Tunaendeshwa sana na Mentality.KABISA,
Hapa Inabidi wazazi waingilie Kati.
This is not fair, tunaharibu Watoto wetu kwa kuendekeza upuuzi wa watanionaje Mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakirudi saa 12 wanapewa smartphone wanachezea
Si heri Tom & JerryAu vinafikia kwenye tv vinakutana na vikatuni vya Tom and Jerry! Mbona ndiyo vitakodoa macho hadi saa 12 jioni ndiyo kanaanza kusinzia huku homework ikimsubiria!!!
Hawa wanapanda mpka school bus na bado wanalalama [emoji1][emoji1]Wazee wa kulialia kama kawaida yetu...
Usiwasahau wale wa kijijini wanaotembea umbali mrefu kwenda shule..
Solution umesahau kuweka.
Wee naona tunaogea vitu viwili tofauti.Sasa ushoga na watoto wadogo kuwahishwa kuanza shule inahusu nn? Hivi hamuwezi kukaa bila kuujadili ushoga? Mnawaanzisha watoto wenu wadogo shule mapema kisa watu wa haki za binadamu wanatetea ushoga? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeeni sanaaaa huo ushoga na mashoga wapo na wataendelea kuwepo, sasa km mnadhani kuwahisha watoto wenu wadogo waanze shule mapema ni kuukomoa ushoga na mashoga, basi ongezeni bidii ktk hilo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Hii ndo mbaya sana na inaumiza mno.Sasa bora hao wa school bus kutana na wale wa kugombea dalaldala sasa katoto kadogo libegi likubwa anaanza kuhangaishana na makondakta
Hivi kwani wawekezaji hawaruhusiwi kuongeza shule?Swala hapa ni kuangalia ni kwanini watoto wanasoma hiyo shule ya mbali, kama sababu ni ubora wa viwango na serikali haiwezi kuvitoa katika shule za kata basi waruhusu wawekezaji waongeze shule ili watoto wasiteseke.
Kwann Zanaki na Jangwani wasiweke boarding kwa level zote? Maana ni shule kongwe, ambazo za level ile ni bweni kwa level zote,hii inashangaza sana, nakaa eneo A
kuna siku niliamka saa 10 alfajiri kuwahi basi Ubungo
kituo cha daladala nakutana na wanafunzi (O-Level) wa Zanaki na Jangwani, ni mwendo wa 35 km mpaka uko Zanaki
ilihali eneo hilo kuna shule za sekondari kadhaa,
Huu uzi watu wa shule za vidumu na mifagio hautuhusu kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukisema kweli mnatuziba mdomo..😂Nakujua ulivyo mchokozi TU Kama Kim kiduku, kila penye Shari unatamani ualikwe[emoji4]
Hilo ndio tatizo kubwa , sijui Hao wazazi hawana huruma kwa watoto wao. Shule nzuri ziko karibu kila sehemu siku hizi, hakuna ulazima wa mtoto kupelekwa shule za mbali.Wenzetu Ulaya wana shule bora kuanzia level ya Kata.
Huku kwetu badala wazazi mji commit muboreshe mazingira ya shule zilizo jirani na makazi mnakimbilia kujaza ma bus ya watoto kuwasafirisha makilometa ya umbali bila sababu ya msingi.
Mtoto anakaa Chanika anasoma Olympio! Wa mbagala nae unalazimisha asome Olympio. Unategemea ataamshwa saa ngapi kupanda school bus?
Utaratibu wa kupata vibali urahisishwe.Hivi kwani wawekezaji hawaruhusiwi kuongeza shule?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au vinafikia kwenye tv vinakutana na vikatuni vya Tom and Jerry! Mbona ndiyo vitakodoa macho hadi saa 12 jioni ndiyo kanaanza kusinzia huku homework ikimsubiria!!!
Kupanda schoolbus sio hoja, Hapa hoja Ni usalama wa akili ya mtoto mkuuHawa wanapanda mpka school bus na bado wanalalama [emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app