RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

Good japo atang'olewa kwa kusema ukweli
 
Yupo sahihi, wapo wengi wataamua kujitoa muhanga na kufunguka. Hili swala la bandari ni mwanzo wa mambo mengi yajayo. Huu ni wakati wa watu kusimama ili wahesabiwe, huko tuendapo tusije kulaumiana tu.
Ataondolewa uRC soon, maza hataki kusikia kuhusu ndugu zake waarabu
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

Bonge la ushauri kutoka kwa RC wa awamu ya sita
 
Aaah, mie wajomba zangu na mashemeji zangu hao. Lakini kwenye biashara hakuna mjomba wala shangazi, ndiivyo nilivyomuelewa Malima.
We bibi huna akili sijui ni uzee, hakuna anayepinga waarabu kuwekeza Tanzania waje hata leo jioni kinachopingwa ni terms za mkabata ziwe wazi kwa pande zote 2 wala hakuna neno sisi tunahitaji wawekezaji hatubagui dini wala rangi
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe [emoji116]


Well said,
Ni vema wakamwelewa mwenzao.
 
This shit is getting scary mpaka RC Anampiga spana boss wake. Hapa pana shida sasa
 
K
Msijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.
Kwani nani alipinga bandari kuwekeza la hasaha! Kinachopingwa na wengi akiwemo Malima ni masharti yaliyomo ktk kile mnachokiita makubaliano ambayo Ndiyo yanayo ashiria kuelekea kugawa bandari zetu.

Na ametumia neno "siyo wajomba zetu" kwa walio na ufahamu hili ni neno lenye maana kubwa Sana.
 
Mmh, labda kibona, huyo mwingine alikuwa mwizi kama mwanae. Kwani kilichomuua si kinahusiana na ufisadi alioifanyia Nchi.
Prof Malima hakufanya Ufisadi wowote ilikuwa propaganda za kumkwamisha asigombee uRais

CAG alipomchunguza pale Hazina hakukutwa na kosa lolote sana Sana Naibu Katibu Mkuu mh Mkoma ndio alionekana kutoa misamaha ya kodi kinyemela bila idhini ya Waziri

Msikaririshwe vijimaneno vya Vijiweni!
 
kwanini atenguliwe na anatowa elimu kama walivyotakiwa serikali yote, wawaelimishe wasioelewa.
Ila kwenye hii issue ya bandari NIMEGUNDUA maafsa habari wa SERIKALI na taasis zake zikiwamo wizara, wanatakiwa wajitafakari sana sana... Hawakutoa elimu ya kutosha na kutoa taarifa sahihi kwa WANANCHI na ndo MAANA Kuna mkanganyiko namna hii

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

View attachment 2684047Watu ambao wanakosoa, wanashauri na kutoa maoni yao juu ya mkataba wa Dp World na Tanzania napopolewa kama vile wadini, je wanasemaje na kwa huyu Mwamba Malima?​
Je naye ni mdini?
 
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
Na sisi tumemsikia. Sasa kila mtu abaki na lake. Wewe sio mfafanuzi wake.

Hii ndio inaitwa "kukosoa kwa staha".
 
Nyie kweli ni kima!! Sasa sisi tulikua tunapinga nini na nyinyi mnaongea nini sasa hivi? Loud and clear huu mkataba wa DP World ni mpumbavu peke ake anaweza kuukubali.
Ni mkataba wa kijinga kuwahi kutokea.
 
Back
Top Bottom