KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Kwa kweli wapangwe ili na wao wawe wanalipa kodi ya fremu na kodi za serikaliKuna machinga wengine wapo vizuri ,kuna mmoja yupo k/koo ana mjengo wa maana full fensi,msoth juu,aluminium window....ukiambiwa mjengo wa mmachinga unakataa.
walizoeshwa vibaya
Kisheria inakataa