Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

1.Raia wa Urusi wamewahi kuandamana mara nyingi tu dhidi ya Putin kabla hata ya huu uvamizi na vikwazo.

2.Maisha ya Raia wa Russia yatakuwa magumu tu hata Ruble ikilingana na dola, kwa sababu urahisi wa maisha huletwa na upatikanaji wa bidhaa na huduma. Kama bidhaa hazipatikani hata ukiwa matrilioni ya dolla ndani haisaidii.

3.Vikwazo vinawalenga zaidi "Oligarchs" na inner circle ya Putin ambao wamezoea bata za magharibi kwa sababu hao ndio wanaoweza kumpa Putin presha amalize uvamizi wake. Marekani na Ulaya wanafahamu vyema Putin hajali maisha wanayopitia raia wake wengi wa kawaida na wala raia wa kawaida hawawezi kumtoa madarakani kwa maandamano. Kila walipojaribu kufanya hivyo wameishia jela.
Marekani wangekua wanajali raia wao wasingekua wanalala nje kama maeneo fulani ya nchi fulani pale EA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A lot ni kiasi gani?
Utaje huo utajiri wa Biden na kiasi gani amewekeza China.

Ukielewa mfumo wa uongozi wa Marekani utafahamu ni kiasi gani ilivyo vigumu kwa Rais wa Marekani kuiba pesa za wananchi.
Je vipi kuhusu utajiri wa Biden aliowekeza china alot of Usd billions je na yeye aliwaibia wamarekani
 
Unadhani watakao fanya hivi ni marekani na ulaya tu unadhani naye china hatofanya hivo?
Itafika mahali uchumi wa China utaelekeza wafanyakazi wa China wapate malipo sawa na wenzao wa Ulaya na Marekani. Siku cheap labour ikikata China watu wataibukia kwingine duniani kuweka viwanda vyao.
 
Nilifikiri unapinga kwamba China sio nchi ya kidekteta na hivyo maamuzi yake kwenye kupambana na Corona sio ya kidemokrasia.
Ulitaka wawachekee wakati Shanghai iko high populated 27mil kitu ambacho itakuwa mbaya kwa china nzima tena Shanghai wazee wengi hawajawa vaccinated hiyo ni hatari kwa usalama wa raia
 
Sidhani hivyo, tunahitaji sana Wachina waje kuweka viwanda vizito Africa badala ya kukomba tu rasilimali zetu na kutuuzia cover za simu, urembo na toothpicks.
Unadhani watakao fanya hivi ni marekani na ulaya tu unadhani naye china hatofanya hivo?
 
A lot ni kiasi gani?
Utaje huo utajiri wa Biden na kiasi gani amewekeza China.

Ukielewa mfumo wa uongozi wa Marekani utafahamu ni kiasi gani ilivyo vigumu kwa Rais wa Marekani kuiba pesa za wananchi.
Zaidi ya dollar billion 1.5
 
Nilifikiri unapinga kwamba China sio nchi ya kidekteta na hivyo maamuzi yake kwenye kupambana na Corona sio ya kidemokrasia.
Ni wapi nimesema nchi ya kidikteta na maamuzi yake ya kidikteta au kuwa na misimamo mikali ni udikteta?🤔
 
Lini na sisi tutaanza kutumia rubli.Natamani kuona sura ya noti ya rubli kwa aliyenayo.
 
Tatizo la mrusi haja wekeza kwenye viwanda. China ana export kubwa ndio maana ana shusha thamani ya hela yake.

Urusi itumie hela zake za mafuta kufanya diversion. Dubai wana fanya kila nchi zenye mafuta zina fanya, kwasababu ni rasilimali inayo isha. Na sasa ivi kuna magari ya umeme na kila kitu cha umeme ni muda tu hakuna atakaye nunu hayo mafuta.
Kweli elimu ni muhimu Kwa watanzania kwaiyo unaona mafuta yanatumika kwenye magari Tu hopeless kabisa
 
Usipoteshe wewe pro-putin na namuomba mod afute hii thread
View attachment 2231787
Upo wap kk
Screenshot_20220521-111723.jpg


Sent from my Nokia 4.2 using JamiiForums mobile app
 
Sidhani hivyo, tunahitaji sana Wachina waje kuweka viwanda vizito Africa badala ya kukomba tu rasilimali zetu na kutuuzia cover za simu, urembo na toothpicks.
Sasa ndio inabidi serikali yetu ijue inahitaji aina gani za viwanda? na je hao cheap skilled labor wakuperform kwenye hivo viwanda wanapitakanaje / mfumo wa elimu unazalisha cheap skilled labor?

Mfano: Tunapaswa kuanza na viwanda vya kuzalisha cheap products kwa nchi za vipato vya Kati Kama magari cheap kutoka china inabidi sisi Kama Tanzania tuwetunazalisha hapa na kuuza kwenye nchi za vipato vya Kati tofauti na kuagiza china, hivo hivo tunahitaji viwanda vya kutengeneza piki piki, bajaji hapa hapa Tanzania yaaani vifaa vya usafiri vilivyo cheap na sio kuunganisha tu, bidhaa zote cheap kwa nchi za vipato vya Kati tunapaswa kuzalisha sisi Tanzania kwa msaada wa nchi za China , Ulaya kwa viwanda watakavyojenga
 
hakuna sarafu yenye thamani kubwa duniani kama dinari ya kuwait ila kuwait wanahitaji USD/EURO ili wafanye biashara na nchi zingine duniani,
 
Growth ya china ni evident na amenufaika na viwanda vilivyopelekwa kule ila kumbuka uzalishaji bila soko hauna maana na hapo ndio nguvu ya marekani ilipo maana yeye anao ushawishi kwa ulaya ambao ndio Wana purchasing power kubwa.

Africa misaada inaletwa ili china aendelee kupata cheap raw materials ili avilishe viwanda vya mmarekani vilivyopo kwake. Marekani ndio mshindi.
Kweli wajinga hawajawai kuisha embu jifunze ufunguaji WA makampuni China unavyokuwa unaisi wale ni wajinga kama Sisi viwanda vyote vilivyopo China ambavyo vimetoka nje ya China lazima mzawa amiliki asilia flani ya hisa Kama kampuni itakuwa inaoperet ndani ya China unaisi mabilionea wanaotokea China wanatokea Kwa bahati mbaya makampuni mkubwa yaliyopo China asilimia zaidi ya 50 zinamilikiwa na wazawa kitu kilichowapa pesa na kuanza kununua makampuni ya ulaya na Marekani wachina wamenunua makampuni makubwa sana ya ulaya na wanatoa udhaminj Hadi Kwa clubs na timu nyingi za kikapu za marekani na ulaya Rudi nyuma Kwa swala la Ozil kuongelea waislam WA China wanaofungwa kwenye makamp Hadi kufikia kuwekwa pembeni kwenye kikosi hii yote ni ushawishi WA wachina kutaka kujitoa kwenye udhamni WA timu ya Arsenal timu nyingi kwenye pree season kaszima wakacheze mechi za kirafiki China unaisi wanaenda Kwa kujikomba Hadi kufika 2035 magari mengi ya umeme yatakuwa yanatokea China kuliko sehemu nyingine duniani na yote yanamilikiwa Kwa asilimia kubwa na wachina wenyewe unaisi wajinga jinga kama ww wale
 
Kweli wajinga hawajawai kuisha embu jifunze ufunguaji WA makampuni China unavyokuwa unaisi wale ni wajinga kama Sisi viwanda vyote vilivyopo China ambavyo vimetoka nje ya China lazima mzawa amiliki asilia flani ya hisa Kama kampuni itakuwa inaoperet ndani ya China unaisi mabilionea wanaotokea China wanatokea Kwa bahati mbaya makampuni mkubwa yaliyopo China asilimia zaidi ya 50 zinamilikiwa na wazawa kitu kilichowapa pesa na kuanza kununua makampuni ya ulaya na Marekani wachina wamenunua makampuni makubwa sana ya ulaya na wanatoa udhaminj Hadi Kwa clubs na timu nyingi za kikapu za marekani na ulaya Rudi nyuma Kwa swala la Ozil kuongelea waislam WA China wanaofungwa kwenye makamp Hadi kufikia kuwekwa pembeni kwenye kikosi hii yote ni ushawishi WA wachina kutaka kujitoa kwenye udhamni WA timu ya Arsenal timu nyingi kwenye pree season kaszima wakacheze mechi za kirafiki China unaisi wanaenda Kwa kujikomba Hadi kufika 2035 magari mengi ya umeme yatakuwa yanatokea China kuliko sehemu nyingine duniani na yote yanamilikiwa Kwa asilimia kubwa na wachina wenyewe unaisi wajinga jinga kama ww wale
Umejaza seva za jf kwa porojo bila ushahidi wowote.
 
Kama hela yao ni kubwa na ya muhimu basi tuione kila nchi kama ambavyo dola ni ya thamani kubwa hapa tz.

Urusi hata mabilionea wa kule hawafanyi uwekezaji urusi kwasababu ni nchi ya hovyo, wanazidiwa hata na china.

Urusi kama taifa hana uwekezaji wowote wa muhimu nje ya nchi yake isipokuwa anauza sana silaha kwenye nchi mbalimbali.
Ayo mafuta na gesi wanakunywa wenyewe wengi tulikuwa hatuijui Rusia vizuri Ila baada ya hii vita tumejua umuhimu WA Russia duniani Hadi ww uko porini kwako unalia kilio cha kuilaumu serikali mafuta yamepanda na serikali yako wanailaumu vita ya Rusia na ukrein ulaya yote inategemea nishati ya Rusia alafu unakuja kulia apa kuwa anauza snaa silaha nje kuliko chochote kweli wee kiazi
 
Pamoja na udikteta wote huo China bado iko kwenye joto kali la Covid mpaka sasa na baadhi ya miji wameanza lockdowns tena wakati wenzao wa magharibi wanaendelea na maisha kama kawaida.

Usisahau kwamba China huwa ina tabia ya kuficha taarifa, kuna uwezekano mkubwa ndilo taifa lililoathirika na Covid kuliko mengi ya Ulaya au Marekani.
Acha kamba basi unaisi COVID inadanganya China iliwahi kuchukua hatua stahiki tofauti na ulaya hasa marekani ambao waliona uwoo ugonjwa haiwezi kuwafikia sababu ya umbali au waliona watauwai kama ebola China iliadhirika lkin siyo sana na kinachotokea saivii ni katika Hali ya kuiwahi isienee sana sababu China maeneo ya mijini kuna idadi kuwa ya watu bila kuiwahi na kuweka lockdown maambukizo na vifo vitakuwa vingi na kueneo Kwa uraisi Kwenye maeneo mengine
 
Back
Top Bottom