Utateuliwa mkuu. Endelea kupiga debeWale wanazi wa Jiwe wanadai kwamba katika awamu yake hapakuwa na upigaji, kulikuwa na upigaji sana kuliko utawala wowote tangu nchi hii iumbwe.
Mama Samia anajikita kurekebisha mifumo ya nchi, sio kufokafoka mabarabarani, mifumo inaziba upigaji, na ni endelevu, mifumo inafoka yenyewe
KomaKwenye Joni ze cheni Leo umevuna ngapi? Maana mnakusanyia kwenye viroba, mnapiga kwelikweli, maana hata anayehesabu fedha baada ya makusanyo hajulikani
Tutaachia special audit ya manunuzi ya ndege ili makende ya chato yabaki waziNdo srrkali ya bibiyenu inajificha kwenye koto la Magufuli! Eti 97.5% ni hati safi! Upigaji saizi unafunikwa ili aonekane mama anafanya kazi! Ila hana kitu! Mfano hata ACT WAZALENDO naona wanachambua kwa kuegemea awamu ya tano! Ila mda wa kumsingizia kila kitu utaisha na ndo mtakapokaa uchi!
Sijui kama kuna mtu atakuelewa. Lambda chawa wenzio.Wale wanazi wa Jiwe wanadai kwamba katika awamu yake hapakuwa na upigaji, kulikuwa na upigaji sana kuliko utawala wowote tangu nchi hii iumbwe.
Mama Samia anajikita kurekebisha mifumo ya nchi, sio kufokafoka mabarabarani, mifumo inaziba upigaji, na ni endelevu, mifumo inafoka yenyewe
Mwendazake alizidi wizi awamu zote zilizopitaSiku moja mtagombana na mkeo na mtasema chanzo cha huo ugomvi ni mwenda zake kenge nyie
Mpaka Sasahivi Serikali ya Samia haijatandaza hata kilometer 1 ya lami,by Alima Mdee 🤣🤣🤣Mwendazake alizidi wizi awamu zote zilizopita
Anajenga madarasa na hospitali kwanzaM
Mpaka Sasahivi Serikali ya Samia haijatandaza hata kilometer 1 ya lami,by Alima Mdee 🤣🤣🤣
Sema Serikali ya CCMWale wanazi wa Jiwe wanadai kwamba katika awamu yake hapakuwa na upigaji, kulikuwa na upigaji sana kuliko utawala wowote tangu nchi hii iumbwe.
Mama Samia anajikita kurekebisha mifumo ya nchi, sio kufokafoka mabarabarani, mifumo inaziba upigaji, na ni endelevu, mifumo inafoka yenyewe