RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

Paskali Acha kuspin.

Wote tunajua kuwa hakuna mkataba wa DPW. Mkataba ulipo na unaopingwa ni wa IGA kati ya Tanzania na Dubai Government.
 
Waarabu wanaume wamezaa na watanzania na waarabu wanawake wamezaa na watanzania !
Sasa hapo ujomba haupo kweli ??! [emoji23][emoji23] Sometimes tuwe wakweli bandugu !
Kamaa ni hivyo kila watu ni wajomba zetu, wanaume wazungu wamezaa na watanzania na wazungu wanawake wamezaa na watanzania.
 
Unaelewa maana yake? Kama kuna makosa yarekebishwe? Ina maana raisi alisaini agreement yenye mapungufu, je alikua hajui?
 

..mbona serikali nzima, chama, na chawa wa Mama Samia, wameshupaza shingo, na wanasisitiza kwamba mkataba uko sawa?
 
Hakuna mkataba wa kuendesha bandari kwa yeyote mpaka sasa. Au upo?
Kilichosainiwa na bunge ni kitu gani? Au nawewe umekua punguani wa akina Kasim Majaliwa na Tulia Akson?
 
Kumbe huyu siyo km wale wenye tabia ya unyumbu wanao ahirisha kufikiri kwa sababu ya ubinafsi ama kutumikia matakwa ya kundi fulani
 
Kwa hakika tuendelee kupiga kelele:

Your browser is not able to display this video.


Hatukatai uwekezaji wala hatumkatai DP World.

Ila Kwa mkataba gani?

Kwa nini ni vigumu kuuona ukweli huu?

Malima ana hoja: "Asikilizwe!"
 
Nani m/kiti wa serikali?
Nani m/kiti wa chama?, chama gani hupitisha jina la speaker,bungeni wabunge asilimia 90 na ni chama kipi.....hio collective bla bla... ni kitu kimoja.... Yadumu mawazo matukufu ya m/ kiti
 
ANAJITAMBUA NA ANAANGALIA MASILAHI YA NCHI KWA UPANA WAKE
 
Kigoma Malima Finance Minister wakati wa Mwinyi na ndio wagala wakamzushia eti kajenga msikiti wizarani.
 
Kwa ile video clip ya mgonjwa na nurse iliyo vujishwa, minaona hata Muhi2 ibinafsishwe kwa wajomba tu...🤨
 
Yuko sahihi Wala hakuna tatizo na ni Mtizamo wa wengi..

By the way kama Watu Hawataki Rais piga chini achana nao
 
Prof Kighoma Alli Malima na Stephen Kibona ndio Mawaziri bora wa Fedha wa Nyakati Ngumu!
Kighoma Malima alikuwa mwizi mwingine aliyedhulumiwa fedha zake za wizi na wahindi akaishia kupata stroke akafilia mbali huko ulaya alikodhani ameficha kibubu chake!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…