jr?No rinder though!
Mkuu umejuaje kama hakuna kitu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu jux wala hana maajabu yeyote, na asidhan atamtisha vee, huhuhuh anajidanganya tyuuh. Ajifariji hivyo hivyo.