mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Au na yeye yupo kwenye ile timu aliyoigusia Chalamila alipokuwa bado Kagera ??!!Ajiandae kisaikolojia
Tusubiri tuone !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au na yeye yupo kwenye ile timu aliyoigusia Chalamila alipokuwa bado Kagera ??!!Ajiandae kisaikolojia
Unamaanisha waislamu?Hilo tatizo kubbwa sana.
Pole sana.
Mimi nna ndugu wa takriban kila taifa dunani. Wahindi, Wachina, Waarabu, Wamarekani, Ulaya, Japa.
Tanzania ndiyo usiseme.
Good japo atang'olewa kwa kusema ukweliAkizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
AtaondolewaAnafuata nyayo za baba yake
Mwinyi, Kighoma Malima na Kitwana Kondo ndio Waislamu!
Ataondolewa uRC soon, maza hataki kusikia kuhusu ndugu zake waarabuYupo sahihi, wapo wengi wataamua kujitoa muhanga na kufunguka. Hili swala la bandari ni mwanzo wa mambo mengi yajayo. Huu ni wakati wa watu kusimama ili wahesabiwe, huko tuendapo tusije kulaumiana tu.
Bonge la ushauri kutoka kwa RC wa awamu ya sitaAkizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
We bibi huna akili sijui ni uzee, hakuna anayepinga waarabu kuwekeza Tanzania waje hata leo jioni kinachopingwa ni terms za mkabata ziwe wazi kwa pande zote 2 wala hakuna neno sisi tunahitaji wawekezaji hatubagui dini wala rangiAaah, mie wajomba zangu na mashemeji zangu hao. Lakini kwenye biashara hakuna mjomba wala shangazi, ndiivyo nilivyomuelewa Malima.
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe [emoji116]
Hujui kitu wewe Zuzu! Uliza uambiwe Kighoma alifia wapi na aliongozana na nani?ẞtory za vijiweni hizo!
Kwani nani alipinga bandari kuwekeza la hasaha! Kinachopingwa na wengi akiwemo Malima ni masharti yaliyomo ktk kile mnachokiita makubaliano ambayo Ndiyo yanayo ashiria kuelekea kugawa bandari zetu.Msijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.
Mmh, labda kibona, huyo mwingine alikuwa mwizi kama mwanae. Kwani kilichomuua si kinahusiana na ufisadi alioifanyia Nchi.Prof Kighoma Alli Malima na Stephen Kibona ndio Mawaziri bora wa Fedha wa Nyakati Ngumu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado hajatenguliwa?
Prof Malima hakufanya Ufisadi wowote ilikuwa propaganda za kumkwamisha asigombee uRaisMmh, labda kibona, huyo mwingine alikuwa mwizi kama mwanae. Kwani kilichomuua si kinahusiana na ufisadi alioifanyia Nchi.
Kasema waarabu sio wajomba zetuEti waarabu wajomba zake..si akaishi nao sasa..tuacheni rasilimali zetu hatavizazi vyetu vitatakuja kusahihisha pale mlipo shindwa
Ila kwenye hii issue ya bandari NIMEGUNDUA maafsa habari wa SERIKALI na taasis zake zikiwamo wizara, wanatakiwa wajitafakari sana sana... Hawakutoa elimu ya kutosha na kutoa taarifa sahihi kwa WANANCHI na ndo MAANA Kuna mkanganyiko namna hiikwanini atenguliwe na anatowa elimu kama walivyotakiwa serikali yote, wawaelimishe wasioelewa.
Je naye ni mdini?Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
View attachment 2684047Watu ambao wanakosoa, wanashauri na kutoa maoni yao juu ya mkataba wa Dp World na Tanzania napopolewa kama vile wadini, je wanasemaje na kwa huyu Mwamba Malima?
Na sisi tumemsikia. Sasa kila mtu abaki na lake. Wewe sio mfafanuzi wake.Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.
Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.
P
Ni mkataba wa kijinga kuwahi kutokea.Nyie kweli ni kima!! Sasa sisi tulikua tunapinga nini na nyinyi mnaongea nini sasa hivi? Loud and clear huu mkataba wa DP World ni mpumbavu peke ake anaweza kuukubali.